Watanzania ndio Binadamu wenye akili za ajabu kuwahi kutokea

Watanzania ndio Binadamu wenye akili za ajabu kuwahi kutokea

1%
IMG-20221212-WA0006.jpg


Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Naona yule P-Didy wa JF amepata mshindani kwenye uandishi mbovu.
 
Sichuki binafsi sababu mimi pia nimo ila wabongo nyoso sana hii nchi tunawalalamikia viongozi wetu buuure ila sisi wenyewe hatuna kweli kwenye midomo tupo kusifia tuuuuuu ila hatuwezi kukipokea kitu kamweee

Hata mama samia alete nini humu wabongo ni walewale watasema yaleyale nilichojifunza nikwamba usije ukamaliza pesa zako kusema wabongo watasupport kitu bora ujinyweee coca uenjoy

Hii inchi ikibadilika niiteni mbwa niko zangu pale napiga story na drake
Are you mavi?
 
Back
Top Bottom