Wachawi katika ubora wenu ,unapoteza muda kutuwaza100% WATANZANIA WANA NIA NA ROHO MBAYA SANA
mwenye thread ana laumu wakenya ila lawama ni ya waganda...AKA kina Idd Amin na mu7...umenipata ww Tanzanian? lol!Sasa hapo umejibu kwa kutetea au kwa kuponda wewe kenyan
Wakikujibu nitagNajiuliza, hivi Kenya ndio ingepigana vita na kusaidia kuweka serikali Uganda tena mara mbili, wakati wa Obote na wakati wa Museveni. Hivi Wakenya si wangesema Uganda ni yao yote.
Milele?Watanzania Kenya mtaionea paa...uongozi ni wetu milele...
Waje haraka sana wachukue People's republic of western Kenya na Odinga is a bonus with free spare parts for a lifetime.Najiuliza, hivi Kenya ndio ingepigana vita na kusaidia kuweka serikali Uganda tena mara mbili, wakati wa Obote na wakati wa Museveni. Hivi Wakenya si wangesema Uganda ni yao yote.