njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Mbona tunakuwa kama siyo waelewa,kuna vita vya ukraine , mafuta ya magari yamepanda, kwa nini bando zisipande kwanza bei za Tz zipo chini sana
Mheshimiwa Nape ni vyema bando la gb 1 liwe tshs 7000 itainua mapato ya nchi na vilevile itapunguza usumbufu mitandaoni
Bando ziendelee kupanda nakazi iendeleee, awamu ya sita oyeee , Nape oyeee,Rostam boss la Tigo oyeeeee, Mamaaa oyeeeeeeeeeee
Nchi imefunguka ni wakati wa wafanyabishara kuvuna
Mheshimiwa Nape ni vyema bando la gb 1 liwe tshs 7000 itainua mapato ya nchi na vilevile itapunguza usumbufu mitandaoni
Bando ziendelee kupanda nakazi iendeleee, awamu ya sita oyeee , Nape oyeee,Rostam boss la Tigo oyeeeee, Mamaaa oyeeeeeeeeeee
Nchi imefunguka ni wakati wa wafanyabishara kuvuna