WATANZANIA NI HOVYOO: TUHURUMIE MAKAMPUNI YA SIMU

WATANZANIA NI HOVYOO: TUHURUMIE MAKAMPUNI YA SIMU

Mimi sioni tatizo bando zikipandishwa maana yule utopolo kule magogoni alisharuhusu wafanyabiashara wapandishe.

Kwa hiyo ni wazi hata makampuni ya simu hayajasalimika. Kwani nayo yananunua mafuta kwa magari yao katika shughuli za uendeshaji na vile vile jenereta wanazotumia kuendesha mitambo umeme unapokatika.

Wacha wapandishe akina Rostam wapate hela ya kupeleka chamani labda na sisi tutapata akili na kupunguza "uchawa" wa "anaupiga mwingi".
Uko sahihi sana, ku print vocha gharama za makaratasi zimepanda, mafuta kwenye magari yamepanda , kiuhalisia ilitakiwa GB 1 iwe tshs 7,000 ila najua kwa sababu waziri Nape na Mama samia ni wasikivu watalifanyia kazi hiloo, na pia Uncle Rostam anamiliki Tigo nina hakika litafannikiwa pia itasaidia pia umbeya kupungua mitandaoni ..kazi iendeleeeee
 
anatumia free Wi-Fi au ukute anahotsipotiwa na dada ake 🚮
Mkuu mbona una sound kama mbangaizaji??? wewe ni muhujumu uchumi unajua kamouni za simu zinaumia kiasi gani? unajua kwamba wafanyabishara kwa sasa wana enjoy mazingira mazuri ya kibiashara ? unataka washindwe kumudu gharama wagunge ajira zipotee? BANDO LA 1 GB LIWE 7000 , mheshimiwa Nape ni msikivu kwa makampuni siyo nyie vilaza
 
Mkuu mbona una sound kama mbangaizaji??? wewe ni muhujumu uchumi unajua kamouni za simu zinaumia kiasi gani? unajua kwamba wafanyabishara kwa sasa wana enjoy mazingira mazuri ya kibiashara ? unataka washindwe kumudu gharama wagunge ajira zipotee? BANDO LA 1 GB LIWE 7000 , mheshimiwa Nape ni msikivu kwa makampuni siyo nyie vilaza
Sawa
 
Wacha kutetea ujinga wewe 7000 unaifahamu wewe hapo unazungumzia 5000+2000 kwa jb moja we kuweza?
 
Back
Top Bottom