njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Umekula lakini?.. au ndo njaa kali hatari[emoji23][emoji23][emoji23]Mbona tunakuwa kama siyo waelewa,kuna vita vya ukraine , mafuta ya magari yamepanda, kwa nini bando zisipande kwanza bei za Tz zipo chini sana
Mheshimiwa Nape ni vyema bando la gb 1 liwe tshs 7000 itainua mapato ya nchi na vilevile itapunguza usumbufu mitandaoni
Bando ziendelee kupanda nakazi iendeleee, awamu ya sita oyeee , Nape oyeee,Rostam boss la Tigo oyeeeee, Mamaaa oyeeeeeeeeeee
Nchi imefunguka ni wakati wa wafanyabishara kuvuna
...Jina lako linaonyesha wewe Mwenyewe ulivyo...'Njaa Kali Sana:...Kweli, una njaa Kali Sana! Ndio maana unazungumza Hata yasiyoeleweka!Mbona tunakuwa kama siyo waelewa,kuna vita vya ukraine , mafuta ya magari yamepanda, kwa nini bando zisipande kwanza bei za Tz zipo chini sana
Mheshimiwa Nape ni vyema bando la gb 1 liwe tshs 7000 itainua mapato ya nchi na vilevile itapunguza usumbufu mitandaoni
Bando ziendelee kupanda nakazi iendeleee, awamu ya sita oyeee , Nape oyeee,Rostam boss la Tigo oyeeeee, Mamaaa oyeeeeeeeeeee
Nchi imefunguka ni wakati wa wafanyabishara kuvuna
Tayari alishapigwa na kitu kizito cha kushindwa kumudu gharama za bando huyo ameanza kuropoka ropoka hovyoHizo hoyee zimekaa kinafki sana
Acha tu na bado Kila rangi tutaonaTayari alishapigwa na kitu kizito cha kushindwa kumudu gharama za bando huyo ameanza kuropoka ropoka hovyo
Kule Marekani wanaochaguwa Rais ni collegee voters tu.Ifike mahala bando liuzwe kwa wanaojielewa tu.
Mtu kama mleta uzi ni marufuku kununua bando.
Tunaposema Tanzania ina vijana wa HOVYO huwa tunamaanisha kama huyuMbona tunakuwa kama siyo waelewa,kuna vita vya ukraine , mafuta ya magari yamepanda, kwa nini bando zisipande kwanza bei za Tz zipo chini sana
Mheshimiwa Nape ni vyema bando la gb 1 liwe tshs 7000 itainua mapato ya nchi na vilevile itapunguza usumbufu mitandaoni
Bando ziendelee kupanda nakazi iendeleee, awamu ya sita oyeee , Nape oyeee,Rostam boss la Tigo oyeeeee, Mamaaa oyeeeeeeeeeee
Nchi imefunguka ni wakati wa wafanyabishara kuvuna
Mbona tunakuwa kama siyo waelewa,kuna vita vya ukraine , mafuta ya magari yamepanda, kwa nini bando zisipande kwanza bei za Tz zipo chini sana
Mheshimiwa Nape ni vyema bando la gb 1 liwe tshs 7000 itainua mapato ya nchi na vilevile itapunguza usumbufu mitandaoni
Bando ziendelee kupanda nakazi iendeleee, awamu ya sita oyeee , Nape oyeee,Rostam boss la Tigo oyeeeee, Mamaaa oyeeeeeeeeeee
Nchi imefunguka ni wakati wa wafanyabishara kuvuna
Mkuu ina maana unataka makampuni ya simu yapate hasara?acha roho mbaya we jamaaMnaoishi kwa mashemeji zenu mnatabu sana hahahah