Watanzania ni kwanini wepesi kwa kuchangia pesa katika jambo je ni huruma yetu au

Watanzania ni kwanini wepesi kwa kuchangia pesa katika jambo je ni huruma yetu au

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Watanzania ni wepesi sana kutoa mchango au kuchangia pesa jambo kwenye shida yoyote au furaha pia je ni utamaduni wetu au Mila yetu au huruma yetu yaaani unaweza zua ata kitu cha uongo ukahitaji pesa na watu bila kuhoji kutaka kujua hela inaenda tumikaje basi waanachanga bila tatizo lolote

Au tunakuwa na pesa ambazo aziko kwenye mpangilio na ndio maana unakuta mtu ananunua mto wa kulalia au shuka Yuko bar anakunywa yaani je hauna ratiba kwenda shopping
 
Back
Top Bottom