Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
Naomba nianze kwa kuwakumbusha maneno ya Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, kuwa Umasikini mbaya kabisa ni umasikini wa mawazo!, kuwaza kimasikini, kujikubali kuwa sisi ni masikini, na kiukweli tumekuja kuwa masikini kweli!. Sasa ni wakati wa kubadilika, tusijikubali tena kuwa sisi ni masikini, tuachane na mawazo ya kimasikini na kuukubali umasikini!.
Total Tanzania wametuletea fursa hii ya kutajirika, tuichangamkie!, naamini wako Watanzania wengi tuu wenye mawazo mazuri ya kibiashara, tatizo lao ni mitaji!. Hii sasa ni fursa kwa mwenye wazo zuri, kampuni ya Total itampa mtaji!.
Tuchangamkie furrsa hii.
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="width: 516"][TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="width: 516, align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 516, align: left"] Total Tanzania, Kuibua Vipaji vya Ubunifu wa Miradi na Kutoa Mitaji...
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[TD="width: 40"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 3"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Paskali
Naomba nianze kwa kuwakumbusha maneno ya Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, kuwa Umasikini mbaya kabisa ni umasikini wa mawazo!, kuwaza kimasikini, kujikubali kuwa sisi ni masikini, na kiukweli tumekuja kuwa masikini kweli!. Sasa ni wakati wa kubadilika, tusijikubali tena kuwa sisi ni masikini, tuachane na mawazo ya kimasikini na kuukubali umasikini!.
Total Tanzania wametuletea fursa hii ya kutajirika, tuichangamkie!, naamini wako Watanzania wengi tuu wenye mawazo mazuri ya kibiashara, tatizo lao ni mitaji!. Hii sasa ni fursa kwa mwenye wazo zuri, kampuni ya Total itampa mtaji!.
Tuchangamkie furrsa hii.
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="width: 516"][TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="width: 516, align: center"]
[/TD][/TR]
[TR]
[TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 516, align: left"] Total Tanzania, Kuibua Vipaji vya Ubunifu wa Miradi na Kutoa Mitaji...
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[TD="width: 40"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 3"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Paskali