Watanzania, ni muda umefika wa kumpa nchi Tundu lisu, hatuhitaji kupoteza muda tena, Tutajikuta mateka!

Watanzania, ni muda umefika wa kumpa nchi Tundu lisu, hatuhitaji kupoteza muda tena, Tutajikuta mateka!

Nsanzagee

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2023
Posts
2,209
Reaction score
4,769
Ukweli usiopingika, watanzania wanyonge wananyongwa haswaa ili tu kufanikisha misheni za wana ccm wachache, bora hata kipindi cha mwendazake wanyonge walithaminiwa,

Nachukulia mfano mdogo tu wa juzi juzi ndio uone kabisa, ccm inawatafuna watanzania,

Hivi majuzi, tarifa kupitia ITV, walitangaza hali ilivyo katika sekita ya Nishati ya Mafuta nchini kutokana na huduma hiyo kutokupatikana kule Ifakara,

Kwa mjibu wa msemaji wa Idara hiyo aliwahakikishia wananchi kuwa, Serikali inaakiba kubwa ya nishati hiyo kwa sasa, na alishangaa kivipi mafuta hayafiki Ifakara, akawahakikishia wananchi kuwa,Tanzanian haina uhaba wa mafuta na hakuna sababu ya upandaji bei kwa nishati hiyo

Leo hata wiki moja haijapita tokea kauri hiyo kutolewa, leo mafuta yamepanda na haijulikani yanaweza kuagizwa kwa njia ipi kwa sababu Dollar haipatikani! Huku ni kuwafanya wananchi kuwa ngazi ya wana ccm wachache kujilimbikizia mali kwa rushwa

Kwa nini tupate shida, wakati ni huu wa kuiondoa serikali ya ccm kwa kuinyima kura na kuwapa watu wenye uchungu na maisha ya mtanzania

Nasema hivi! Huyu jamaa anayeitwa Lissu, licha ya kupitia mambo magumu na wakati mwingine, ingelikuwa siyo upendo wa nchi yake, angelikuwa keshajikatia tamaa na Watanzania, ninahakika kwa asilimia zote, anaweza kutuvusha kabisa na kuturudishia furaha ambayo tumekuwa tukiitafuta miongo na miongo sasa!

Achilia mbali historia yake, fuatilia hotuba zake za kwenye kuelimisha watu kuhusu nchi na bandari za nchi hii, unaona kabisa ni mtu mwenye uchungu wa kweli na nchi hii

Ccm, wakumbuke hata wao tuliwapa kura kwa kuwajaribishia iwapo wanaweza, lakini kwa sasa, n8 mwananchi gani anaweza kusema wanaweza?

Ni wakati muafaka sasa wa kumpa Ikulu huyu Jamaa Tundu lissu ili kuzifurusha mchwa za ccm!
 
Ukweli usiopingika, watanzania wanyonge wananyongwa haswaa ili tu kufanikisha misheni za wana ccm wachache, bora hata kipindi cha mwendazake wanyonge walithaminiwa,

Nachukulia mfano mdogo tu wa juzi juzi ndio uone kabisa, ccm inawatafuna watanzania,

Hivi majuzi, tarifa kupitia ITV, walitangaza hali ilivyo katika sekita ya Nishati ya Mafuta nchini kutokana na huduma hiyo kutokupatikana kule Ifakara,

Kwa mjibu wa msemaji wa Idara hiyo aliwahakikishia wananchi kuwa, Serikali inaakiba kubwa ya nishati hiyo kwa sasa, na alishangaa kivipi mafuta hayafiki Ifakara, akawahakikishia wananchi kuwa,Tanzanian haina uhaba wa mafuta na hakuna sababu ya upandaji bei kwa nishati hiyo

Leo hata wiki moja haijapita tokea kauri hiyo kutolewa, leo mafuta yamepanda na haijulikani yanaweza kuagizwa kwa njia ipi kwa sababu Dollar haipatikani! Huku ni kuwafanya wananchi kuwa ngazi ya wana ccm wachache kujilimbikizia mali kwa rushwa

Kwa nini tupate shida, wakati ni huu wa kuiondoa serikali ya ccm kwa kuinyima kura na kuwapa watu wenye uchungu na maisha ya mtanzania

Nasema hivi! Huyu jamaa anayeitwa Lissu, licha ya kupitia mambo magumu na wakati mwingine, ingelikuwa siyo upendo wa nchi yake, angelikuwa keshajikatia tamaa na Watanzania, ninahakika kwa asilimia zote, anaweza kutuvusha kabisa na kuturudishia furaha ambayo tumekuwa tukiitafuta miongo na miongo sasa!

Achilia mbali historia yake, fuatilia hotuba zake za kwenye kuelimisha watu kuhusu nchi na bandari za nchi hii, unaona kabisa ni mtu mwenye uchungu wa kweli na nchi hii

Ccm, wakumbuke hata wao tuliwapa kura kwa kuwajaribishia iwapo wanaweza, lakini kwa sasa, n8 mwananchi gani anaweza kusema wanaweza?

Ni wakati muafaka sasa wa kumpa Ikulu huyu Jamaa Tundu lissu ili kuzifurusha mchwa za ccm!
Naunga mkono HOJA 🙏🙏
 
Ukweli usiopingika, watanzania wanyonge wananyongwa haswaa ili tu kufanikisha misheni za wana ccm wachache, bora hata kipindi cha mwendazake wanyonge walithaminiwa,

Nachukulia mfano mdogo tu wa juzi juzi ndio uone kabisa, ccm inawatafuna watanzania,

Hivi majuzi, tarifa kupitia ITV, walitangaza hali ilivyo katika sekita ya Nishati ya Mafuta nchini kutokana na huduma hiyo kutokupatikana kule Ifakara,

Kwa mjibu wa msemaji wa Idara hiyo aliwahakikishia wananchi kuwa, Serikali inaakiba kubwa ya nishati hiyo kwa sasa, na alishangaa kivipi mafuta hayafiki Ifakara, akawahakikishia wananchi kuwa,Tanzanian haina uhaba wa mafuta na hakuna sababu ya upandaji bei kwa nishati hiyo

Leo hata wiki moja haijapita tokea kauri hiyo kutolewa, leo mafuta yamepanda na haijulikani yanaweza kuagizwa kwa njia ipi kwa sababu Dollar haipatikani! Huku ni kuwafanya wananchi kuwa ngazi ya wana ccm wachache kujilimbikizia mali kwa rushwa

Kwa nini tupate shida, wakati ni huu wa kuiondoa serikali ya ccm kwa kuinyima kura na kuwapa watu wenye uchungu na maisha ya mtanzania

Nasema hivi! Huyu jamaa anayeitwa Lissu, licha ya kupitia mambo magumu na wakati mwingine, ingelikuwa siyo upendo wa nchi yake, angelikuwa keshajikatia tamaa na Watanzania, ninahakika kwa asilimia zote, anaweza kutuvusha kabisa na kuturudishia furaha ambayo tumekuwa tukiitafuta miongo na miongo sasa!

Achilia mbali historia yake, fuatilia hotuba zake za kwenye kuelimisha watu kuhusu nchi na bandari za nchi hii, unaona kabisa ni mtu mwenye uchungu wa kweli na nchi hii

Ccm, wakumbuke hata wao tuliwapa kura kwa kuwajaribishia iwapo wanaweza, lakini kwa sasa, n8 mwananchi gani anaweza kusema wanaweza?

Ni wakati muafaka sasa wa kumpa Ikulu huyu Jamaa Tundu lissu ili kuzifurusha mchwa za ccm!
support
 
Lisu tutampa nchi kwa katiba na tume ipi ya uchaguzi? Hizi ni ndoto za mchana.

Tusipoweeza kwenye mapambano ya kutafuta katiba bora ccm itatawala milele.
 
Ukweli usiopingika, watanzania wanyonge wananyongwa haswaa ili tu kufanikisha misheni za wana ccm wachache, bora hata kipindi cha mwendazake wanyonge walithaminiwa,

Nachukulia mfano mdogo tu wa juzi juzi ndio uone kabisa, ccm inawatafuna watanzania,

Hivi majuzi, tarifa kupitia ITV, walitangaza hali ilivyo katika sekita ya Nishati ya Mafuta nchini kutokana na huduma hiyo kutokupatikana kule Ifakara,

Kwa mjibu wa msemaji wa Idara hiyo aliwahakikishia wananchi kuwa, Serikali inaakiba kubwa ya nishati hiyo kwa sasa, na alishangaa kivipi mafuta hayafiki Ifakara, akawahakikishia wananchi kuwa,Tanzanian haina uhaba wa mafuta na hakuna sababu ya upandaji bei kwa nishati hiyo

Leo hata wiki moja haijapita tokea kauri hiyo kutolewa, leo mafuta yamepanda na haijulikani yanaweza kuagizwa kwa njia ipi kwa sababu Dollar haipatikani! Huku ni kuwafanya wananchi kuwa ngazi ya wana ccm wachache kujilimbikizia mali kwa rushwa

Kwa nini tupate shida, wakati ni huu wa kuiondoa serikali ya ccm kwa kuinyima kura na kuwapa watu wenye uchungu na maisha ya mtanzania

Nasema hivi! Huyu jamaa anayeitwa Lissu, licha ya kupitia mambo magumu na wakati mwingine, ingelikuwa siyo upendo wa nchi yake, angelikuwa keshajikatia tamaa na Watanzania, ninahakika kwa asilimia zote, anaweza kutuvusha kabisa na kuturudishia furaha ambayo tumekuwa tukiitafuta miongo na miongo sasa!

Achilia mbali historia yake, fuatilia hotuba zake za kwenye kuelimisha watu kuhusu nchi na bandari za nchi hii, unaona kabisa ni mtu mwenye uchungu wa kweli na nchi hii

Ccm, wakumbuke hata wao tuliwapa kura kwa kuwajaribishia iwapo wanaweza, lakini kwa sasa, n8 mwananchi gani anaweza kusema wanaweza?

Ni wakati muafaka sasa wa kumpa Ikulu huyu Jamaa Tundu lissu ili kuzifurusha mchwa za ccm!

"Lisu akiwa Rais atakuwa kiongozi mzuri ila itabidi Watanzania tujifunze namna ya kuishi kwa kufuata sheria" - Mzee Joseph Sinde Warioba.
 
Ukweli usiopingika, watanzania wanyonge wananyongwa haswaa ili tu kufanikisha misheni za wana ccm wachache, bora hata kipindi cha mwendazake wanyonge walithaminiwa,

Nachukulia mfano mdogo tu wa juzi juzi ndio uone kabisa, ccm inawatafuna watanzania,

Hivi majuzi, tarifa kupitia ITV, walitangaza hali ilivyo katika sekita ya Nishati ya Mafuta nchini kutokana na huduma hiyo kutokupatikana kule Ifakara,

Kwa mjibu wa msemaji wa Idara hiyo aliwahakikishia wananchi kuwa, Serikali inaakiba kubwa ya nishati hiyo kwa sasa, na alishangaa kivipi mafuta hayafiki Ifakara, akawahakikishia wananchi kuwa,Tanzanian haina uhaba wa mafuta na hakuna sababu ya upandaji bei kwa nishati hiyo

Leo hata wiki moja haijapita tokea kauri hiyo kutolewa, leo mafuta yamepanda na haijulikani yanaweza kuagizwa kwa njia ipi kwa sababu Dollar haipatikani! Huku ni kuwafanya wananchi kuwa ngazi ya wana ccm wachache kujilimbikizia mali kwa rushwa

Kwa nini tupate shida, wakati ni huu wa kuiondoa serikali ya ccm kwa kuinyima kura na kuwapa watu wenye uchungu na maisha ya mtanzania

Nasema hivi! Huyu jamaa anayeitwa Lissu, licha ya kupitia mambo magumu na wakati mwingine, ingelikuwa siyo upendo wa nchi yake, angelikuwa keshajikatia tamaa na Watanzania, ninahakika kwa asilimia zote, anaweza kutuvusha kabisa na kuturudishia furaha ambayo tumekuwa tukiitafuta miongo na miongo sasa!

Achilia mbali historia yake, fuatilia hotuba zake za kwenye kuelimisha watu kuhusu nchi na bandari za nchi hii, unaona kabisa ni mtu mwenye uchungu wa kweli na nchi hii

Ccm, wakumbuke hata wao tuliwapa kura kwa kuwajaribishia iwapo wanaweza, lakini kwa sasa, n8 mwananchi gani anaweza kusema wanaweza?

Ni wakati muafaka sasa wa kumpa Ikulu huyu Jamaa Tundu lissu ili kuzifurusha mchwa za ccm!
Tundu lissu awe Rais wa JMT!!
 
20230720_121112.jpg
 
Ukweli usiopingika, watanzania wanyonge wananyongwa haswaa ili tu kufanikisha misheni za wana ccm wachache, bora hata kipindi cha mwendazake wanyonge walithaminiwa,

Nachukulia mfano mdogo tu wa juzi juzi ndio uone kabisa, ccm inawatafuna watanzania,

Hivi majuzi, tarifa kupitia ITV, walitangaza hali ilivyo katika sekita ya Nishati ya Mafuta nchini kutokana na huduma hiyo kutokupatikana kule Ifakara,

Kwa mjibu wa msemaji wa Idara hiyo aliwahakikishia wananchi kuwa, Serikali inaakiba kubwa ya nishati hiyo kwa sasa, na alishangaa kivipi mafuta hayafiki Ifakara, akawahakikishia wananchi kuwa,Tanzanian haina uhaba wa mafuta na hakuna sababu ya upandaji bei kwa nishati hiyo

Leo hata wiki moja haijapita tokea kauri hiyo kutolewa, leo mafuta yamepanda na haijulikani yanaweza kuagizwa kwa njia ipi kwa sababu Dollar haipatikani! Huku ni kuwafanya wananchi kuwa ngazi ya wana ccm wachache kujilimbikizia mali kwa rushwa

Kwa nini tupate shida, wakati ni huu wa kuiondoa serikali ya ccm kwa kuinyima kura na kuwapa watu wenye uchungu na maisha ya mtanzania

Nasema hivi! Huyu jamaa anayeitwa Lissu, licha ya kupitia mambo magumu na wakati mwingine, ingelikuwa siyo upendo wa nchi yake, angelikuwa keshajikatia tamaa na Watanzania, ninahakika kwa asilimia zote, anaweza kutuvusha kabisa na kuturudishia furaha ambayo tumekuwa tukiitafuta miongo na miongo sasa!

Achilia mbali historia yake, fuatilia hotuba zake za kwenye kuelimisha watu kuhusu nchi na bandari za nchi hii, unaona kabisa ni mtu mwenye uchungu wa kweli na nchi hii

Ccm, wakumbuke hata wao tuliwapa kura kwa kuwajaribishia iwapo wanaweza, lakini kwa sasa, n8 mwananchi gani anaweza kusema wanaweza?

Ni wakati muafaka sasa wa kumpa Ikulu huyu Jamaa Tundu lissu ili kuzifurusha mchwa za ccm!
Lissu juu kabisa

Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
 
Tundulisu akishikwa na njaa anaongea au anafanya chochote kilicho mbele yake.
Kama leo anamsifia jiwe, amemsahau hata ben saanane, ujue mtu wa aina hii ni wahovyo kuwahi kutokea. inawezekana anamatatizo makubwa kichwani kwake.
 
Back
Top Bottom