Soma vizuri mada yangu utaelewa main point yangu ni ipiMkuu umetugeuka, si tulikuwa tunawaponda BSS sisi sote? Au umeshashikishwa bahasha ya khaki...
BSS waache utapeli.
Watanzania wengi wanatatizo lakuwa wanafiki na wasio na shukrani hata kidogo, nimeona wengi wakiiponda bss na wengine kwenda mbali zaidi kuitukana na kutoa lugha chafu juu yao Cha ajabu mpaka washiriki wenyewe walioshiriki bss nao wameingia kwenye Huu mkumbo.
Pamoja na bss kutuumiwa kula hela ya washiriki lakini pia tusisahau bss wanamchango mkubwa Sana kwa Hawa washiriki wasio na shukrani hata kidogo hiv leo hii bila bss Nani angemfahamu kayumba au hamisi,Nimeangalia interview ya hamisi imenisikitisha Sana ametumia lugha chafu kuisema bss.
Washiriki wengi walikuwa wanafanyiwa audition wakiwa hata kupaka make up walikuwa hawajui na wengine walikuja ikiwemo hamisi na mavazi ya ajabu ajabu wakafundishwa kuvaa wakawa wanatrainiwa vocal pamoja na kuimba na bendi ili watu hawaoni na washiriki wenyewe hawaoni zaidi ya kutoa lugha chafu.
walikuwa pia wanakaa kwenye hotel za nyota 5 Kama kambi na Zina gharama kubwa Sana kweli tunashindwa hata kuliona hili kweli?
Hao washiriki wanaoisema vibaya bss mbona hatuoni juhudi zao katika mziki? Kazi yao Ni kutupia zigo lote kwa bss bila hata wao wenyewe kujiangalia.kuna wasanii wengi hawajapata hata bahati ya kupata platform kubwa ya kuonekana ya bss lakini wametoboa kwenye mziki wao wameshindwa vipi kutoboa?
NB: Ni kweli bss wanakula hela lakini hiyo haimaanishi tusione uzuri wao waliofanya kwenye hii tansia ya mziki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]msechu yupo kwenye peak ? hajawahi hata kuwa kwenye peak kitumbo yule, labda peak ya vitumboz akiongozwa na le mutuz
(natania tu)
Mkuu, kwenye thread yako hata haueleweki unacholalamikia ni kipi, unasema eti walikuwa wanakaa kwenye hotel ya nyota tano kwa hiyo nini? Hiyo ni sehemu ya mchakato. Ni sawa mtu aje aseme kuwa 'wewe unasema elimu haijakusaidia wakati umeenda kusoma UDOM, chuo chenye majengo bora', je huo ubora wa majengo una manufaa gani ya moja kwa moja katika matumizi ya elimu yangu?. Hiyo ilikuwa ni sehemu ya mchakato na ilikuwa ni lazima wafanue hivyo. Na hao hawakuwa wanakaa hapo bure kwa sababu kuna kitu walnatoa in exchage ambacho ni vipaji vyao, wewe mbona hukwrnda huko kwenye hizo hotel? Ni kwa sababu huna kitu cha kutoa ili ukae kwenye hizo hotel. Kinachoangaliwa ni kuwa lile ni shindano na lengo la shindano linaeleweka., apatikane mshindi na mambo yaende kadiri ya makubaliano.Soma vizuri mada yangu utaelewa main point yangu ni ipi
Nyinyi mmejikita kwenye kuwashambulia tu bila hata kuappeciate pia mambo mazuri waliofanyaMkuu, kwenye thread yako hata haueleweki unacholalamikia ni kipi, unasema eti walikuwa wanakaa kwenye hotel ya nyota tano kwa hiyo nini? Hiyo ni sehemu ya mchakato. Ni sawa mtu aje aseme kuwa 'wewe unasema elimu haijakusaidia wakati umeenda kusoma UDOM, chuo chenye majengo bora', je huo ubora wa majengo una manufaa gani ya moja kwa moja katika matumizi ya elimu yangu?. Hiyo ilikuwa ni sehemu ya mchakato na ilikuwa ni lazima wafanue hivyo. Na hao hawakuwa wanakaa hapo bure kwa sababu kuna kitu walnatoa in exchage ambacho ni vipaji vyao, wewe mbona hukwrnda huko kwenye hizo hotel? Ni kwa sababu huna kitu cha kutoa ili ukae kwenye hizo hotel. Kinachoangaliwa ni kuwa lile ni shindano na lengo la shindano linaeleweka., apatikane mshindi na mambo yaende kadiri ya makubaliano.
BSS sio kubwa kiasi cha mtu ukipita pale utapata jina mafanikio kirahisi. Kupata jina na kutangazwa kuwa umeshinda 50m ilhali umepewa sofa ni mzigo mkubwa kwa washiriki na kufanya wasemwe vibaya kuwa wametumia pesa kwa anasa kumbe waliambulia kumbatio tu.
BSS waache janjajanja, walipe pesa.
Watanzania wengi wanatatizo lakuwa wanafiki na wasio na shukrani hata kidogo, nimeona wengi wakiiponda BSS na wengine kwenda mbali zaidi kuitukana na kutoa lugha chafu juu yao Cha ajabu mpaka washiriki wenyewe walioshiriki bss nao wameingia kwenye Huu mkumbo.
Pamoja na BSS kutuumiwa kula hela ya washiriki lakini pia tusisahau bss wanamchango mkubwa Sana kwa Hawa washiriki wasio na shukrani hata kidogo hiv leo hii bila bss Nani angemfahamu kayumba au hamisi,Nimeangalia interview ya hamisi imenisikitisha Sana ametumia lugha chafu kuisema BSS.
Washiriki wengi walikuwa wanafanyiwa audition wakiwa hata kupaka make up walikuwa hawajui na wengine walikuja ikiwemo hamisi na mavazi ya ajabu ajabu wakafundishwa kuvaa wakawa wanatrainiwa vocal pamoja na kuimba na bendi ili watu hawaoni na washiriki wenyewe hawaoni zaidi ya kutoa lugha chafu.
walikuwa pia wanakaa kwenye hotel za nyota 5 Kama kambi na Zina gharama kubwa Sana kweli tunashindwa hata kuliona hili kweli?
Hao washiriki wanaoisema vibaya BSS mbona hatuoni juhudi zao katika mziki? Kazi yao Ni kutupia zigo lote kwa BSS bila hata wao wenyewe kujiangalia.kuna wasanii wengi hawajapata hata bahati ya kupata platform kubwa ya kuonekana ya BSS lakini wametoboa kwenye mziki wao wameshindwa vipi kutoboa?
NB: Ni kweli BSS wanakula hela lakini hiyo haimaanishi tusione uzuri wao waliofanya kwenye hii tansia ya mziki.
Nyinyi mmejikita kwenye kuwashambulia tu bila hata kuappeciate pia mambo mazuri waliofanya
Mkuu huna hoja ya msingi, hauwezi kulazimisha vitu ambavyo vinatokea vyenyewe kama sehemu ya mchakato vionekane zaidi kuliko lengo kuu la mchakato wenyewe.Nyinyi mmejikita kwenye kuwashambulia tu bila hata kuappeciate pia mambo mazuri waliofanya
Hebu kijite kwenye ukweli wa mambo.Tuambie unachokijua kuhusu malipo kwa washindi.Mjadala kuhusu BSS umejikita kwenye malipo kwa washindi. Wewe unatuambia kuwa eti wawe na shukurani.Kama ni hivyo,BSS wasingekuwa wanatoa ahadi ya kitita cha fedha hewa kwa washindi.Wangekuwa wakweli na si vinginevyo.Watanzania wengi wanatatizo lakuwa wanafiki na wasio na shukrani hata kidogo, nimeona wengi wakiiponda BSS na wengine kwenda mbali zaidi kuitukana na kutoa lugha chafu juu yao Cha ajabu mpaka washiriki wenyewe walioshiriki bss nao wameingia kwenye Huu mkumbo.
Pamoja na BSS kutuumiwa kula hela ya washiriki lakini pia tusisahau bss wanamchango mkubwa Sana kwa Hawa washiriki wasio na shukrani hata kidogo hiv leo hii bila bss Nani angemfahamu kayumba au hamisi,Nimeangalia interview ya hamisi imenisikitisha Sana ametumia lugha chafu kuisema BSS.
Washiriki wengi walikuwa wanafanyiwa audition wakiwa hata kupaka make up walikuwa hawajui na wengine walikuja ikiwemo hamisi na mavazi ya ajabu ajabu wakafundishwa kuvaa wakawa wanatrainiwa vocal pamoja na kuimba na bendi ili watu hawaoni na washiriki wenyewe hawaoni zaidi ya kutoa lugha chafu.
walikuwa pia wanakaa kwenye hotel za nyota 5 Kama kambi na Zina gharama kubwa Sana kweli tunashindwa hata kuliona hili kweli?
Hao washiriki wanaoisema vibaya BSS mbona hatuoni juhudi zao katika mziki? Kazi yao Ni kutupia zigo lote kwa BSS bila hata wao wenyewe kujiangalia.kuna wasanii wengi hawajapata hata bahati ya kupata platform kubwa ya kuonekana ya BSS lakini wametoboa kwenye mziki wao wameshindwa vipi kutoboa?
NB: Ni kweli BSS wanakula hela lakini hiyo haimaanishi tusione uzuri wao waliofanya kwenye hii tansia ya mziki.
Hakika mkuu [emoji120][emoji120][emoji120]Kwahiyo ' Upuuzi ' wako wote huu uliouandika hapa ndiyo ' unahalalisha ' huo ' Uhuni ' wa Bongo Star Search ya Madam Rita na Washirika wake kwa huyo Kijana wa Watu ambaye anazunguka kila Mwezi kutokea Mkoani kuja Jijini Dar es Salaam tena hadi Wazazi wake wakiwa Wanakopa Pesa kwa Watu ili Kupigania Haki ya Mtoto ( Kijana ) Wao?
Kuna Watu uwezo wenu wa Kujenga Hoja unakera hadi Kutusikitisha. Siku zingine kama mnajijua ni ' Watupu ' Vichwani mwenu msiwe mnatupotezea muda kwa Kuja na ' Hoja ' za hovyo hovyo kama hizi. Hiyo Kampuni imefanya si tu ' Uhuni ' bali ni ' Ukatili ' kabisa kwa Mshindi huyo Kijana wa Watu. Hebu Wewe vaa Viatu vyake ungejisikiaje?
Tena nitashukuru kama Wizara husika itaipa Adhabu Kali hiyo Kampuni na ikiwezekana hata Kuifungia kama si Kuifuta kabisa ili iwe Fundisho kwa ' Wahuni ' wengine nchini.
we unaweza kukubali kufanyiwa unyama kama mchakato wa kumpata mshindi unaenda hadi miezi mitano vijana wanajituma kufanikisha ndoto zao wamepoteza muda wao mwingi halafu kumbe shindano lenyewe ni ukanjanja tu bro inaumiza sana bro fikiria kama kijana angeamua kulima vitunguu huko kwao angekuwa wapiTatizo watz hata maisha yako yakikushinda unatafuta wakumpa lawama lkn bss ilikuwa bonge la fursa kwa vijana.
Wao mtu akishinda anaondoka na kwenda kujitegemea ww unataka madam rita awasimamie kivp kuwatungia au kuwatengenezea beat.Niambie ni msanii gani alietolewa na bss mpaka sasa yuko kwenye pick ama amewahi kukaa kwenye pick hata kwa mwaka mmoja?
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zote walikuwa wapi chanzo cha hili tatizo ni wao wenyewe waliahidiwa nini wakakaa kimya maana sisi watazamaji tunajua wamelipwa.we unaweza kukubali kufanyiwa unyama kama mchakato wa kumpata mshindi unaenda hadi miezi mitano vijana wanajituma kufanikisha ndoto zao wamepoteza muda wao mwingi halafu kumbe shindano lenyewe ni ukanjanja tu bro inaumiza sana bro fikiria kama kijana angeamua kulima vitunguu huko kwao angekuwa wapi
Mkuu huo sio ujinga ni kwamba anataka mazingira ya kuchukua ela kubwa toka kwa wadhamini huku akijua atawapa kiduchu washindiUjinga wa madam ritha uko hapa;-kutoa zawadi kubwa ya 50 mil wakati hata angesema zawadi mil.5 bado watu wangeshiriki tu,pia ilikuwa ni kama matusi kuna kipindi mshindi wa ligi kuu bara alkuwa anapewa mil.30 afu bss mil.50
Kweli kabisa.Tatizo watz hata maisha yako yakikushinda unatafuta wakumpa lawama lkn bss ilikuwa bonge la fursa kwa vijana.