Watanzania ni wanafiki hasa kuhusu Sakata la BSS

Mngewalipa hela zao zote heshima yenu msinge itia dosari... Wa Tz waliwaamini sana hamjui tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ivi mtoa mada unalenga kitu gani..naomba nijibu kwa kutumia sentesi moja tu
 
Jamani Vyuma vimebana sana..na ukiona mtu anatangaza fursa fursa jua wewe ndo fursa yenyewe( wahenga walishasema)!! huo uhuni upo kwenye sekta nyingi sana watu wanavutia upande wao..
Ila walichomfanyia kijana wa watu sio poa hata kidogo
 
Hivi watu walikuwa wanashiriki BSS ili wakalale kwenye mahotel ya gharama, au lengo, lilikuwa washinde, wapate zawadi zao, stahiki zao kama vile waandaaji walivyojitangaza?? Maisha yao yasonge..
Zawadi siyo fadhila??

Waandaaji wawape washindi washiriki stahiki zao, waache ubabaishaji!! Hilo ndilo linalogomba hapa..

Hayo ya kulala kwenye mahotel 5STAR, ni mipango ya waandaaji, hayawahusu washiriki...

Everyday is Saturday.......................😎
 
ivi mtoa mada unalenga kitu gani..naomba nijibu kwa kutumia sentesi moja tu
Mtoa mada lengo lake ni kutunanga watanzania tuliotokea Nanjilinjili, kuwa hatuna shukurani, BSS ndiyo imetuleta mujini, tumejua kulala 5 star hotel, so hatuna haki ya kulalamika hatujapokea zawadi kama ilivyotangazwa...
Turudi kijijini tukakate mkaa..
😀😀😀😀😀😀

Nonsense!

Everyday is Saturday.....................😎
 
Tanzania kuna vipaji vingi havipewi nafasi mfano amin,ben paul, barnaba hawa ni wanamuziki wazuri sana lakini tazama hatua waliyopo ni ya kawaida sana,hawa walitakiwa wapewe support kubwa
Nafasi ipi wapewe unayozungumzia ww?
 
Write your reply...hayo uliotaja ndo mazuri uki compare na dhuluma wanazofanya ?

daah aibu nimeskia Mimi sio kwa hoja za kitoto kama hizi kama tamasha na shindano wanaandaa wao ulitegemea hivyo vitu ulivyotaja sio malazi sjui five star afanye nani ?
 
Nyinyi mmejikita kwenye kuwashambulia tu bila hata kuappeciate pia mambo mazuri waliofanya

Kwako wew mambo Mazuri n Kufundisha watu kupaka make up??

kuweka watu kwny hotel ya nyota5??

Kukatisha vijana tamaa kuwa hawawezi na bdae vjana kutusua ( Kondeboy )

Kuzurumu washindi pesa zao halali ??

Ama hayo mambo mazuri ni yepi mkuu??
 

Haha.. Nikionaga michango yako Mkuu huwa nacheka kwanza. Nasogeza glass ya Maji. Kisha nasoma kwa utulivu.. Barikiwa sana aise
 
Tatizo huyo jamaa anajiona ana akili sana. Lakini ni kilaza balaa. Magazeti yake huwa sisome kwa kuwa ni pumba tu na kujiboast boast sana.
Jamaa ndo alivyo ujuaji mwingi.
 
Kwako wew mambo Mazuri n Kufundisha watu kupaka make up??

kuweka watu kwny hotel ya nyota5??

Kukatisha vijana tamaa kuwa hawawezi na bdae vjana kutusua ( Kondeboy )

Kuzurumu washindi pesa zao halali ??

Ama hayo mambo mazuri ni yepi mkuu??
Mbona suala la kuwapa platform pana wasanii ya kuonekana na watanzania wengi ulisemi?
 
Mbona suala la kuwapa platform pana wasanii ya kuonekana na watanzania wengi ulisemi?

Platfom bila ela wapi na wapi..

Hizo nyimbo utarekord vipi..

Videos nazo jeh..?

Utaendelea kuishi kwenu..

Utakula platforms?

'Sanaa sio kiwanda cha kutengeneza maskini wenye majina makubwa '

Acha kuwaza utoto bwana mdogo..
 
Madam Rita alisema wadhamini wamekwama China sababu ya Covid19....ghafla wadhamini wakajitokeza na kusema walishamalizana naye.....duh ngoja tusubiri BSS ya mwakani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…