Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mjinga yule sanaHuwezi kuipata, Diamond na mama yake walichelewa kuingia ukumbini. Protokali rais akishaingia hakuna tena anaeruhusiwa kuingia. Hivyo walikuwa nje.
Alifikiri rais wa WCB ni sawa na rais wa JMT!mjinga yule sana
Pole Mkuu, inaonyesha umekereka kweli, nimejiuliza kama ungekuwa unahojiwa na kamera inakumulika bado ungeweza kutoa maoni kama haya? kujificha nyuma ya keyboard kunatufanya tuwe wapumbavu zaidi.mjinga yule amekuja muda ambao hata Rais wa nchi ameshakuja! hana nidhamu mpumbafu kabisa! kaishia nje tuuu ma.ta.ko yake
Nilikuwa siyo mfatiliaji wa haya mambo ila nimegundua kuna baadhi ya watu wanamchukia diamond sababu ya mafanikio yake na hii ndiyo identity ya kitanzania kuchukia wenye mafanikioMuagwaji alikua na mke?
Na alimfundisha hadi kuvaaDomo anajisikia mno, Ruge ndiye aliyemtoa kwenye biashara ya mitumba hadi kuwa maarufu
Mbona unateseka sana... Uwepo wake una kunyima aman auasubutuuuu
mjinga yule amekuja muda ambao hata Rais wa nchi ameshakuja! hana nidhamu mpumbafu kabisa! kaishia nje tuuu ma.ta.ko yake
Nimesikia Jana Daimond alikuwa naye Karimjee kwenye kuaga marehemu Ruge.
Kama Kuna mwenye picha tafadhali naomba nione hapa.
Ili awe tofaut na wengine. Swala la kuchelewa naona alichelewa saloon.Wengine wanahoji kwanini hajavaa suti nyeusi?
na wewe mpumbav tu ku.ma.nyo.koPole Mkuu, inaonyesha umekereka kweli, nimejiuliza kama ungekuwa unahojiwa na kamera inakumulika bado ungeweza kutoa maoni kama haya? kujificha nyuma ya keyboard kunatufanya tuwe wapumbavu zaidi.
Inawezekana alizuiwa lakini sio kwa sababu zinazotajwa Instagram bali ni protokali za kiserikali! Diamond alichelewa kufika Karemjee bila kujali sababu za kuchelewa kwake! Kiprotokali, haiwezekani Rais wa Nchi aage mwili halafu baadae atokee mtu mwingine akaage; hiyo itakuwa ni kufanya atakayekuja baada ya Rais ndie boss mweneyewe! Ni kama unavyoona pale Taifa! Viongozi wooooooooote, wanaingia ndipo the Man Himself anaingia!.[emoji3][emoji16][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Naskia kazuiwa kuaga maiti!!!kweli si kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo wewe!!!Domo anajisikia mno, Ruge ndiye aliyemtoa kwenye biashara ya mitumba hadi kuwa maarufu
Sio kwa hili povu!!!asubutuuuu
mjinga yule amekuja muda ambao hata Rais wa nchi ameshakuja! hana nidhamu mpumbafu kabisa! kaishia nje tuuu ma.ta.ko yake
Kiukweli nilijisikia vibaya sana pale tamasha la fiesta lilivyozuiliwa dakika za mwisho, hlf diamond akapost kuashiria kwamba kafurahishwa sana.Kila kitu, wengi tu hata Lemutuz, hawakutegemea msiba wa Ruge ungekuwa wa kitaifa walitegemea majungu yao yangewaingia wananchi, ni kama nyoka kichaka kimechomwa wameamua kujitokeza. kama alikuwa mbaya na hana thamani mbele yake leo why ajitokeze?
Si huyo wala wenzake wanaoweza kujibu!!! Jamaa alivyo kituko, katika kujibu hilo swali akadai eti Diamond ali-post picha Instagram akicheka baada ya Fiesta kuzuiwa!!!! Yaani bure kabisa!!jibu swali alimfedhehesha kivipi?
Hivi nyie watu vipi?! Nothing personal, it's a business! Hivi ulimsikia Majizo alivyokuwa ameongea kuhusu Ruge? Tena aliongelea Clouds na wala sio mitaani!! Pale ndipo nilipokuja kuthibitisha kwamba kumbe kweli jamaa zilikuwa haziivi!!Kiukweli nilijisikia vibaya sana pale tamasha la fiesta lilivyozuiliwa dakika za mwisho, hlf diamond akapost kuashiria kwamba kafurahishwa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app