Watanzania ni waoga sana hata mimi ni muoga

Watanzania ni waoga sana hata mimi ni muoga

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Watanzania ni waoga sana hata Mimi muoga sana yaani ukitekwa eneo nililopo Mimi sahau kuhusu msaada Sina mda wa kufa Kwa ajili ya mjinga mwingine aishi sababu sioni faida naona wengi mnaongea sijui watu wa dar wako hivi ajabu maneno na mbwembwe zote zinaishia humu na wahusika ambao ni polisi wanatamba na nyie huko mkoani mnawaona kwanini mnashindwa kuwawajibisha jibu ni fupi tu hamna mtu muoga kwenye kufa kama mtanzania hata Mimi ni muoga sana usifanye masihara na lile tundu la risasi uonyeshewe usoni
 
Siko tayari kumsaidia mwanasiasa kwa maana wote ni walewale.
Wote ni majambazi tu.
 
Ni uoga wako tu! Huwezi kumteka mtu mbele yangu! Na najua nyie ni watekaji lazima nikumbuke enzi hizo tunapigana wanchari na warenchoka! Labda mmoja aondoke duniani! Wakuria hatuna ujinga huo!
 
Ni uoga wako tu! Huwezi kumteka mtu mbele yangu! Na najua nyie ni watekaji lazima nikumbuke enzi hizo tunapigana wanchari na warenchoka! Labda mmoja aondoke duniani! Wakuria hatuna ujinga huo!
Umefanya nini mpaka Sasa katika idadi ya watu waliotekwa
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Mi naona tulikofikia Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake kwa maana wanasiasa wanatafuta huruma kwa watanzania walio maskini badala ya kuwaonea huruma watanzania walio maskini.
Hao akina mbowe, lisu na wengine wengi wanapambania matumbo yao tu.
 
Mi naona tulikofikia Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake kwa maana wanasiasa wanatafuta huruma kwa watanzania walio maskini badala ya kuwaonea huruma watanzania walio maskini.
Hao akina mbowe, lisu na wengine wengi wanapambania matumbo yao tu.
Kabisa Kila mtu aingie chaka lake
 
Tatizo wazee wetu walipata uhuru bila kuingia msituni. Wangepitia hizo kadhia, hata vizazi vyao visingeogopa kuingia barabarani..

Hata hivyo wacha niwaache wafu mzikane
 
Back
Top Bottom