Watanzania ni waoga sana hata mimi ni muoga

Watanzania ni waoga sana hata mimi ni muoga

Kwa wewe unayetaka kuingia kwenye Siasa naomba nikusihi kuwa siasa siku zote ni mchezo chafu duniani kote so kama uliingia kwenye siasa kwa pupa ukidhani siasa ni fair play majibu ndiyo hayo.

Ova.
 
Mi naona tulikofikia Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake kwa maana wanasiasa wanatafuta huruma kwa watanzania walio maskini badala ya kuwaonea huruma watanzania walio maskini.
Hao akina mbowe, lisu na wengine wengi wanapambania matumbo yao tu.
Sasa watupneeje
Mi naona tulikofikia Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake kwa maana wanasiasa wanatafuta huruma kwa watanzania walio maskini badala ya kuwaonea huruma watanzania walio maskini.
Hao akina mbowe, lisu na wengine wengi wanapambania matumbo yao tu.
Sasa watuoneeje huruma zaidi hayo mapambano wanayoyapambana then tunayaita kutetea matumbo yao? Wazunguke kugawa hela kila kaya?

Elimu ya uraia wanatoa, way foward ya kupambana na mazingira yaliyopo wanatoa na hata kuwa mstari wa mbele ila tunaohangaikiwa tupo kwenye usingizi wa pono, unataka waone huruma gani kwa mazezeta?
 
Sasa watupneeje

Sasa watuoneeje huruma zaidi hayo mapambano wanayoyapambana then tunayaita kutetea matumbo yao? Wazunguke kugawa hela kila kaya?

Elimu ya uraia wanatoa, way foward ya kupambana na mazingira yaliyopo wanatoa na hata kuwa mstari wa mbele ila tunaohangaikiwa tupo kwenye usingizi wa pono, unataka waone huruma gani kwa mazezeta?
Mkuu asilimia kubwa ya viongozi wa vyama pinzani ni waganga njaa, wangekuwa wanataka kuwasaidia watanzania wangeunda chama kimoja ambacho kitapambana na CCM. Na nina uhakika chama cha upinzani kingekuwa kimoja baadhi ya hao waganga njaa wasingepata hizo Kiki za kisiasa zinazowaingizia pesa ndiyo maana hawako tayari kuunda chama kimoja.

Nyambafu.
 
Watanzania ni waoga sana hata Mimi muoga sana yaani ukitekwa eneo nililopo Mimi sahau kuhusu msaada Sina mda wa kufa Kwa ajili ya mjinga mwingine aishi sababu sioni faida naona wengi mnaongea sijui watu wa dar wako hivi ajabu maneno na mbwembwe zote zinaishia humu na wahusika ambao ni polisi wanatamba na nyie huko mkoani mnawaona kwanini mnashindwa kuwawajibisha jibu ni fupi tu hamna mtu muoga kwenye kufa kama mtanzania hata Mimi ni muoga sana usifanye masihara na lile tundu la risasi uonyeshewe usoni
Wale walio kufa Kariakoo walipigwa risasi? Hospitalini Daily watu wanakufa kwa kukosa huduma bora vipi wanapigwa risasi? Yule mama mjamzito alie kufa kwa Gari la Wagonjwa kuto kuwa na mafuta alipigwa risasi?
 
Wale walio kufa Kariakoo walipigwa risasi? Hospitalini Daily watu wanakufa kwa kukosa huduma bora vipi wanapigwa risasi? Yule mama mjamzito alie kufa kwa Gari la Wagonjwa kuto kuwa na mafuta alipigwa risasi?
Kichwani kwako naona Kuna funza nenda kakikate
 
Watanzania ni waoga sana hata Mimi muoga sana yaani ukitekwa eneo nililopo Mimi sahau kuhusu msaada Sina mda wa kufa Kwa ajili ya mjinga mwingine aishi sababu sioni faida naona wengi mnaongea sijui watu wa dar wako hivi ajabu maneno na mbwembwe zote zinaishia humu na wahusika ambao ni polisi wanatamba na nyie huko mkoani mnawaona kwanini mnashindwa kuwawajibisha jibu ni fupi tu hamna mtu muoga kwenye kufa kama mtanzania hata Mimi ni muoga sana usifanye masihara na lile tundu la risasi uonyeshewe usoni
Uoga huu hautufikishi popote
 
Back
Top Bottom