neno ni upanga
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 494
- 1,656
Hawajetekwa mbele yangu mkuuJibu swali umefanya nini Kwa watu waliotekwa mpaka Sasa hivi mbona maelezo mengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajetekwa mbele yangu mkuuJibu swali umefanya nini Kwa watu waliotekwa mpaka Sasa hivi mbona maelezo mengi
Sahihi kabisa sisi ni waoga sanaTatizo wazee wetu walipata uhuru bila kuingia msituni. Wangepitia hizo kadhia, hata vizazi vyao visingeogopa kuingia barabarani..
Hata hivyo wacha niwaache wafu mzikane
Umefanya nini Kwa ambao wametekwa na wengine kuuwawa na wengine hawajapatikana kama kina soka na wenzake umwamba wako uko wapiHawajetekwa mbele yangu mkuu
Kwani wewe maada yako ilikuwa inasemaje??? Nimejikita kwenye maada yako mkuu!Umefanya nini Kwa ambao wametekwa na wengine kuuwawa na wengine hawajapatikana kama kina soka na wenzake umwamba wako uko wapi
Mada ni uoga wa watanzania ambao wewe mwenyewe pia ni muoga au unabishaKwani wewe maada yako ilikuwa inasemaje??? Nimejikita kwenye maada yako mkuu!
Angetekwa mbele yako nzi wangekuwa wanakufuata fuata maana ungekuwa full of makimba.Hawajetekwa mbele yangu mkuu
Huyo jamaa hajawahi kunyooshewa Bomba la bunduki usoni yaani hata Kwa kutaniwa tu🤣🤣🤣Angetekwa mbele yako nzi wangekuwa wanakufuata fuata maana ungekuwa full of makimba.
Kabisa, huyu hata akioneshwa bastola ya kuchezea watoto anaweza toka nduki.Huyo jamaa hajawahi kunyooshewa Bomba la bunduki usoni yaani hata Kwa kutaniwa tu🤣🤣🤣
Keyboard warrior huyoKabisa, huyu hata akioneshwa bastola ya kuchezea watoto anaweza toka nduki.
Huzunikia familia yako mkuu.Kiufupii ni HUZUNI.
Sasa watupneejeMi naona tulikofikia Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake kwa maana wanasiasa wanatafuta huruma kwa watanzania walio maskini badala ya kuwaonea huruma watanzania walio maskini.
Hao akina mbowe, lisu na wengine wengi wanapambania matumbo yao tu.
Sasa watuoneeje huruma zaidi hayo mapambano wanayoyapambana then tunayaita kutetea matumbo yao? Wazunguke kugawa hela kila kaya?Mi naona tulikofikia Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake kwa maana wanasiasa wanatafuta huruma kwa watanzania walio maskini badala ya kuwaonea huruma watanzania walio maskini.
Hao akina mbowe, lisu na wengine wengi wanapambania matumbo yao tu.
Mkuu asilimia kubwa ya viongozi wa vyama pinzani ni waganga njaa, wangekuwa wanataka kuwasaidia watanzania wangeunda chama kimoja ambacho kitapambana na CCM. Na nina uhakika chama cha upinzani kingekuwa kimoja baadhi ya hao waganga njaa wasingepata hizo Kiki za kisiasa zinazowaingizia pesa ndiyo maana hawako tayari kuunda chama kimoja.Sasa watupneeje
Sasa watuoneeje huruma zaidi hayo mapambano wanayoyapambana then tunayaita kutetea matumbo yao? Wazunguke kugawa hela kila kaya?
Elimu ya uraia wanatoa, way foward ya kupambana na mazingira yaliyopo wanatoa na hata kuwa mstari wa mbele ila tunaohangaikiwa tupo kwenye usingizi wa pono, unataka waone huruma gani kwa mazezeta?
Wale walio kufa Kariakoo walipigwa risasi? Hospitalini Daily watu wanakufa kwa kukosa huduma bora vipi wanapigwa risasi? Yule mama mjamzito alie kufa kwa Gari la Wagonjwa kuto kuwa na mafuta alipigwa risasi?Watanzania ni waoga sana hata Mimi muoga sana yaani ukitekwa eneo nililopo Mimi sahau kuhusu msaada Sina mda wa kufa Kwa ajili ya mjinga mwingine aishi sababu sioni faida naona wengi mnaongea sijui watu wa dar wako hivi ajabu maneno na mbwembwe zote zinaishia humu na wahusika ambao ni polisi wanatamba na nyie huko mkoani mnawaona kwanini mnashindwa kuwawajibisha jibu ni fupi tu hamna mtu muoga kwenye kufa kama mtanzania hata Mimi ni muoga sana usifanye masihara na lile tundu la risasi uonyeshewe usoni
Kichwani kwako naona Kuna funza nenda kakikateWale walio kufa Kariakoo walipigwa risasi? Hospitalini Daily watu wanakufa kwa kukosa huduma bora vipi wanapigwa risasi? Yule mama mjamzito alie kufa kwa Gari la Wagonjwa kuto kuwa na mafuta alipigwa risasi?
Tusilaumu watu tuendelee kuwa waoga hivyo hivyoKabisa mkuu tena Mimi ni muoga sana Bora nife Kwa ajili ya familia yangu ila sio mtanzania baki
Uoga huu hautufikishi popoteWatanzania ni waoga sana hata Mimi muoga sana yaani ukitekwa eneo nililopo Mimi sahau kuhusu msaada Sina mda wa kufa Kwa ajili ya mjinga mwingine aishi sababu sioni faida naona wengi mnaongea sijui watu wa dar wako hivi ajabu maneno na mbwembwe zote zinaishia humu na wahusika ambao ni polisi wanatamba na nyie huko mkoani mnawaona kwanini mnashindwa kuwawajibisha jibu ni fupi tu hamna mtu muoga kwenye kufa kama mtanzania hata Mimi ni muoga sana usifanye masihara na lile tundu la risasi uonyeshewe usoni