Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Kweli kabisaNakubaliana na wewe, CCM wametuloga
Aibu kubwa snKweli kabisa
Yaani yoga wa mtanzania akizaliwa popote nchini siku ya kwanza kuja duniani uoga unamvaaAibu kubwa sn
Wala hili sio suruhisho Kuna watekaji wengi tu hawana familiaDawa ni kutafuta familia za watekaji na kuzichoma moto,nadhani kwa namna hii hili litakoma.
Hata sisi ni waoga mkuuYaani yoga wa mtanzania akizaliwa popote nchini siku ya kwanza kuja duniani uoga unamvaa
Sahihi kabisa Bora niwe muogaSiko tayari kumsaidia mwanasiasa kwa maana wote ni walewale.
Wote ni majambazi tu.
Umefanya nini mpaka Sasa katika idadi ya watu waliotekwaNi uoga wako tu! Huwezi kumteka mtu mbele yangu! Na najua nyie ni watekaji lazima nikumbuke enzi hizo tunapigana wanchari na warenchoka! Labda mmoja aondoke duniani! Wakuria hatuna ujinga huo!
Kabisa mkuu tena Mimi ni muoga sana Bora nife Kwa ajili ya familia yangu ila sio mtanzania bakiHata sisi ni waoga mkuu
Eti mtanzania kapuku amsaidie mtu mtu mwenye kitambi chake anayetumia Kiki za kisiasa kujinufaisha hata kama ni kutoka chama pinzani.Sahihi kabisa Bora niwe muoga
Unachojua wewe ni mipira! Hivyi tungekuwa na watu dezain yako enzi hizo tungepata uhuru kweli??? Mmezidi uoga mno!!Umefanya nini mpaka Sasa katika idadi ya watu waliotekwa
Jibu swali umefanya nini Kwa watu waliotekwa mpaka Sasa hivi mbona maelezo mengiUnachojua wewe ni mipira! Hivyi tungekuwa na watu dezain yako enzi hizo tungepata uhuru kweli??? Mmezidi uoga mno!!
Kama huogopi nenda usijabanze banze humu.Unachojua wewe ni mipira! Hivyi tungekuwa na watu dezain yako enzi hizo tungepata uhuru kweli??? Mmezidi uoga mno!!
Kabisa Kila mtu aingie chaka lakeMi naona tulikofikia Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake kwa maana wanasiasa wanatafuta huruma kwa watanzania walio maskini badala ya kuwaonea huruma watanzania walio maskini.
Hao akina mbowe, lisu na wengine wengi wanapambania matumbo yao tu.