haszu
JF-Expert Member
- Oct 10, 2017
- 978
- 2,313
Sasa upepo wote umehamia kwa Samia, tumesahau kabisa kua serikali imetoa agizo lakini hadi leo kuna mitandao haijatekeleza na hata.
Tunataka ile menu ya zamani, kwa nini hatuna ajenda yani tunafuata tu upepo? Tunakubari vipi?
Yaani ulikuwa unanunua GB 7 elfu 10 kwa mwezi, leo unapewa GB 2.5 kweli? Hata kama ni kodi au kupanda kwa gharama ndo maara mbili au zaidi ya 60% kwanini tusiipigie kelele hili?
Kama Serikali inaweza kutoa agizo halafu kisitekelezwe je tuko salama sisi? Hapa yaweza kuwa ni danganya toto au Serikali haina meno.
Watanzania tuwe na agenda na lengo, mada zetu zisibadilishwe na upe wa wanasiasa, wao wana wifi kwao hawajui machungu ya bando la elf tatu gb 1, huu ni unyonyaji, mnaniangusha wa ndugu zangu
Tunataka ile menu ya zamani, kwa nini hatuna ajenda yani tunafuata tu upepo? Tunakubari vipi?
Yaani ulikuwa unanunua GB 7 elfu 10 kwa mwezi, leo unapewa GB 2.5 kweli? Hata kama ni kodi au kupanda kwa gharama ndo maara mbili au zaidi ya 60% kwanini tusiipigie kelele hili?
Kama Serikali inaweza kutoa agizo halafu kisitekelezwe je tuko salama sisi? Hapa yaweza kuwa ni danganya toto au Serikali haina meno.
Watanzania tuwe na agenda na lengo, mada zetu zisibadilishwe na upe wa wanasiasa, wao wana wifi kwao hawajui machungu ya bando la elf tatu gb 1, huu ni unyonyaji, mnaniangusha wa ndugu zangu