PowerWithin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2014
- 646
- 501
- Thread starter
-
- #61
Kwa hio mnataka tufanye !? teh tehNakubaliana na wewe mkuu! Bila kufanya vile wasingehesimiana. Na hicho ndio tatizo la TZ.
Sent from my SM-G610F using Tapatalk
Sasa Kwani Nairobi alijenga babakoSouth Africa na Zimbabwe kumbukua uwepo wa wazungu ndio chachu ya maendeleo yao.
Isitoteshe nimekwambia kuna some exceptions kwa baadhi ya maeneo ila kwa ujumla trend ndio hio.
Kijana naona mombasa imekuingia kumoyo mpaka unatukana wazazi wako hahaha ila tambua hiyo ni haramu sababu sio kwa mahaba hayo.Wakenya Shikamooni!
Tukiacha hizi ligi zetu za jadi, wenzetu hawa wapo mbali sana na sisi walau kwa maeneo matatu muhimu na makubwa sana kwa mustakabali wa Taifa. Kama eneo la elimu, uchumi na siasa. Maeneo hayo yanaleta kitu kinaitwa 'multiplier effect' kwenye Taifa lao. Japo leo tunawapongeza kwa upande wa siasa.
Angalia namna wanavyodili na changamoto za general election yao. Wapo open, wapo humble, wapo pure honest ukiachilia mbalil changamoto za kawaida za ushindani wa kiuchaguzi.
Kuna baadhi wanang'ang'ania suala la kuawawa IT manager wa IEBC. Hili limeleta dosari kwa namna fulani, lkn kupitia forms 34A na 34B naona hili wanalitatua bila matatizo. Ustaarabu huu katika medani ya kisiasa si ya kawaida sana katika Africa hasa Tanzania yetu ambapo Chama pinzani na wana harakati hawaruhusiwi kuwa na Tallying Centres mbali ya kufanya siasa tu za majukwaani.
Nini kilichowafanya hawa jamaa watuzidi? Kwa mtazamo wangu ni mfumo wao wa elimu. Nadhani ukilinganisha mfumo wetu wa elimu na wa kwao wa kwetu umekaa kibabaishaji zaidi yaani mfumo usiokuwa na real vision.
Jambo hili ndilo lililowapelekea kudai tume huru na katiba mpya, wakati huku kwetu wananchi wanaomba kutoka chama tawala wapewe katiba mpya na tume huru. Kenya ni tofauti sana na sisi. Tumewakubali sana.
Leo hawa jamaa soon and very soon watakuwa level moja na South Africa both Kisiasa, Kielimu na Kiuchumi. Sioni kitakachowakwamisha maana hata manyang'au wachache mfumo wao unawathibiti. Sisi tunawatakieni mema.
Wana changamoto moja eneo la usalama. Lakini juhudi wanazozifanya are quiet promising. And we wish them good luck.
Nionavyo, sisi kufikia level ya sasa ya wakenya sijui lini kwa mwendo huu tunaoenda nao sasa.
Again, shikamooni wakenya.
Mh ase wewe kumbe ni mbulula zaidi ya nilivyokuhisi. Worse enough mpo wengi wenye hii mindset.Kuna uhsiano mkubwa wa IQ ya binadamu na eneo analopatikana binadamu husika.
In other words,Human Intelligence Quotient is a function of the Region where that particular human being is or can be found.
Kadri unavyo-move kwenda kaskazini mwa bara letu ndivyo IQ ya binadamu invyoongezeka, maarifa,uwezo wa kufikiri,uzalendo,n.k ingawa kuna some exceptions kidogo.
Ndio maana wamisri na wanaigeria huwezi kuwalinganisha kimandeleo na watu wanaoishi kusini mwa jangwa la sahara
Ni sababu hiyo hiyo inayowafanya wamisri, wamorocco,waalgeria,n.k wawe na maendeleo yanayofanana na watu wa mataia ya Ulaya wanayopakana nayo as you move futher north.
Mozambique.. a u sure!!?Mbona South Africa, Mozambique, Zimbabwe, Namibia na Angola walioko kusini wako juu tu kimaendeleo mkuu kutuzidi sisi 'wapumbavu wa ccm' tulio kaskazini kuliko wao?
Hapa wazazi wanahusikaje sasa; kwan bado hujaacha kuvuta shisha?Kijana naona mombasa imekuingia kumoyo mpaka unatukana wazazi wako hahaha ila tambua hiyo ni haramu sababu sio kwa mahaba hayo.
Shisha haijawahi kukuacha salama, japo umeshauriwa sana.Sasa Kwani Nairobi alijenga babako
Tanzania mazingira yanamfanya mtu asiweze kufikiria nje ya boxElimu yao ya kawaida ndio imewafanya wawe hivyo, sisi hii elimu yetu ya kubabaisha ndio maana hatuna nyuma wala mbele.
Wanajua namna ya kujifunza kwa makosa yaliyotendeka.umeshasahau nn kiliwatokea?
Msingi na mtaji ni katiba, angalia kesi ya uchaguzi Kenya ilijikita kwenye katiba. 1+1=2, utajua tu kwa nini suala la katiba sio ajenda muhimu kwa watawala wengi Afrika.
Kuwa na spirit ya mshindani anayekubali kushindwa ili ajipange kushinda. Ukikaa kwenye giza hilo hautatutoa watanzania hapa tulipo.Mleta mada umechambua vizuri sana juu ya hao jamaa na mafanikio yao.
Ulipokosea ni kuwaamkua SHIKAMOO. hapo HAPANA kabisa!!
Labda uwe hujui maana ya hilo neno, kama unajua basi usitujumuishe Watanzania wote, wasujudie kivyako na endelea kukaa chini ya miguu yao.
Kuna uhsiano mkubwa wa IQ ya binadamu na eneo analopatikana binadamu husika.
In other words,Human Intelligence Quotient is a function of the Region where that particular human being is or can be found.
Kadri unavyo-move kwenda kaskazini mwa bara letu ndivyo IQ ya binadamu invyoongezeka, maarifa,uwezo wa kufikiri,uzalendo,n.k ingawa kuna some exceptions kidogo.
Ndio maana wamisri na wanaigeria huwezi kuwalinganisha kimandeleo na watu wanaoishi kusini mwa jangwa la sahara
Ni sababu hiyo hiyo inayowafanya wamisri, wamorocco,waalgeria,n.k wawe na maendeleo yanayofanana na watu wa mataia ya Ulaya wanayopakana nayo as you move futher north.