Watanzania: Shikamooni Wakenya, nyie ni wakubwa.

Watanzania: Shikamooni Wakenya, nyie ni wakubwa.

South Africa na Zimbabwe kumbukua uwepo wa wazungu ndio chachu ya maendeleo yao.

Isitoteshe nimekwambia kuna some exceptions kwa baadhi ya maeneo ila kwa ujumla trend ndio hio.
Sasa Kwani Nairobi alijenga babako
 
Wakenya Shikamooni!

Tukiacha hizi ligi zetu za jadi, wenzetu hawa wapo mbali sana na sisi walau kwa maeneo matatu muhimu na makubwa sana kwa mustakabali wa Taifa. Kama eneo la elimu, uchumi na siasa. Maeneo hayo yanaleta kitu kinaitwa 'multiplier effect' kwenye Taifa lao. Japo leo tunawapongeza kwa upande wa siasa.

Angalia namna wanavyodili na changamoto za general election yao. Wapo open, wapo humble, wapo pure honest ukiachilia mbalil changamoto za kawaida za ushindani wa kiuchaguzi.

Kuna baadhi wanang'ang'ania suala la kuawawa IT manager wa IEBC. Hili limeleta dosari kwa namna fulani, lkn kupitia forms 34A na 34B naona hili wanalitatua bila matatizo. Ustaarabu huu katika medani ya kisiasa si ya kawaida sana katika Africa hasa Tanzania yetu ambapo Chama pinzani na wana harakati hawaruhusiwi kuwa na Tallying Centres mbali ya kufanya siasa tu za majukwaani.

Nini kilichowafanya hawa jamaa watuzidi? Kwa mtazamo wangu ni mfumo wao wa elimu. Nadhani ukilinganisha mfumo wetu wa elimu na wa kwao wa kwetu umekaa kibabaishaji zaidi yaani mfumo usiokuwa na real vision.

Jambo hili ndilo lililowapelekea kudai tume huru na katiba mpya, wakati huku kwetu wananchi wanaomba kutoka chama tawala wapewe katiba mpya na tume huru. Kenya ni tofauti sana na sisi. Tumewakubali sana.

Leo hawa jamaa soon and very soon watakuwa level moja na South Africa both Kisiasa, Kielimu na Kiuchumi. Sioni kitakachowakwamisha maana hata manyang'au wachache mfumo wao unawathibiti. Sisi tunawatakieni mema.

Wana changamoto moja eneo la usalama. Lakini juhudi wanazozifanya are quiet promising. And we wish them good luck.

Nionavyo, sisi kufikia level ya sasa ya wakenya sijui lini kwa mwendo huu tunaoenda nao sasa.

Again, shikamooni wakenya.
Kijana naona mombasa imekuingia kumoyo mpaka unatukana wazazi wako hahaha ila tambua hiyo ni haramu sababu sio kwa mahaba hayo.
 
Kuna uhsiano mkubwa wa IQ ya binadamu na eneo analopatikana binadamu husika.

In other words,Human Intelligence Quotient is a function of the Region where that particular human being is or can be found.

Kadri unavyo-move kwenda kaskazini mwa bara letu ndivyo IQ ya binadamu invyoongezeka, maarifa,uwezo wa kufikiri,uzalendo,n.k ingawa kuna some exceptions kidogo.

Ndio maana wamisri na wanaigeria huwezi kuwalinganisha kimandeleo na watu wanaoishi kusini mwa jangwa la sahara


Ni sababu hiyo hiyo inayowafanya wamisri, wamorocco,waalgeria,n.k wawe na maendeleo yanayofanana na watu wa mataia ya Ulaya wanayopakana nayo as you move futher north.
Mh ase wewe kumbe ni mbulula zaidi ya nilivyokuhisi. Worse enough mpo wengi wenye hii mindset.
Long way to freedom.
 
Kijana naona mombasa imekuingia kumoyo mpaka unatukana wazazi wako hahaha ila tambua hiyo ni haramu sababu sio kwa mahaba hayo.
Hapa wazazi wanahusikaje sasa; kwan bado hujaacha kuvuta shisha?
 
Mengine yote naweza kukubaliana na wewe ila k hili tatizo la Ukabila unifanya niione Tanzania iko level ya juu sana zaidi ya Kenya, kwa kweli kwa msomi kufirikia ukabila wakati wa kutoa maamuzi ila shusha sana yaani hapo ndio huwa nawacoka na kujiona sisi bora sana, ukabila ni changamoto yapaswa waifanyie kazi sana tena sio kwa jazba. maana hapo ndio udhaifu wao ulipo, hizo the so called stronghold zimejaa ukakasi tofauti na kwetu TZ.

Kingine ni distribution of resources, ukiangalia maisha ya watu wa kibera na westi , aaaa wapi kaka!!!!

Lakini kwa mengine Mash Allah!!
 
Mleta mada umechambua vizuri sana juu ya hao jamaa na mafanikio yao.

Ulipokosea ni kuwaamkua SHIKAMOO. hapo HAPANA kabisa!!
Labda uwe hujui maana ya hilo neno, kama unajua basi usitujumuishe Watanzania wote, wasujudie kivyako na endelea kukaa chini ya miguu yao.
Kuwa na spirit ya mshindani anayekubali kushindwa ili ajipange kushinda. Ukikaa kwenye giza hilo hautatutoa watanzania hapa tulipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna uhsiano mkubwa wa IQ ya binadamu na eneo analopatikana binadamu husika.

In other words,Human Intelligence Quotient is a function of the Region where that particular human being is or can be found.

Kadri unavyo-move kwenda kaskazini mwa bara letu ndivyo IQ ya binadamu invyoongezeka, maarifa,uwezo wa kufikiri,uzalendo,n.k ingawa kuna some exceptions kidogo.

Ndio maana wamisri na wanaigeria huwezi kuwalinganisha kimandeleo na watu wanaoishi kusini mwa jangwa la sahara


Ni sababu hiyo hiyo inayowafanya wamisri, wamorocco,waalgeria,n.k wawe na maendeleo yanayofanana na watu wa mataia ya Ulaya wanayopakana nayo as you move futher north.


Botswana, Angola, South African, Namibia mbona ziko juu kiuchumi kuliko nchi nyingi za kaskazini??

Kenya ni nchi ambayo yote yanayotokea ni matokeo ya historia, wakoloni waliifanya kama overseas province hivyo waliwekeza sana. na baada ya uhuru Kenya iliendelea kuwa kibaraka wa nchi za magharibi, and any mission from West landed in Kenya before other Afrikan countries.

pamoja na hayo bado nchi yetu ina tunu adimu na adhimu za umoja na mshikamano bila ukabila. naipenda Tanzania.
 
Back
Top Bottom