Watanzania: Shikamooni Wakenya, nyie ni wakubwa.

Watanzania: Shikamooni Wakenya, nyie ni wakubwa.

Kuna uhsiano mkubwa wa IQ ya binadamu na eneo analopatikana binadamu husika.

In other words,Human Intelligence Quotient is a function of the Region where that particular human being is or can be found.

Kadri unavyo-move kwenda kaskazini mwa bara letu ndivyo IQ ya binadamu invyoongezeka, maarifa,uwezo wa kufikiri,uzalendo,n.k ingawa kuna some exceptions kidogo.

Ndio maana wamisri na wanaigeria huwezi kuwalinganisha kimandeleo na watu wanaoishi kusini mwa jangwa la sahara


Ni sababu hiyo hiyo inayowafanya wamisri, wamorocco,waalgeria,n.k wawe na maendeleo yanayofanana na watu wa mataia ya Ulaya wanayopakana nayo as you move futher north.
Duh, uchambuzi wako unawalakini.

Mimi naomba ufafanuzi kidogo, labda hata wakenya wanaokubaliana na wewe watowe jibu lao hapa. Kama unavyosema wewe ni kweli, basi wananchi wa Kenya wanatakiwa kuwa na uwezo mdogo wa kuchambua mambo kuliko wananchi wa South Sudan, Ethiopian, Somalia, Eritrea, Djibouti, Cameroon, au hata CAR?

Au unataka kusema mtu wa Malawi ni mchambuzi mzuri zaidi ya mtu wa Botswana au Namibia?
 
Wakenya Shikamooni!

Tukiacha hizi ligi zetu za jadi, wenzetu hawa wapo mbali sana na sisi walau kwa maeneo matatu muhimu na makubwa sana kwa mustakabali wa Taifa. Kama eneo la elimu, uchumi na siasa. Maeneo hayo yanaleta kitu kinaitwa 'multiplier effect' kwenye Taifa lao. Japo leo tunawapongeza kwa upande wa siasa.

Angalia namna wanavyodili na changamoto za general election yao. Wapo open, wapo humble, wapo pure honest ukiachilia mbalil changamoto za kawaida za ushindani wa kiuchaguzi.

Kuna baadhi wanang'ang'ania suala la kuawawa IT manager wa IEBC. Hili limeleta dosari kwa namna fulani, lkn kupitia forms 34A na 34B naona hili wanalitatua bila matatizo. Ustaarabu huu katika medani ya kisiasa si ya kawaida sana katika Africa hasa Tanzania yetu ambapo Chama pinzani na wana harakati hawaruhusiwi kuwa na Tallying Centres mbali ya kufanya siasa tu za majukwaani.

Nini kilichowafanya hawa jamaa watuzidi? Kwa mtazamo wangu ni mfumo wao wa elimu. Nadhani ukilinganisha mfumo wetu wa elimu na wa kwao wa kwetu umekaa kibabaishaji zaidi yaani mfumo usiokuwa na real vision.

Jambo hili ndilo lililowapelekea kudai tume huru na katiba mpya, wakati huku kwetu wananchi wanaomba kutoka chama tawala wapewe katiba mpya na tume huru. Kenya ni tofauti sana na sisi. Tumewakubali sana.

Leo hawa jamaa soon and very soon watakuwa level moja na South Africa both Kisiasa, Kielimu na Kiuchumi. Sioni kitakachowakwamisha maana hata manyang'au wachache mfumo wao unawathibiti. Sisi tunawatakieni mema.

Wana changamoto moja eneo la usalama. Lakini juhudi wanazozifanya are quiet promising. And we wish them good luck.

Nionavyo, sisi kufikia level ya sasa ya wakenya sijui lini kwa mwendo huu tunaoenda nao sasa.

Again, shikamooni wakenya.
Nadiriki kusema wewe ni Mkenya.
Au vinginevyo ondoa hilo neno Watanzania,
Wakenya wengi ndio hupenda kuangalia chini Watanzania kama wewe ulivyoandika hapa.
Ndio maana unakuta kuna ligi nyingi sana humu, hii hutokana na wakenya kuhisi ni bora sana na kudharau hata Yale Watanzania huyaona ni mema na hapo ndio Mimi pia hupishana na Wakenya.
 
I hate Kenyans
But my relative are lived in Mombasa, Kenya.
you need to be in Kenya too. definately your relatives are living life in the fast lane! something maybe they won't tell you.
lemme know when you are ready, so i can make for you travel arrangements
 
Elimu yao ni ya kawaida sana kama uliwahi soma shule za st.mary's ,ndo utanielewa mpaka vitabu ni vya kenya hata walimu ni toka kenya, jamaa wapo hivyo sababu ya hali yao ya maisha ni ya kibepari ndo mana jamaa ni aggressive kwenye kila kitu

Elimu yao ya kawaida ndio imewafanya wawe hivyo, sisi hii elimu yetu ya kubabaisha ndio maana hatuna nyuma wala mbele.
 
Akili yako imeganda, haiwezi elewa.
If you are Tanzanian, you should do a thorough rehabilitation of your mindset and start looking things in 3D... But if you are not, you have to concentrate with your own country and stop saying on behalf of others country!

That's how that comments works...Ova
 
Elimu yao ni ya kawaida sana kama uliwahi soma shule za st.mary's ,ndo utanielewa mpaka vitabu ni vya kenya hata walimu ni toka kenya, jamaa wapo hivyo sababu ya hali yao ya maisha ni ya kibepari ndo mana jamaa ni aggressive kwenye kila kitu
Tatizo lako unafikiri elimu ni makaratasi yako, elimu na kuelimika ni vitu tofauti, honestly kama sio mbinafsi ni wazi Kenya unazidi kutuacha ktk mambo mengi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutakuja kama mwewe ndani ya noah nyeusi,kwa siku na mda usioutarajia,ole wako tukutie mikononi,utaimba haleluya...
 
you need to be in Kenya too. definately your relatives are living life in the fast lane! something maybe they won't tell you.
lemme know when you are ready, so i can make for you travel arrangements
Mmh!! Mkenya umeshaona ganda la ndizi unataka kuteleza?

We shoboka tu anaweza akawa mwanaume mwenzako yako.

Avatar yake isikudanganye kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
If you are Tanzanian, you should do a thorough rehabilitation of your mindset and start looking things in 3D... But if you are not, you have to concentrate with your own country and stop saying on behalf of others country!

That's how that comments works...Ova
Kweli kabisa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hujui kiingereza si uandike hata kilugha chenu? Ya nini kung'ang'ania lugha usiyoijua?


If you are Tanzanian, you should do a thorough rehabilitation of your mindset and start looking things in 3D... But if you are not, you have to concentrate with your own country and stop saying on behalf of others country!

That's how that comments works...Ova
 
Wamekuwa hivyo baada kutiana Makonde 2007, kuhusu swala la uchumi kuwa sawa na South Africa du hapo umebugi.... Just forget it...
 
Walikuwa kama sisi before 2007 ila baada ya pale kila mtu alijua kushika adabu.♡♡♧
Sisem itokee kama ile hapana ila we can have better ways kama ilivyotokea Ghana.

Nakubaliana na wewe mkuu! Bila kufanya vile wasingehesimiana. Na hicho ndio tatizo la TZ.

Sent from my SM-G610F using Tapatalk
 
Back
Top Bottom