hitler2006
JF-Expert Member
- Sep 1, 2014
- 489
- 454
Kuna shida sana ya watanzania tulio wengi,tumeathirika sana na ushabiki hasa wa namna ileile ya simba na yanga.
Siasa zinahitaji ufuasi,mfuasi ni mtu anayeelewa barabara kile anchokifuata kimaono, kimtazamo, kisera
Hizi siasa za kishabiki mtu anaunga mkono chama fulani kwa mihemko au kapewa ubwabwa zinaleta tabu sana.
Siasa za kishabiki zinafanywa na watu wajinga na hasa ndo mtaji wa wanasiasa wetu ambao hawawajibiki kwa uma wala kwa vyama vyao.
Matokeo yake wananchi wamegeuka kuwapigia magoti wanasiasa na viongozi wa kisiasa ambao kimsingi sisi wananchi ndo waajiri wao.
WANANCHI TUAMKE TUZIJUE SERA,ITIKADI NA MAONO YA VYAMA HIVI
Maana kuna vingine vinapiga ngoma ya ujamaa huku vikicheza miondoko ya kibepari
Siasa zinahitaji ufuasi,mfuasi ni mtu anayeelewa barabara kile anchokifuata kimaono, kimtazamo, kisera
Hizi siasa za kishabiki mtu anaunga mkono chama fulani kwa mihemko au kapewa ubwabwa zinaleta tabu sana.
Siasa za kishabiki zinafanywa na watu wajinga na hasa ndo mtaji wa wanasiasa wetu ambao hawawajibiki kwa uma wala kwa vyama vyao.
Matokeo yake wananchi wamegeuka kuwapigia magoti wanasiasa na viongozi wa kisiasa ambao kimsingi sisi wananchi ndo waajiri wao.
WANANCHI TUAMKE TUZIJUE SERA,ITIKADI NA MAONO YA VYAMA HIVI
Maana kuna vingine vinapiga ngoma ya ujamaa huku vikicheza miondoko ya kibepari