Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
-
- #161
Mimi ninavyofahamu ni kuwa,kila chama kinaweka wakala kila ngazi ya kituo. Kuanzia kituoni,jimboni hadi taifa. Na huyo wakala analinda kura na kujaza fomu za matokeo. Matokeo yanabandikwa nje kila kituo kwa uwazi na kujumlishwa jimboni na ngazi ya taifa. Sasa wewe unataka uhuru gani? Fafanua.Mimi sio mtoto boss, tume iliyo huru, na tume inayoshiriki ushenzi wa kunajisi uchaguzi naweza kuzitenganisha vizuri sana. Tume hii ni sehemu ya ushenzi wa wazi unaoendelea kwenye chaguzi zetu.
Hawatochagua mtu anaewaletea umasikini watu ili wamuabudu,Mimi ninavyofahamu ni kuwa,kila chama kinaweka wakala kila ngazi ya kituo. Kuanzia kituoni,jimboni hadi taifa. Na huyo wakala analinda kura na kujaza fomu za matokeo. Matokeo yanabandikwa nje kila kituo kwa uwazi na kujumlishwa jimboni na ngazi ya taifa. Sasa wewe unataka uhuru gani? Fafanua.
Nonsense.Hawatochagua mtu anaewaletea umasikini watu ili wamuabudu,
Nonsense.UZALENDO WENU NI MTU KUWA KAMA ZEZETA ,kusapoti kila kitu mpaka Kutumbua DAS kwa sababu ya Kamchepuko ka kisarawe tusisifie tuuuuuuuuu daaah.
Kwa nini hayaonekani sasa hivi? Mbona Epa, Escrow na Kagoda zilionekana marais wakiwa madarakani?Siku JPM akitoka madarakani ndio mtajua madudu yake!
Ukweli mchungu..raisi huwezi kukimbia majanga...Tumeona PM Boris mpaka akaugua...yeye yuko chimbo hapana hawezi kupita na akiiba wajuba wana zaa naeNonsense.
Nonsense.Ukweli mchungu..raisi huwezi kukimbia majanga...Tumeona PM Boris mpaka akaugua...yeye yuko chimbo hapana hawezi kupita na akiiba wajuba wana zaa nae
So what?
[/QUOTE
Trash
Huoni CAG kazuiwa kukagua mashirika nyeti kama ATCL?Kwa nini hayaonekani sasa hivi? Mbona Epa, Escrow na Kagoda zilionekana marais wakiwa madarakani?
Nonsense.Huoni CAG kazuiwa kukagua mashirika nyeti kama ATCL?
Kwa wewe zuzuNonsense.
Wajifunze...Wasituletee siasa za kilaghai...wameshindwa kujenga chama watawezi Nchi....Wamepoteana kila mmoja yuko kivyakeUzalendo ni itikadi ya kuweka maslahi ya taifa lako mbele ili liweze kufanikiwa kwa kila namna. Lakini inatia aibu sana CHADEMA na wanachama wake pamoja na wafuasi wake hawana uzalendo kabisa na hawalitakii mema taifa letu.
Kwa mwananchi mzalendo ambae unalitakia mema taifa lako huwezi kubeza mambo ambayo CCM imelifanyia taifa hili tangu tunapata uhuru mpaka sasa. Serikali ya CCM inaimarisha sekta ya afya kwa kujenga vituo vya afya na hospital, mnasema eti ni maendeleo ya vitu. Kwani hawatakuja kutibiwa watu?
Serikali ya CCM inajenga mradi wa JNHPP ili taifa lipate umeme mwingi na wa uhakika. Mnasema eti ni Mega structures na hazina manufaa kwa watu. Kwani huo umeme nyie wanaChadema hamtautumia? Tena kwa bei rahisi! Mradi wa Sgr mnasema ni maendeleo ya vitu sio watu. Kwa hiyo hiyo treni hamtaipanda? Hamtasafirishia mizigo yenu?
Kwa ujumla watanzania wameshawajua ninyi ni wapiga dili na chama chenu kipo kimaslahi binafsi. Sio kuwaletea watanzania maendeleo kwa maslahi mapana ya taifa letu.
Natoa ushauri tu Oktoba msijaribu kugombea nafasi yoyote maana watanzania hawawataki tena.
Siasa sio chuki na uadui.