Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Nilikuwa napitia hapa orodha ya Wanafunzi wa Nje ya Tanzania walio anza masomo katika mwaka huu wa 2022/2023 katika shahada za azamili (masters)na uzamivu(PhD)-full time kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Kweli ni wengi na wametoka mataifa karibu 23 ndani ya Afrika na Nje,kama ifuatavyo:-
1. Kenya
2. Uganda
3. Malawi
4. Congo
5. Rwanda
6. Ethiopia
7. Germany
8. Mozambique
9. Zambia
10. South Sudan
11. Liberia
12. Swaziland
13. Burundi
14. Zimbabwe
15. China
16. Tokelau
17. Egypt
18. Ghana
19. Nigeria
20. Sierra Leone
21. Gambia
22. Somalia
23. Cameroon.
bado wale wa muda mfupi wapo wengi kutoka Norway,Germany & China.
data za vyuo vingine sijui Ila kwa UDSM kwa Mwaka huu wanafunzi wa Nje wametokea mataifa hayo.hii maana yake elimu yetu kwa Tanzania ikiwakilishwa na UDSM bado IPO vizuri ndio maana tunapata wageni hao.
Kweli ni wengi na wametoka mataifa karibu 23 ndani ya Afrika na Nje,kama ifuatavyo:-
1. Kenya
2. Uganda
3. Malawi
4. Congo
5. Rwanda
6. Ethiopia
7. Germany
8. Mozambique
9. Zambia
10. South Sudan
11. Liberia
12. Swaziland
13. Burundi
14. Zimbabwe
15. China
16. Tokelau
17. Egypt
18. Ghana
19. Nigeria
20. Sierra Leone
21. Gambia
22. Somalia
23. Cameroon.
bado wale wa muda mfupi wapo wengi kutoka Norway,Germany & China.
data za vyuo vingine sijui Ila kwa UDSM kwa Mwaka huu wanafunzi wa Nje wametokea mataifa hayo.hii maana yake elimu yetu kwa Tanzania ikiwakilishwa na UDSM bado IPO vizuri ndio maana tunapata wageni hao.