Watanzania tuache kumtumia Mungu kisiasa

Watanzania tuache kumtumia Mungu kisiasa

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Kwa sababu hofu ya Mungu imekuwa kubwa kwa watu wengi siku hizi wameanza kumtumia Mungu kisiasa.

Kunq mqma mmoja namkumbuka aliwahi kuomba hadi analia Mungu afanye miujiza ya kumpa pesa wakati pesa alikuwa nayo ya kutosha. Lengo ilikuwa ni kuwaaminisha watu wa hapo nyumbani (wageni) wajue anahali mbaya wasimuombe kitu. Hii ni kutumia maombi kisiasa.

Leo mwanasiasa kwa sababu amejua watu wengi wanamuogopa Mungu, atatumia kauli za kimungu ili kuhalalisha uongo wake. Atatumia Mungu, Biblia ili kuhalalisha kukweoa wajibu aliotakiwa kuufanya.

Leo watu wavivu nao wanamtumia Mungu kisiasa kwa kusema eti Mungu amewapangia wawe masikini. Wanaona ni halali wao kupewa msaada na watu ambao ni kama wao sema wao waliamka na kuchakarika.

Wanamaombi wa kitanzania wanakesha maporini wakiomba miujiza ya kiuchumi na kiafya badala ya kufanya kazi siku sita na sabato Jumamosi kuitumia siku nzima na Mungu ili wabarikiwe. Hii ni siasa ya kukwepa wajibu na uwajibikaji.

Wakuu tuache kumtumia Mungu kisiasa.

Ni hayo tu

Mbarikiwe
Mtumishi Matunduizi
 
Hakika
6292fe11a60cd6c3c2ef710c1938d441.jpg
 
Kwa sababu hofu ya Mungu imekuwa kubwa kwa watu wengi siku hizi wameanza kumtumia Mungu kisiasa.

Kunq mqma mmoja namkumbuka aliwahi kuomba hadi analia Mungu afanye miujiza ya kumpa pesa wakati pesa alikuwa nayo ya kutosha. Lengo ilikuwa ni kuwaaminisha watu wa hapo nyumbani ( wageni) wajue anahali mbaya wasimuombe kitu. Hii ni kutumia maombi kisiasa.

Leo mwanasiasa kwa sababu amejua watu wengi wanamuogopa Mungu, atatumia kauli za kimungu ili kuhalalisha uongo wake. Atatumia Mungu, Biblia ili kuhalalisha kukweoa wajibu aliotakiwa kuufanya.

Leo watu wavivu nao wanamtumia Mungu kisiasa kwa kusema eti Mungu amewapangia wawe masikini. Wanaona ni halali wao kupewa msaada na watu ambao ni kama wao sema wao waliamka na kuchakarika.

Wanamaombi wa kitanzania wanakesha maporini wakiomba miujiza ya kiuchumi na kiafya badala ya kufanya kazi siku sita na sabato Jumamosi kuitumia siku nzima na Mungu ili wabarikiwe. Hii ni siasa ya kukwepa wajibu na uwajibikaji.


Wakuu tuache kumtumia Mungu kisiasa.


Ni hayo tu

Mbarikiwe
Mtumishi Matunduizi
Leo mwanasiasa kwa sababu amejua watu wengi wanamuogopa Mungu, atatumia kauli za kimungu ili kuhalalisha uongo wake. Atatumia Mungu, Biblia ili kuhalalisha kukweoa wajibu aliotakiwa kuufanya.🔨
 
Dhana ya Mungu yenyewe ipo kisiasa , wamisionari wa kwanza kuileta dhana ya Mungu wanaedai wa Israel Africa waliileta kisiasa , leo hii wewe ni nani utake isitumike kisiasa ?
 
Back
Top Bottom