Watanzania tuamke, Bunge la chama kimoja limezaa tozo

Naam, ili dawa ituingie vizuri. Watanzania tumezidi mno kuwa mazoba. Bila watanzania wote kupandwa hasira na kusema sasa basi, hakuna kitakachofanyika. Tunahitaji kuwa jasiri kama Wazambia
tumekuwa wajanja mitandaoni tu ila kwenye field apo ndio tatizo linapoanzia.....lakin tujipe subira mateso na manyanyaso yanapozid ndio wanatujengea ujasiri.ipo ck patageuka libya hapa tz
 
Yule kichaa wa chato ndio katuletea wahuni wenzie,huko aliko anapasua kokoto na kubeba mawe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…