Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Yah pamoja na umasikini wang lkn nimeendelea kuulinda utu wang.Wakati wewe na familia yenu hamna uhakika wa kupata mlo mmoja wa siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah pamoja na umasikini wang lkn nimeendelea kuulinda utu wang.Wakati wewe na familia yenu hamna uhakika wa kupata mlo mmoja wa siku
Wengine wana majumba ila wanatumia solar.Tuvuteni subra kidogo. Tumpe mama muda. Tozo zitaisha. Ila mashaka yangu wasiokuwa na Umeme wao nyumba zao hazitalipa Kodi ya majengo
Naam, ili dawa ituingie vizuri. Watanzania tumezidi mno kuwa mazoba. Bila watanzania wote kupandwa hasira na kusema sasa basi, hakuna kitakachofanyika. Tunahitaji kuwa jasiri kama Wazambiasubira? wakati tunaendelea kuumia
:Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya wanyongwe,
:Tozo iendelee.
Kachemka kama yule zulumati....Hivi ni mpinzani gani mzalendo anayetaka kuona UKAMILIFU WA MIRADI YA KIMKAKATI NA UPANUZI WA HUDUMA ZA AFYA VIJIJINI akaiona TOZO YA MIAMALA YA SIMU kuwa ni MBAYA NA ADUI WA TAIFA?!!!
Tuhamie kwenye umeme wa jua tu,dawa ni kununua panel kubwa na kuachana na huu unyang'anyiTuvuteni subra kidogo. Tumpe mama muda. Tozo zitaisha. Ila mashaka yangu wasiokuwa na Umeme wao nyumba zao hazitalipa Kodi ya majengo
Tatizo si kulipa Bali ni matumizi.Kwa wanaojifunza HISTORIA ya taifa letu ADHIMU watakukumbusha ya kwamba BABA WA TAIFA alileta KODI YA KICHWA ili KUPATA FEDHA YA MAENDELEO KWA NCHI.....
Hivi ni mwenye nyumba gani ANAYEFAIDI UTULIVU WA NCHI YAKE akashindwa kulipa shilingi 12,000 kwa MWAKA huku akijua kuwa NCHI HAIWEZI KUENDA bila YA VYANZO VIPYA VYA MAPATO?!!!!!
#NchiKwanza
#KaziIendelee
Bunge Batili na Nyang'anyi liliowekwa na Mtu mmoja haliwezi kuwatetea wananchi.Bunge hili 2025 tupa kule. Likachunge Ng'ombe!!Watanzania muda tulio nao kwa sasa na matatizo tunayo pambana nayo liwe fundisho.
Mwaka 2020 October tukubali kuwa tulichezewa sana na tukakubali na matokeo yake ndiyo haya sasa.
Bunge lililopatikana ni matokeo ya sisi kukubali kudanganywa kwa maneno mazuri lakini sasa tunaonja shubiri.
Hakuna waziri anayejali wala kusikiliza kilio cha tozo gandamizi za miamala na sasa tozo za majengo kupitia huduma za umeme.
Hatuna mwakilishi pale bungeni tukubali kuwa wote waliopo pale ni wana CCM tu na wapo pale kutetea maamuzi yoyote ya kutoka CCM.
View attachment 1901401
Yaani Serikali ya huyu mama wa viti maalum imeamua kutupora hela Watanzania, mfano kodi ya majengo ya mwaka wa fedha 2021/22 tulikwishalipa kabla ya July mosi 2021 lakini leo tunaambiwa tulipie kodi ya mwaka mwingine upya, huu si ni wizi na uporaji? Wanasheria hebu litazameni suala hili kwa jicho pana zaidi ili mfungue kesi Mahakamani kupinga unyanganyi huu wa Serikali. Wameshindwa kubuni vyanzo stahiki vya mapato wameamua kutupora kwa nguvu pesa zetu kupitia Huduma ambazo hatuwezi kuzikwepaWatanzania muda tulio nao kwa sasa na matatizo tunayo pambana nayo liwe fundisho.
Mwaka 2020 October tukubali kuwa tulichezewa sana na tukakubali na matokeo yake ndiyo haya sasa.
Bunge lililopatikana ni matokeo ya sisi kukubali kudanganywa kwa maneno mazuri lakini sasa tunaonja shubiri.
Hakuna waziri anayejali wala kusikiliza kilio cha tozo gandamizi za miamala na sasa tozo za majengo kupitia huduma za umeme.
Hatuna mwakilishi pale bungeni tukubali kuwa wote waliopo pale ni wana CCM tu na wapo pale kutetea maamuzi yoyote ya kutoka CCM.
View attachment 1901401
Wenye nyumba Crimea na johnthebaptistKwa wanaojifunza HISTORIA ya taifa letu ADHIMU watakukumbusha ya kwamba BABA WA TAIFA alileta KODI YA KICHWA ili KUPATA FEDHA YA MAENDELEO KWA NCHI.....
Hivi ni mwenye nyumba gani ANAYEFAIDI UTULIVU WA NCHI YAKE akashindwa kulipa shilingi 12,000 kwa MWAKA huku akijua kuwa NCHI HAIWEZI KUENDA bila YA VYANZO VIPYA VYA MAPATO?!!!!!
#NchiKwanza
#KaziIendelee
La upinzani lilikuwa na kususia vikao ila cha ajabu walikuwa wepesi wakupokea marupurupu bila kufanyakazi.Watanzania muda tulio nao kwa sasa na matatizo tunayo pambana nayo liwe fundisho.
Mwaka 2020 October tukubali kuwa tulichezewa sana na tukakubali na matokeo yake ndiyo haya sasa.
Bunge lililopatikana ni matokeo ya sisi kukubali kudanganywa kwa maneno mazuri lakini sasa tunaonja shubiri.
Hakuna waziri anayejali wala kusikiliza kilio cha tozo gandamizi za miamala na sasa tozo za majengo kupitia huduma za umeme.
Hatuna mwakilishi pale bungeni tukubali kuwa wote waliopo pale ni wana CCM tu na wapo pale kutetea maamuzi yoyote ya kutoka CCM.
View attachment 1901401