Watanzania tuamke, Bunge la chama kimoja limezaa tozo

Watanzania tuamke, Bunge la chama kimoja limezaa tozo

Mzoee tu Mambo ya Tozo,Wafanyakazi Kila mwezi wanakamuliwa PAYE na wakilalamika mnawasema
 
subira? wakati tunaendelea kuumia
Naam, ili dawa ituingie vizuri. Watanzania tumezidi mno kuwa mazoba. Bila watanzania wote kupandwa hasira na kusema sasa basi, hakuna kitakachofanyika. Tunahitaji kuwa jasiri kama Wazambia
 
Hivi ni mpinzani gani mzalendo anayetaka kuona UKAMILIFU WA MIRADI YA KIMKAKATI NA UPANUZI WA HUDUMA ZA AFYA VIJIJINI akaiona TOZO YA MIAMALA YA SIMU kuwa ni MBAYA NA ADUI WA TAIFA?!!!
Kachemka kama yule zulumati....
 
Ahaa kumbe kale ka lugha laini 'solidarity fund' kalikuwa ka kuzugia tu, ukweli ni 'tii sheria bila shurti'
 
Kwa wanaojifunza HISTORIA ya taifa letu ADHIMU watakukumbusha ya kwamba BABA WA TAIFA alileta KODI YA KICHWA ili KUPATA FEDHA YA MAENDELEO KWA NCHI.....

Hivi ni mwenye nyumba gani ANAYEFAIDI UTULIVU WA NCHI YAKE akashindwa kulipa shilingi 12,000 kwa MWAKA huku akijua kuwa NCHI HAIWEZI KUENDA bila YA VYANZO VIPYA VYA MAPATO?!!!!!

#NchiKwanza
#KaziIendelee
Tatizo si kulipa Bali ni matumizi.
 
Watanzania muda tulio nao kwa sasa na matatizo tunayo pambana nayo liwe fundisho.

Mwaka 2020 October tukubali kuwa tulichezewa sana na tukakubali na matokeo yake ndiyo haya sasa.

Bunge lililopatikana ni matokeo ya sisi kukubali kudanganywa kwa maneno mazuri lakini sasa tunaonja shubiri.

Hakuna waziri anayejali wala kusikiliza kilio cha tozo gandamizi za miamala na sasa tozo za majengo kupitia huduma za umeme.

Hatuna mwakilishi pale bungeni tukubali kuwa wote waliopo pale ni wana CCM tu na wapo pale kutetea maamuzi yoyote ya kutoka CCM.

View attachment 1901401
Bunge Batili na Nyang'anyi liliowekwa na Mtu mmoja haliwezi kuwatetea wananchi.Bunge hili 2025 tupa kule. Likachunge Ng'ombe!!
 
Wananchi wa nchi ya Tozonia🐒🐒🐒
605758310.jpg
 
Bunge Batili na Nyang'anyi liliowekwa na Mtu mmoja haliwezi kuwatetea wananchi.Bunge hili 2025 tupa kule. Likachunge Ng'ombe!!
Ili hilo lifanyike basi nguvu ya pamoja inahitajika bila kujali itikadi zetu za u ccm na upinzani.
 
Nchi hii wasaliti wakubwa wanaopaswa kuja kufikishwa mahakamani ni vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Badala ya kuwa na wananchi wao wanatumika na wanasiasa kuiba chaguzi.Hopeless kabisa.
 
Watanzania muda tulio nao kwa sasa na matatizo tunayo pambana nayo liwe fundisho.

Mwaka 2020 October tukubali kuwa tulichezewa sana na tukakubali na matokeo yake ndiyo haya sasa.

Bunge lililopatikana ni matokeo ya sisi kukubali kudanganywa kwa maneno mazuri lakini sasa tunaonja shubiri.

Hakuna waziri anayejali wala kusikiliza kilio cha tozo gandamizi za miamala na sasa tozo za majengo kupitia huduma za umeme.

Hatuna mwakilishi pale bungeni tukubali kuwa wote waliopo pale ni wana CCM tu na wapo pale kutetea maamuzi yoyote ya kutoka CCM.

View attachment 1901401
Yaani Serikali ya huyu mama wa viti maalum imeamua kutupora hela Watanzania, mfano kodi ya majengo ya mwaka wa fedha 2021/22 tulikwishalipa kabla ya July mosi 2021 lakini leo tunaambiwa tulipie kodi ya mwaka mwingine upya, huu si ni wizi na uporaji? Wanasheria hebu litazameni suala hili kwa jicho pana zaidi ili mfungue kesi Mahakamani kupinga unyanganyi huu wa Serikali. Wameshindwa kubuni vyanzo stahiki vya mapato wameamua kutupora kwa nguvu pesa zetu kupitia Huduma ambazo hatuwezi kuzikwepa
 
Kwa wanaojifunza HISTORIA ya taifa letu ADHIMU watakukumbusha ya kwamba BABA WA TAIFA alileta KODI YA KICHWA ili KUPATA FEDHA YA MAENDELEO KWA NCHI.....

Hivi ni mwenye nyumba gani ANAYEFAIDI UTULIVU WA NCHI YAKE akashindwa kulipa shilingi 12,000 kwa MWAKA huku akijua kuwa NCHI HAIWEZI KUENDA bila YA VYANZO VIPYA VYA MAPATO?!!!!!

#NchiKwanza
#KaziIendelee
Wenye nyumba Crimea na johnthebaptist
 
Watanzania muda tulio nao kwa sasa na matatizo tunayo pambana nayo liwe fundisho.

Mwaka 2020 October tukubali kuwa tulichezewa sana na tukakubali na matokeo yake ndiyo haya sasa.

Bunge lililopatikana ni matokeo ya sisi kukubali kudanganywa kwa maneno mazuri lakini sasa tunaonja shubiri.

Hakuna waziri anayejali wala kusikiliza kilio cha tozo gandamizi za miamala na sasa tozo za majengo kupitia huduma za umeme.

Hatuna mwakilishi pale bungeni tukubali kuwa wote waliopo pale ni wana CCM tu na wapo pale kutetea maamuzi yoyote ya kutoka CCM.

View attachment 1901401
La upinzani lilikuwa na kususia vikao ila cha ajabu walikuwa wepesi wakupokea marupurupu bila kufanyakazi.
 
Back
Top Bottom