Sote tunakumbuka tarehe ya kuhamia digital ilipofika mitambo ya analogia ilizimwa,mimi nilitegemea hilo litokee hivo hivo kwenye tariff mpya za simu, lakini halijafanyika.sasa the way foward ni kwenda kuuliza whts wrong with TCRA baadae ni kuwaumbua kwa vile watakua wamehongwa les ipsa laquitor