Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Kama kichwa cha habari kinavyosema.
Mimi binafsi nipo tayari kumwaga damu yangu Kwa ajili ya hili taifa, najua ipo siku nitakufa kwanini niogope kifo wakati huyo atakayenishoot na yeye ipo siku atakufa pia?
Tunaona serikali inatuibia, tuzinduke usingizini tunaibiwa na wakufanya hii hali ipotee ni sisi vijana wa miaka hii sababu tuna elimu, tusikubali.
Najua watu watasema mimi ni keyboard warrior ila nipo tayari. Binafsi roho yangu iondoke duniani kwajili ya taifa hili, Wakenya wametupa Somo, nafikiri wenyewe mmeona.
Vijana tuamke tunaibiwa nchi hii, wakunitafuta anitafute nipo tayari kwa lolote ila ajipange sababu maisha yote nimeishi, kama pesa ninayo na utajiri naujua upoje ila kinachoniuma kuna mijitu inaibia wananchi bila huruma na mwananchi anaishi maisha ya kimasikini na Kodi analipa tena ya hali ya juu.
TANZANIA GENERATION Z IS COMMING SOON.
====
Pia soma: Gen Z gather here: Tuko wapi mbona hatuonekani? Kenya wametuonesha njia tunaweza washughulikia kigeneration yetu!
Mimi binafsi nipo tayari kumwaga damu yangu Kwa ajili ya hili taifa, najua ipo siku nitakufa kwanini niogope kifo wakati huyo atakayenishoot na yeye ipo siku atakufa pia?
Tunaona serikali inatuibia, tuzinduke usingizini tunaibiwa na wakufanya hii hali ipotee ni sisi vijana wa miaka hii sababu tuna elimu, tusikubali.
Najua watu watasema mimi ni keyboard warrior ila nipo tayari. Binafsi roho yangu iondoke duniani kwajili ya taifa hili, Wakenya wametupa Somo, nafikiri wenyewe mmeona.
Vijana tuamke tunaibiwa nchi hii, wakunitafuta anitafute nipo tayari kwa lolote ila ajipange sababu maisha yote nimeishi, kama pesa ninayo na utajiri naujua upoje ila kinachoniuma kuna mijitu inaibia wananchi bila huruma na mwananchi anaishi maisha ya kimasikini na Kodi analipa tena ya hali ya juu.
TANZANIA GENERATION Z IS COMMING SOON.
====
Pia soma: Gen Z gather here: Tuko wapi mbona hatuonekani? Kenya wametuonesha njia tunaweza washughulikia kigeneration yetu!