Watanzania tuamke tunaibiwa
Ujinga wa keyboard warrior unahama kutoka kwetu ma generation A na B unawaingia madogo sasa wa generation Z
Sina mda wa kubishana na watu mnaoibia wananchi Kodi wanazolipa ila Kaa ukijua hautaishi milele pamoja na hizo Kodi unazoibia masikini
 
Sina mda wa kubishana na watu mnaoibia wananchi Kodi wanazolipa ila Kaa ukijua hautaishi milele pamoja na hizo Kodi unazoibia masikini
Ila muda wa kujidanganya unao?

Generation z yenu bure kabisa acha kutuchuuza.
 
Ila muda wa kujidanganya unao?

Generation z yenu bure kabisa acha kutuchuuza.
Narudia tena hatutanii muda wa kuibia raia umeisha mlichoiba kinatosha aiwezekani raia waisho maisha ya kimasikini Kwa nchi kama hii full stop
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema.

Mimi binafsi nipo tayari kumwaga damu yangu Kwa ajili ya hili taifa, najua ipo siku nitakufa kwanini niogope kifo wakati huyo atakayenishoot na yeye ipo siku atakufa pia?

Tunaona serikali inatuibia, tuzinduke usingizini tunaibiwa na wakufanya hii hali ipotee ni sisi vijana wa miaka hii sababu tuna elimu, tusikubali.

Najua watu watasema mimi ni keyboard warrior ila nipo tayari. Binafsi roho yangu iondoke duniani kwajili ya taifa hili, Wakenya wametupa Somo, nafikiri wenyewe mmeona.

Vijana tuamke tunaibiwa nchi hii, wakunitafuta anitafute nipo tayari kwa lolote sababu maisha yote nimeishi, kama pesa ninayo na utajiri naujua upoje ila kinachoniuma kuna mijitu inaibia wananchi bila huruma na mwananchi anaishi maisha ya kimasikini na Kodi analipa tena ya hali ya juu.

TANZANIA GENERATION Z IS COMMING SOON.

====

Pia soma: Gen Z gather here: Tuko wapi mbona hatuonekani? Kenya wametuonesha njia tunaweza washughulikia kigeneration yetu!
Nchi imeshikwa na majizi matupu, wana utajiri usio na maelezo, wanatanua mitaani na familia zao kwa pesa za kodi zetu. Wamefanikiwa kwa kutengeneza kabila la machawa. Vijana amkeni jamani nchi inaangamia
 
Nchi imeshikwa na majizi matupu, wana utajiri usio na maelezo, wanatanua mitaani na familia zao kwa pesa za kodi zetu. Wamefanikiwa kwa kutengeneza kabila la machawa. Vijana amkeni jamani nchi inaangamia
Tuamke bila vijana hamna kitu chocjote kitabadilika wanawake wazee wanatusikiliza sisi vijana tutafanyaje kwenye hii nchi
 
Unaongea na mizoga mkuu, Tz hakuna vijana wenye morali kama Gen Z wa kenya🤣🤣
 
Back
Top Bottom