Habari wakuu
Nimefungua duka la kuuza mayai ya kisasa, nimegundua mayai yanahitajika sana maana mzigo unatoka mno, ila tatizo upatikanaji umekua changamoto, Tanzania tuna wafugaji wachache sana walio serious.
Kama kuna mfugaji mwenye uwezo wa kuniletea trei 500 kila baada ya siku 3 nitafute tufanye kazi. Ntakua mteja wa kudumu.
Nimefungua duka la kuuza mayai ya kisasa, nimegundua mayai yanahitajika sana maana mzigo unatoka mno, ila tatizo upatikanaji umekua changamoto, Tanzania tuna wafugaji wachache sana walio serious.
Kama kuna mfugaji mwenye uwezo wa kuniletea trei 500 kila baada ya siku 3 nitafute tufanye kazi. Ntakua mteja wa kudumu.