makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Mkuu upo kitunda na bado unahitaji mayai wakati sie tunajua kitunda ndio wazalishaji haswaa, wakurya wengi wanaotuuzia mayai huku ni wachukua huko kitunda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitunda kwa dar ndio ilikua inaongoza kwa kuzalisha mayai. Lakini baadae ufugaji ukaja kuwakataa wakurya kabisa, sasa hivi kitunda hakuna wafugaji kabisaa...! Hao wanaowaletea wanachukua kwenye maduka yaliyoko huku kitunda, na hayo mayai ya kwenye frem yanatoka sehemu mbali mbaliMkuu upo kitunda na bado unahitaji mayai wakati sie tunajua kitunda ndio wazalishaji haswaa, wakurya wengi wanaotuuzia mayai huku ni wachukua huko kitunda.