Na watu huwa tunapuuzia Sana biashara za mifugo Kam kuku au ng'ombe, na ndiyo biashara zinazolpa. kuku unawez ukafuga wa mayai au wa nyama ukajiingzia kipato, na ng'ombe ni wa maziwa kwa san so tuchangamkie fursa[emoji3]Habari wakuu
Nimefungua duka la kuuza mayai ya kisasa, nimegundua mayai yanahitajika sana. Maana mzigo unatoka mno, ila tatizo upatikanaji umekua changamoto, Tanzania tuna wafugaji wachache sana walio serious....! Kama kuna mfugaji mwenye uwezo wa kuniletea trei 500 kila baada ya siku 3 nitafute tufanye kazi. Ntakua mteja wa kudumu
Nilipo mayai yanazalishwa kwa wingi sana....Ofa yako ni shilingi ngap kwa trei moja?? Na unapatikana wapi??Habari wakuu
Nimefungua duka la kuuza mayai ya kisasa, nimegundua mayai yanahitajika sana. Maana mzigo unatoka mno, ila tatizo upatikanaji umekua changamoto, Tanzania tuna wafugaji wachache sana walio serious....! Kama kuna mfugaji mwenye uwezo wa kuniletea trei 500 kila baada ya siku 3 nitafute tufanye kazi. Ntakua mteja wa kudumu
Hujasema uko wapi mkuu!Habari wakuu
Nimefungua duka la kuuza mayai ya kisasa, nimegundua mayai yanahitajika sana. Maana mzigo unatoka mno, ila tatizo upatikanaji umekua changamoto, Tanzania tuna wafugaji wachache sana walio serious....! Kama kuna mfugaji mwenye uwezo wa kuniletea trei 500 kila baada ya siku 3 nitafute tufanye kazi. Ntakua mteja wa kudumu
Napatikana kitunda mkuu...! Offer ni 7500 unaniletea mpaka ofisini. Kama nafuata mwenyewe basi 7000.! Nicheki boss tufanye biashara 0654397566Nilipo mayai yanazalishwa kwa wingi sana....Ofa yako ni shilingi ngap kwa trei moja?? Na unapatikana wapi??
Niko kitunda mkuuHujasema uko wapi mkuu!
7500Kwa bei gan
Mayai yanazalishwa sana sema uhitaji nao ni mkubwa sana hasa viwanda, Viwanda kama vya Biskuti na vya kuoka keki vina kula mayai mno.Habari wakuu
Nimefungua duka la kuuza mayai ya kisasa, nimegundua mayai yanahitajika sana maana mzigo unatoka mno, ila tatizo upatikanaji umekua changamoto, Tanzania tuna wafugaji wachache sana walio serious.
Kama kuna mfugaji mwenye uwezo wa kuniletea trei 500 kila baada ya siku 3 nitafute tufanye kazi. Ntakua mteja wa kudumu.
Angalau ingekuwa elfu 8 ningekuletea ofisini kwako...Napatikana kitunda mkuu...! Offer ni 7500 unaniletea mpaka ofisini. Kama nafuata mwenyewe basi 7000.! Nicheki boss tufanye biashara 0654397566
Boss bado hakuna kilichoharibika bado tunaweza fanya biashara, ntakua mteja wa kudumu nicheki 0654397566Angalau ingekuwa elfu 8 ningekuletea ofisini kwako...
Me nauza 7800 unakuja kuchukua mwenyewe7500
KabisaAngalau ingekuwa elfu 8 ningekuletea ofisini kwako...
Unadhani kazi ya kufuga kuku ni mchezo?Habari wakuu
Nimefungua duka la kuuza mayai ya kisasa, nimegundua mayai yanahitajika sana maana mzigo unatoka mno, ila tatizo upatikanaji umekua changamoto, Tanzania tuna wafugaji wachache sana walio serious.
Kama kuna mfugaji mwenye uwezo wa kuniletea trei 500 kila baada ya siku 3 nitafute tufanye kazi. Ntakua mteja wa kudumu.