Watanzania wengi kwa jinsi walivyo kusanyika bila tahadhali wakati wa kuaga jpm, nimeamini uwezo wa kutumia akili zetu ni mdogo. Na bahati mbaya jpm alivuruga mfumo wa uwajibikaji wa taasisi za kiutendaji, hatua wa kuwaelekeza.Tunakumbushana tu hasa katika kipindi hiki ambacho kuna mikusanyiko ya kila aina na majirani wa nchi jirani wanavuka mipaka kuja kuhani msiba huu mkubwa tulionao.
Tafadhali tuchukue tahadhari wenzetu Kenya hali ni tete.
Zaidi soma > Wataalamu wa afya wanahofia kuwa wagonjwa wengi wa Corona wanafariki wakiwa nyumbani bila kujua wanaugua