Watanzania tuchukue tahadhari ya Corona. Jirani zetu Kenya hali ni tete haspitali zimezidiwa wagonjwa

Watanzania wengi kwa jinsi walivyo kusanyika bila tahadhali wakati wa kuaga jpm, nimeamini uwezo wa kutumia akili zetu ni mdogo. Na bahati mbaya jpm alivuruga mfumo wa uwajibikaji wa taasisi za kiutendaji, hatua wa kuwaelekeza.
 
Naona unaendelea kukumbatia ujinga.
Kuvaa condom haimaanisha usiwe makini kwa kushiriki ngono zembe na mtu unayejua kabisa ana HIV
 
Endeleeni tu kufuata akili ya mungu wenu wa ccm mpate akili , impact bado zinakuja .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…