Watanzania tuelewe Idadi kubwa ya watu hawazalishi tusilaumu kila kitu

Watanzania tuelewe Idadi kubwa ya watu hawazalishi tusilaumu kila kitu

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Nilikuwa nimeangalia data za Tanzania na kugundua tozo ni lazima, miradi ni ya lazima na umeme ni wa lazima. Tanzania tuna 70% ya vijana chini ya miaka 24, elimu ni bure kwa wanao chaguliwa, na miradi iliyoko. Sasa hakuna elimu ya bure kwa ukweli ndiyo maana kuna tozo. Elimu ya juu hii mikopo mingi hailipiki pesa ni hizo hizo tozo.

Sasa tufanye nini?

1. Tuhakikishe kila mwananchi akinunua kitu aombe risiti ili pesa iende serikalini
2. Serikali ipunguze matumizi kwa kutumia zaidi teknologia na vitu kama magari. Hii ni pamoja na kupunguza kazi zisizo za muhimu
3. Serikali uzeni assets kwa uwazi ambazo hazitumiki sasa kuna nyumba za serikali Dar na Dodoma, majengo ya ofisi Dar na Dodoma uzeni haya majengo na wekeni hiyo pesa kwenye uwekezaji bank halafu 10% kila mwaka iende kwenye afya au elimu.
4.Majeshi kama Polisi na magereza wana matumizi mabaya. Uhamiaji kumejaa rushwa
5. Tutumieni diaspora kwenye kununua bond. Serikali wekeni utaratibu na kuuza bond za kustaafu kwa diaspora ambao wanataka kurudi nyumbani baadae. Hii itaongeza sana pesa Tanzania kutoka nje
6. Uzalishaji wa kilimo uongezeke hasa kwa vijana
7. Uzalishaji wa gas uongezeka
8. Tuongeze watalii
9. Tuongee na kampuni za teknologia kama Microsoft, Oracle, Amazon kuweka utaratibu wa mafunzo ili vijana wetu waweze kufanya kazi.
 
Nilikuwa nimeangalia data za Tanzania na kugundua tozo ni lazima, miradi ni ya lazima na umeme ni wa lazima. Tanzania tuna 70% ya vijana chini ya miaka 24, elimu ni bure kwa wanao chaguliwa, na miradi iliyoko. Sasa hakuna elimu ya bure kwa ukweli ndiyo maana kuna tozo. Elimu ya juu hii mikopo mingi hailipiki pesa ni hizo hizo tozo.

Sasa tufanye nini?

1. Tuhakikishe kila mwananchi akinunua kitu aombe risiti ili pesa iende serikalini
2. Serikali ipunguze matumizi kwa kutumia zaidi teknologia na vitu kama magari. Hii ni pamoja na kupunguza kazi zisizo za muhimu
3. Serikali uzeni assets kwa uwazi ambazo hazitumiki sasa kuna nyumba za serikali Dar na Dodoma, majengo ya ofisi Dar na Dodoma uzeni haya majengo na wekeni hiyo pesa kwenye uwekezaji bank halafu 10% kila mwaka iende kwenye afya au elimu.
4.Majeshi kama Polisi na magereza wana matumizi mabaya. Uhamiaji kumejaa rushwa
5. Tutumieni diaspora kwenye kununua bond. Serikali wekeni utaratibu na kuuza bond za kustaafu kwa diaspora ambao wanataka kurudi nyumbani baadae. Hii itaongeza sana pesa Tanzania kutoka nje
6. Uzalishaji wa kilimo uongezeke hasa kwa vijana
7. Uzalishaji wa gas uongezeka
8. Tuongeze watalii
9. Tuongee na kampuni za teknologia kama Microsoft, Oracle, Amazon kuweka utaratibu wa mafunzo ili vijana wetu waweze kufanya kazi.
Hi JPM si alisema ni dona katiri, tena imekua je? Kwamba tulikua tumepigwa na akadhibiti kabisa sasa vip tena
 
Nilikuwa nimeangalia data za Tanzania na kugundua tozo ni lazima, miradi ni ya lazima na umeme ni wa lazima. Tanzania tuna 70% ya vijana chini ya miaka 24, elimu ni bure kwa wanao chaguliwa, na miradi iliyoko. Sasa hakuna elimu ya bure kwa ukweli ndiyo maana kuna tozo. Elimu ya juu hii mikopo mingi hailipiki pesa ni hizo hizo tozo.

Sasa tufanye nini?

1. Tuhakikishe kila mwananchi akinunua kitu aombe risiti ili pesa iende serikalini
2. Serikali ipunguze matumizi kwa kutumia zaidi teknologia na vitu kama magari. Hii ni pamoja na kupunguza kazi zisizo za muhimu
3. Serikali uzeni assets kwa uwazi ambazo hazitumiki sasa kuna nyumba za serikali Dar na Dodoma, majengo ya ofisi Dar na Dodoma uzeni haya majengo na wekeni hiyo pesa kwenye uwekezaji bank halafu 10% kila mwaka iende kwenye afya au elimu.
4.Majeshi kama Polisi na magereza wana matumizi mabaya. Uhamiaji kumejaa rushwa
5. Tutumieni diaspora kwenye kununua bond. Serikali wekeni utaratibu na kuuza bond za kustaafu kwa diaspora ambao wanataka kurudi nyumbani baadae. Hii itaongeza sana pesa Tanzania kutoka nje
6. Uzalishaji wa kilimo uongezeke hasa kwa vijana
7. Uzalishaji wa gas uongezeka
8. Tuongeze watalii
9. Tuongee na kampuni za teknologia kama Microsoft, Oracle, Amazon kuweka utaratibu wa mafunzo ili vijana wetu waweze kufanya kazi.
Huo mtazamo wako unadhani utatekelezeka katika ardhi hii ya Tanzania ?
 
Nilikuwa nimeangalia data za Tanzania na kugundua tozo ni lazima, miradi ni ya lazima na umeme ni wa lazima. Tanzania tuna 70% ya vijana chini ya miaka 24, elimu ni bure kwa wanao chaguliwa, na miradi iliyoko. Sasa hakuna elimu ya bure kwa ukweli ndiyo maana kuna tozo. Elimu ya juu hii mikopo mingi hailipiki pesa ni hizo hizo tozo.

Sasa tufanye nini?

1. Tuhakikishe kila mwananchi akinunua kitu aombe risiti ili pesa iende serikalini
2. Serikali ipunguze matumizi kwa kutumia zaidi teknologia na vitu kama magari. Hii ni pamoja na kupunguza kazi zisizo za muhimu
3. Serikali uzeni assets kwa uwazi ambazo hazitumiki sasa kuna nyumba za serikali Dar na Dodoma, majengo ya ofisi Dar na Dodoma uzeni haya majengo na wekeni hiyo pesa kwenye uwekezaji bank halafu 10% kila mwaka iende kwenye afya au elimu.
4.Majeshi kama Polisi na magereza wana matumizi mabaya. Uhamiaji kumejaa rushwa
5. Tutumieni diaspora kwenye kununua bond. Serikali wekeni utaratibu na kuuza bond za kustaafu kwa diaspora ambao wanataka kurudi nyumbani baadae. Hii itaongeza sana pesa Tanzania kutoka nje
6. Uzalishaji wa kilimo uongezeke hasa kwa vijana
7. Uzalishaji wa gas uongezeka
8. Tuongeze watalii
9. Tuongee na kampuni za teknologia kama Microsoft, Oracle, Amazon kuweka utaratibu wa mafunzo ili vijana wetu waweze kufanya kazi.
Mada yako ina mashiko kwenye mapendekezo ila uliposema tozo ni lazima mhuu sikubaliani na wewe. Je? kwa nini vijana hawafanyi kazi? Sera hii ya elimu bure ilipoanzishwa hakukuwa na tozo, tozo zimenza sasa awamu hii ya sita. Badala ya kutafuta vyanzo mbadala wanamwangalia wananchi kipato chake why? They could find other means. Waziri anasema mwenye mapendekezo aende ofisini kwake. Huku ni kushindwa kazi sio kutransfer blames kwa wananchi so atasema hamkuja kunishauri hili halina mashiko kabisa.
 
Mada yako ina mashiko kwenye mapendekezo ila uliposema tozo ni lazima mhuu sikubaliani na wewe. Je? kwa nini vijana hawafanyi kazi? Sera hii ya elimu bure ilipoanzishwa hakukuwa na tozo, tozo zimenza sasa awamu hii ya sita. Badala ya kutafuta vyanzo mbadala wanamwangalia wananchi kipato chake why? They could find other means. Waziri anasema mwenye mapendekezo aende ofisini kwake. Huku ni kushindwa kazi sio kutransfer blames kwa wananchi so atasema hamkuja kunishauri hili halina mashiko kabisa.


Watanzania tunapenda kuuliza maswali badala ya kutoa mapendekezo. Wewe ndiyo utuanmbie ni kwanini vijana kwa mawazo yako hawafanyi kazi. Serikali inajaribu kujenga veta na kuwekeza kwenye kilimo ni kwasababu ya vijana. Sasa kama kuna sababu nyingine tuzijue
 
Nilikuwa nimeangalia data za Tanzania na kugundua tozo ni lazima, miradi ni ya lazima na umeme ni wa lazima. Tanzania tuna 70% ya vijana chini ya miaka 24, elimu ni bure kwa wanao chaguliwa, na miradi iliyoko. Sasa hakuna elimu ya bure kwa ukweli ndiyo maana kuna tozo. Elimu ya juu hii mikopo mingi hailipiki pesa ni hizo hizo tozo.

Sasa tufanye nini?

1. Tuhakikishe kila mwananchi akinunua kitu aombe risiti ili pesa iende serikalini
2. Serikali ipunguze matumizi kwa kutumia zaidi teknologia na vitu kama magari. Hii ni pamoja na kupunguza kazi zisizo za muhimu
3. Serikali uzeni assets kwa uwazi ambazo hazitumiki sasa kuna nyumba za serikali Dar na Dodoma, majengo ya ofisi Dar na Dodoma uzeni haya majengo na wekeni hiyo pesa kwenye uwekezaji bank halafu 10% kila mwaka iende kwenye afya au elimu.
4.Majeshi kama Polisi na magereza wana matumizi mabaya. Uhamiaji kumejaa rushwa
5. Tutumieni diaspora kwenye kununua bond. Serikali wekeni utaratibu na kuuza bond za kustaafu kwa diaspora ambao wanataka kurudi nyumbani baadae. Hii itaongeza sana pesa Tanzania kutoka nje
6. Uzalishaji wa kilimo uongezeke hasa kwa vijana
7. Uzalishaji wa gas uongezeka
8. Tuongeze watalii
9. Tuongee na kampuni za teknologia kama Microsoft, Oracle, Amazon kuweka utaratibu wa mafunzo ili vijana wetu waweze kufanya kazi.

Ulijinafasi kuangazia mishahara na marupurupu ya walamba asali yalivyo makubwa?

Vipi Ukweli kuwa walamba asali hao hii habari ya kodi wao haiwahusu?

Vipi ile habari ya wao kula kwa urefu wa kamba zao?

Vipi na haya mambo yao pendwa?

IMG_20220901_085859_867.jpg


Kwa hakika kumwelewesha mtu kuhusiana na tozo mbona ni heri ya ngamia na tundu la sindano?
 
Ulijinafasi kuangazia mishahara na marupurupu ya walamba asali yalivyo makubwa?

Vipi Ukweli kuwa walamba asali hao hii habari ya kodi wao haiwahusu?

Vipi ile habari ya wao kula kwa urefu wa kamba zao?

Vipi na haya mambo yao pendwa?

View attachment 2342227

Kwa hakika kumwelewesha mtu kuhusiana na tozo mbona ni heri ya ngamia na tundu la sindano?


Kama nilivyosema vijana wa siku hizi ni wazuri wa kulalama tu na kulalamikia kila kitu. Angalia yanayofanyika na wewe binafsi uwe mzalishaji na sio mtumiaji badala ya kulalamikia serikali kila wakati. Pamoja na mapungufu ya serikali vijana mnafanya nini kuongeza uzalishaji wenu na vipato
 
Kama nilivyosema vijana wa siku hizi ni wazuri wa kulalama tu na kulalamikia kila kitu. Angalia yanayofanyika na wewe binafsi uwe mzalishaji na sio mtumiaji badala ya kulalamikia serikali kila wakati. Pamoja na mapungufu ya serikali vijana mnafanya nini kuongeza uzalishaji wenu na vipato

Umejibu hata moja ya maswali 5 niliyokuwekea pale? Kwa kutuona je haswa?

Walamba asali wanapoufurahia "ujinga" wetu

Wewe ni mmoja wao?
 
sasa sisi tufanye nini wakati kuna watu tumewapa kazi ya kuhakikisha wanatumia resources na manpower tuliyonayo kuleta maendeleo.
 
Waondoe vikwazo vya uzalishaji kisha waone vijana watakvyozalisha. Mwigulu hana ubunifu wowote wa kufungua wigo vijana wazalishe Ili wapate kodi. Anachojua ni tozo, kodi na kukopa tu. Na wanakopa bila huruma sababu wanajua wao kesho awapo, pia ndio njia nyepesi ya kuwaibia wananchi pesa zao
 
Nilikuwa nimeangalia data za Tanzania na kugundua tozo ni lazima, miradi ni ya lazima na umeme ni wa lazima. Tanzania tuna 70% ya vijana chini ya miaka 24, elimu ni bure kwa wanao chaguliwa, na miradi iliyoko. Sasa hakuna elimu ya bure kwa ukweli ndiyo maana kuna tozo. Elimu ya juu hii mikopo mingi hailipiki pesa ni hizo hizo tozo.

Sasa tufanye nini?

1. Tuhakikishe kila mwananchi akinunua kitu aombe risiti ili pesa iende serikalini
2. Serikali ipunguze matumizi kwa kutumia zaidi teknologia na vitu kama magari. Hii ni pamoja na kupunguza kazi zisizo za muhimu
3. Serikali uzeni assets kwa uwazi ambazo hazitumiki sasa kuna nyumba za serikali Dar na Dodoma, majengo ya ofisi Dar na Dodoma uzeni haya majengo na wekeni hiyo pesa kwenye uwekezaji bank halafu 10% kila mwaka iende kwenye afya au elimu.
4.Majeshi kama Polisi na magereza wana matumizi mabaya. Uhamiaji kumejaa rushwa
5. Tutumieni diaspora kwenye kununua bond. Serikali wekeni utaratibu na kuuza bond za kustaafu kwa diaspora ambao wanataka kurudi nyumbani baadae. Hii itaongeza sana pesa Tanzania kutoka nje
6. Uzalishaji wa kilimo uongezeke hasa kwa vijana
7. Uzalishaji wa gas uongezeka
8. Tuongeze watalii
9. Tuongee na kampuni za teknologia kama Microsoft, Oracle, Amazon kuweka utaratibu wa mafunzo ili vijana wetu waweze kufanya kazi.
Hii Nchi ukisikiliza porojo na ulalamishi wa watu hakuna kitu utafanya..
 
Back
Top Bottom