Watanzania tuichukulie vipi kauli ya Uhuru Kenyatta kuhusu free movement of people

Watanzania tuichukulie vipi kauli ya Uhuru Kenyatta kuhusu free movement of people

Cicero

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2016
Posts
2,924
Reaction score
3,074
psn.jpg


Itifaki ya soko la pamoja la Afrika Mashariki ambayo imeridhiwa na nchi zote sita wanachama, inatoa uhuru wa wananchi (ajira), fedha, huduma na bidhaa kuhama au kuhamishwa kutoka nchi moja kwenda nyingine bila kikwazo chochote kile, na pia inatoa haki ya raia wa nchi wanachama kujenga makaazi na kuanzisha biashara bila kubughudhiwa.

Tatizo ni kwamba, kwa msisitizo wa Tanzania, kiliongezwa kipengele cha "subject to national laws" hivyo kutoa mwanya kwa nchi wanachama kuzuia baadhi ya hizi rights and freedoms kutumia vigezo (naviita visingizio) kama quality, magonjwa, usalama e.t.c. Lengo la Tanzania huenda lilikuwa ni kuweza kumonitor umiliki wa ardhi yake, which is a good thing.

Baada ya kauli ya jana ya Uhuru Kenyatta, Kenya inakuwa taifa la kwanza kwenye Jumuiya kutekeleza kikamilifu matakwa ya itifaki ya soko la pamoja. Ifahamike kwamba hatutaweza kuendelea na hatua ya sarafu ya pamoja (Tanzania ilikuwa nchi ya kwanza kuridhia itifaki ya umoja wa fedha) bila full implementation ya soko la pamoja. Deadline ya kuwa na sarafu moja (na kuanzishwa kwa Benki Kuu ya Afrika Mashariki na Ofisi ya Takwimu ya Afrika Mashariki) ni 2024.

Baada ya kupitia maoni ya watanzania wengi juu ya kauli ya Kenyatta, nimegundua wengi hatufahamu muundo (set up) ya soko la pamoja.

Kwa mfano:

1. Kuhusu ardhi na maliasili - wengi wana hofu kwamba wageni watakuja na kunyakua ardhi ya Tanzania kiholela. Wasichokifahamu watu ni kwamba hicho kipengele cha "subject to national laws" kinaiachia Tanzania jukumu la kucontrol umiliki wa ardhi yake. Sheria za Tanzania zinasema nini kuhusu umiliki wa ardhi???
2. Kuhusu ajira na uhuru wa watu kuvuka mipaka - Kwanza kabisa watu waliopewa uhuru wa kuvuka mipaka mostly ni professionals (lawyers, doctors, teachers) etc na ndio maana kuna Mutual Recognition Agreements (MRAs) being signed between professional bodies. Pili, ajira kwenye serikali ya Tanzania zitakuwa reserved for locals, meaning kwamba wageni hawataruhusiwa kuomba au kupewa kazi serikalini. Same for wewe mtanzania ukienda kuishi Uganda/Kenya/Rwanda e.t.c
 
Hizo ni siasa tu, wanajua hakuna opportunity yoyote kwa wageni huko kwao...wakae wakijua hata kifaranga kimoja kikikatiza kwenye mpaka wetu sisi tunakipiga moto, tukiwa na huruma sana tutatangaza mnada.
 
Uhuru Kenyatta naweza nikasema ni mmoja kati ya marais wachache barani Africa wenye uwezo mkubwa wa kufikiri. 1 kwanza kaangalia kwa ujumla siasa za mataifa yote kwa sasa katika east African 2 akaona kuwa marais wengi wanapigania kujibakisha katika madaraka badala ya kukuza uchumi wa mataifa yao 3 hali za wananchi wa mataifa hayo si nzuri na watu wa mataifa hayo wanaishi kwa uoga 4 lakini akiangalia kwa jicho LA uchumi anaona watu wa mataifa hayo wana uwezo kifedha na wengine ni matajiri zaidi ila wanaogopa kufungua biashara katika mataifa yao kwani hawana imani na serikali zao 5 hivyo Kenyatta akaja na hitimisho la wananchi hao kwa ujumla wake (a) akaamua kufungua milango ya uwekezaji kwa raia wote wa east Africa katika ardhi ya Kenya (b) akawapa mpaka uhuru wa kuishi kuoa na kununua ardhi. Lengo lake ni nini? (a) kuifanya Kenya kuwa kituo kikuu cha kibiashara katika east Africa (b) kuifanya Kenya kuwa mahali salama na tulivu kwa uwekezaji (c) kuukuza uchumi wa Kenya kwa kiwango cha hali ya juu sana kwa muda mfupi tu . huku ukisaidiwa na rasilimali za mataifa yote ya east Africa kupitia wananchi wake (d) hivyo baada ya muda mfupi Kenya itakuwa na uchumi mkubwa na maendeleo makubwa huku baadhi ya mataifa ya jumuia ya east Africa yakipolomoka kiuchumi na kuingia katika Giza la uchumi na maendeleo huku wananchi wa mataifa hayo wakifa na njaa
 
"Mnamuogopa MKENYA,mnamwita MZUNGU na MWARABU mnawapa mapande ya ardhi na madini yooote"
 
Uhuru Kenyatta naweza nikasema ni mmoja kati ya marais wachache barani Africa wenye uwezo mkubwa wa kufikiri. 1 kwanza kaangalia kwa ujumla siasa za mataifa yote kwa sasa katika east African 2 akaona kuwa marais wengi wanapigania kujibakisha katika madaraka badala ya kukuza uchumi wa mataifa yao 3 hali za wananchi wa mataifa hayo si nzuri na watu wa mataifa hayo wanaishi kwa uoga 4 lakini akiangalia kwa jicho LA uchumi anaona watu wa mataifa hayo wana uwezo kifedha na wengine ni matajiri zaidi ila wanaogopa kufungua biashara katika mataifa yao kwani hawana imani na serikali zao 5 hivyo Kenyatta akaja na hitimisho la wananchi hao kwa ujumla wake (a) akaamua kufungua milango ya uwekezaji kwa raia wote wa east Africa katika ardhi ya Kenya (b) akawapa mpaka uhuru wa kuishi kuoa na kununua ardhi. Lengo lake ni nini? (a) kuifanya Kenya kuwa kituo kikuu cha kibiashara katika east Africa (b) kuifanya Kenya kuwa mahali salama na tulivu kwa uwekezaji (c) kuukuza uchumi wa Kenya kwa kiwango cha hali ya juu sana kwa muda mfupi tu . huku ukisaidiwa na rasilimali za mataifa yote ya east Africa kupitia wananchi wake (d) hivyo baada ya muda mfupi Kenya itakuwa na uchumi mkubwa na maendeleo makubwa huku baadhi ya mataifa ya jumuia ya east Africa yakipolomoka kiuchumi na kuingia katika Giza la uchumi na maendeleo huku wananchi wa mataifa hayo wakifa na njaa
Ndo nilivyomuelewa,
Which means anataka afanye like Dubai kwa sasa.
Na ina maana kama una mtaji unaenda kufanya biashara kenya kwa amani kabisa.
NAMPONGEZA
 
Uhuru Kenyatta naweza nikasema ni mmoja kati ya marais wachache barani Africa wenye uwezo mkubwa wa kufikiri. 1 kwanza kaangalia kwa ujumla siasa za mataifa yote kwa sasa katika east African 2 akaona kuwa marais wengi wanapigania kujibakisha katika madaraka badala ya kukuza uchumi wa mataifa yao 3 hali za wananchi wa mataifa hayo si nzuri na watu wa mataifa hayo wanaishi kwa uoga 4 lakini akiangalia kwa jicho LA uchumi anaona watu wa mataifa hayo wana uwezo kifedha na wengine ni matajiri zaidi ila wanaogopa kufungua biashara katika mataifa yao kwani hawana imani na serikali zao 5 hivyo Kenyatta akaja na hitimisho la wananchi hao kwa ujumla wake (a) akaamua kufungua milango ya uwekezaji kwa raia wote wa east Africa katika ardhi ya Kenya (b) akawapa mpaka uhuru wa kuishi kuoa na kununua ardhi. Lengo lake ni nini? (a) kuifanya Kenya kuwa kituo kikuu cha kibiashara katika east Africa (b) kuifanya Kenya kuwa mahali salama na tulivu kwa uwekezaji (c) kuukuza uchumi wa Kenya kwa kiwango cha hali ya juu sana kwa muda mfupi tu . huku ukisaidiwa na rasilimali za mataifa yote ya east Africa kupitia wananchi wake (d) hivyo baada ya muda mfupi Kenya itakuwa na uchumi mkubwa na maendeleo makubwa huku baadhi ya mataifa ya jumuia ya east Africa yakipolomoka kiuchumi na kuingia katika Giza la uchumi na maendeleo huku wananchi wa mataifa hayo wakifa na njaa
yeye na familia yake wanamiliki almost robo ya ardhi yote ya Kenya,ni kati ya marais wanajilipa mshahara mkubwa kuliko wote Afrika yeye pamoja na makamu wake,ni kati ya marais tajiri zaidi East Afrika...ametawala miaka mitano mfululizo na bado katika swala la kupigana na ufisadi na rushwa amefeli kwa kiasi kikubwa....

Ni kati ya marais wanapenda madaraka kama marais wengine wowote east africa hana jipya la ziada refer uchaguzi uliopita.
 
yeye na familia yake wanamiliki almost robo ya ardhi yote ya Kenya,ni kati ya marais wanajilipa mshahara mkubwa kuliko wote Afrika yeye pamoja na makamu wake,ni kati ya marais tajiri zaidi East Afrika...ametawala miaka mitano mfululizo na bado katika swala la kupigana na ufisadi na rushwa amefeli kwa kiasi kikubwa....

Ni kati ya marais wanapenda madaraka kama marais wengine wowote east africa hana jipya la ziada refer uchaguzi uliopita.
Acha kumuattack yeye kama yeye sisi hapa tunaongelea uamuzi alioufanya. Discuss that.
 
Kenyata katumia akili nyingi sana kufanya vile anatak azidi kuimarisha uchumi wa kenya kuwa maradufu maan kma hapa TZ wenye pesa zao wataenda kuwekeza Kenya wenye kujenga majumba yao ya business watashift hapa tz na kwenda huko so pesa zote hizo zitachochea kuzidi kuimarika kwa uchumi wa kenya so cc ngoja tuendeleze drama zetu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
taratibu zote zifuatwe. musidhani mumepata fursa nzuri ya kujaza miji ya Kenya na omba omba
Narudia, those ombaomba that u see in Kenya, have more brains than You Kenyans and your Authorities..
Ni biashara za watu hizo, yafaa muelewe hilo
 
Acha kumuattack yeye kama yeye sisi hapa tunaongelea uamuzi alioufanya. Discuss that.
kama rais anatakiwa awe mfano,leo hii Kenyatta anatoa ruhusa wa nje kumiliki ardhi wakati wananchi wake wenyewe wanaminywa kumiliki hiyo ardhi kama sio unafiki ni nini??
 
Hakuna ardhi ya kumiliki Kenya. Ni sawa na marafiki wawili wa kiume, halafu yule aliyeozesha Dada zake wote anakukaribisha kwenda kuoa nyumbani kwao, huku akitarajia na wewe umkaribishe kwako mwenye kina dada ambao hawajaolewa!
 
yeye na familia yake wanamiliki almost robo ya ardhi yote ya Kenya,ni kati ya marais wanajilipa mshahara mkubwa kuliko wote Afrika yeye pamoja na makamu wake,ni kati ya marais tajiri zaidi East Afrika...ametawala miaka mitano mfululizo na bado katika swala la kupigana na ufisadi na rushwa amefeli kwa kiasi kikubwa....

Ni kati ya marais wanapenda madaraka kama marais wengine wowote east africa hana jipya la ziada refer uchaguzi uliopita.
Unakatabia ka kike kike badala ya kujadili uamuzi unaanza kumjadili personality yake...... Huo ni wivu wa kimombasa
 
yeye na familia yake wanamiliki almost robo ya ardhi yote ya Kenya,ni kati ya marais wanajilipa mshahara mkubwa kuliko wote Afrika yeye pamoja na makamu wake,ni kati ya marais tajiri zaidi East Afrika...ametawala miaka mitano mfululizo na bado katika swala la kupigana na ufisadi na rushwa amefeli kwa kiasi kikubwa....

Ni kati ya marais wanapenda madaraka kama marais wengine wowote east africa hana jipya la ziada refer uchaguzi uliopita.
Hayo ni yake binafsi na wakenya,sie tuna yetu huku CHATTLE AIRPORT haikuwa kwenye bajeti.
Tuzungumzie hii fursa ya kwenda KUISHI KENYA au kupiga mishe kenya.
 
yeye na familia yake wanamiliki almost robo ya ardhi yote ya Kenya,ni kati ya marais wanajilipa mshahara mkubwa kuliko wote Afrika yeye pamoja na makamu wake,ni kati ya marais tajiri zaidi East Afrika...ametawala miaka mitano mfululizo na bado katika swala la kupigana na ufisadi na rushwa amefeli kwa kiasi kikubwa....

Ni kati ya marais wanapenda madaraka kama marais wengine wowote east africa hana jipya la ziada refer uchaguzi uliopita.
Msaidie huyu Tony antony,
Ni kwa sababu ya usiri tu je hao marais wako ni waungwana sana?
Hapa kulikuwa na kelel za Simba Trust,Anaben, mbona haongelei?
Acha kumuattack yeye kama yeye sisi hapa tunaongelea uamuzi alioufanya. Discuss that.
 
Uhuru Kenyatta naweza nikasema ni mmoja kati ya marais wachache barani Africa wenye uwezo mkubwa wa kufikiri. 1 kwanza kaangalia kwa ujumla siasa za mataifa yote kwa sasa katika east African 2 akaona kuwa marais wengi wanapigania kujibakisha katika madaraka badala ya kukuza uchumi wa mataifa yao 3 hali za wananchi wa mataifa hayo si nzuri na watu wa mataifa hayo wanaishi kwa uoga 4 lakini akiangalia kwa jicho LA uchumi anaona watu wa mataifa hayo wana uwezo kifedha na wengine ni matajiri zaidi ila wanaogopa kufungua biashara katika mataifa yao kwani hawana imani na serikali zao 5 hivyo Kenyatta akaja na hitimisho la wananchi hao kwa ujumla wake (a) akaamua kufungua milango ya uwekezaji kwa raia wote wa east Africa katika ardhi ya Kenya (b) akawapa mpaka uhuru wa kuishi kuoa na kununua ardhi. Lengo lake ni nini? (a) kuifanya Kenya kuwa kituo kikuu cha kibiashara katika east Africa (b) kuifanya Kenya kuwa mahali salama na tulivu kwa uwekezaji (c) kuukuza uchumi wa Kenya kwa kiwango cha hali ya juu sana kwa muda mfupi tu . huku ukisaidiwa na rasilimali za mataifa yote ya east Africa kupitia wananchi wake (d) hivyo baada ya muda mfupi Kenya itakuwa na uchumi mkubwa na maendeleo makubwa huku baadhi ya mataifa ya jumuia ya east Africa yakipolomoka kiuchumi na kuingia katika Giza la uchumi na maendeleo huku wananchi wa mataifa hayo wakifa na njaa
Ni isijekuwa kama ilivyokuwa South Africa. Wageni walikimbizwa kama paka ''kimburu.''
 
Back
Top Bottom