Watanzania tuichukulie vipi kauli ya Uhuru Kenyatta kuhusu free movement of people

Watanzania tuichukulie vipi kauli ya Uhuru Kenyatta kuhusu free movement of people

For sure, Kenyatta ameona mbali sana, lakini siasa ndio inaiharibu Africa kwa ujumla. Watanzania Tukae tukijua kwamba hiyo fursa ya kwenda kutafuta maisha kwa wale watakaohitaji kwa sababu nina imani kuna wale ambao wanaimani kwamba ukitafuta maisha mazuri/urahisi wa kimaisha hawezi kufanikiwa akiwa katika nchi yake ndio maana kuna watanzania wengi wapo Mozambique, Malawi, Zambia,Kenya, Uganda, Swaziland, Botswana, Namibia,South Africa,Rwanda,Zimbabwe etc. Hilo suala la kuishi nchi nyingine haliangalii nchi hiyo mmeipita kiuchumi au la, mfano kuna watanzania wanafanya biashara za mazao malawi watu huwa wanaangalia fursa.
Kenyatta amefanya kitu hicho ili kumkomoa magufuli, kwakua jamaa anamkazia sana, sasa ameona afanye hivyo huku akiwa anafahamu kuwa kuna watanzania wengi wataindea haki hiyo fursa mwisho wa siku kama akifanikiwa jamaa Lazima atalegeza tu, kwani kutakua na raia wengi wa Tz nchini Kenya so kuna uwezekano kwa baadae Kenya kwa miaka ijayo ikawa ndio second home country for Tanzanians then jamaa akaona aibu kuwabania.
Ifahamike kuwa most of people watakaoguswa ni wafanyabiashara, kwa professionals sizani kwani kuna vitu vitawawia vigumu kuchukua uamuzi wa kuhamia Kenya mfano
1) Education system comparisons are different.
2) Insecurity # Wabongo wengi waliosoma ni waoga hawawezi kwenda eneo ambalo wanajua kabisa muda wowote wenyeji wanaweza kukinukisha. Mfano juzi kwenye election ni picha tosha.
3) Unemployment rate, sio kweli kwamba serikali ya Kenya ita Ku consider ww specialist kutoka Tz katika ajira alafu wamuache mzawa.
4) Tukae tukijua kwamba Kenyatta ni binadamu, muda wake wa kukaa madarakani utaisha, Sasa itakuja kuwa mbaya zaidi wapinzani wakija kupata madaraka kwani watasema wanapigania maslahi ya mkenya na hapo ndio xenophobia itakapotokea.
Kwa kifupi hiyo fursa itawafaa wafanyabiashara, lakini kwa professionals itabidi tu waitafute Botswana, Namibia & SA etc. Ila kwa kwenda Kenya utakua uongo.
Unakumbuka Donald Trump alivyoingia madarakani akiweka mikakati ya kuwatoa wangeni yeye akadili na Sera ya kulinda maslahi ya mmarekani. Akisema atadili na African but not blacks.
 
For sure, Kenyatta ameona mbali sana, lakini siasa ndio inaiharibu Africa kwa ujumla. Watanzania Tukae tukijua kwamba hiyo fursa ya kwenda kutafuta maisha kwa wale watakaohitaji kwa sababu nina imani kuna wale ambao wanaimani kwamba ukitafuta maisha mazuri/urahisi wa kimaisha hawezi kufanikiwa akiwa katika nchi yake ndio maana kuna watanzania wengi wapo Mozambique, Malawi, Zambia,Kenya, Uganda, Swaziland, Botswana, Namibia,South Africa,Rwanda,Zimbabwe etc. Hilo suala la kuishi nchi nyingine haliangalii nchi hiyo mmeipita kiuchumi au la, mfano kuna watanzania wanafanya biashara za mazao malawi watu huwa wanaangalia fursa.
Kenyatta amefanya kitu hicho ili kumkomoa magufuli, kwakua jamaa anamkazia sana, sasa ameona afanye hivyo huku akiwa anafahamu kuwa kuna watanzania wengi wataindea haki hiyo fursa mwisho wa siku kama akifanikiwa jamaa Lazima atalegeza tu, kwani kutakua na raia wengi wa Tz nchini Kenya so kuna uwezekano kwa baadae Kenya kwa miaka ijayo ikawa ndio second home country for Tanzanians then jamaa akaona aibu kuwabania.
Ifahamike kuwa most of people watakaoguswa ni wafanyabiashara, kwa professionals sizani kwani kuna vitu vitawawia vigumu kuchukua uamuzi wa kuhamia Kenya mfano
1) Education system comparisons are different.
2) Insecurity # Wabongo wengi waliosoma ni waoga hawawezi kwenda eneo ambalo wanajua kabisa muda wowote wenyeji wanaweza kukinukisha. Mfano juzi kwenye election ni picha tosha.
3) Unemployment rate, sio kweli kwamba serikali ya Kenya ita Ku consider ww specialist kutoka Tz katika ajira alafu wamuache mzawa.
4) Tukae tukijua kwamba Kenyatta ni binadamu, muda wake wa kukaa madarakani utaisha, Sasa itakuja kuwa mbaya zaidi wapinzani wakija kupata madaraka kwani watasema wanapigania maslahi ya mkenya na hapo ndio xenophobia itakapotokea.
Kwa kifupi hiyo fursa itawafaa wafanyabiashara, lakini kwa professionals itabidi tu waitafute Botswana, Namibia & SA etc. Ila kwa kwenda Kenya utakua uongo.
Unakumbuka Donald Trump alivyoingia madarakani akiweka mikakati ya kuwatoa wangeni yeye akadili na Sera ya kulinda maslahi ya mmarekani. Akisema atadili na African but not blacks.
Pesa ndio mambo yote. Unaweza kucompare mshahara wa daktari au mwalimu wa Kenya na wa Tanzania? Kama mimi ni daktari kwa nini nisihamie Kenya?
 
Watu wengine bana ni shida kweli,
wewe kweli kwa akili yako unaamini kuwa utatoka Tanzania na kupata ardhi kenya!!?? Wenyewe migogoro yoote unayoiona inatokana na historical injustice ambayo ilitokana na land alienation from other tribes. Hivyo kitu ambacho kinatokea ni class struggle, the don't haves fighting against the haves. Ndiyo maana ukiona machafuko na kugomea uchaguzi kulitokea maeneo ya walalahoi, maeneo ya matajiri (ya wakikuyu) hakukuwa na mapigano. Asiwadanganye mtu ya kuwa ukienda kenya utapata ardhi kirahisi na milioni 30 zako, kule hakuna equity in accessing land. But only for rich guys.
Na pia muelewe ile kauli ni ya kisiasa, technically huwezi ukaruhusu mtu yeyote tu aingie nchini na kumiliki ardhi. Yeye alimaanisha wawekezaji kama kina Bahresa anataka kuanzisha plantation ya ngano au ranch ya diary cattle, atapata.
Na hicho ndicho hata hapa Tanzania tunakifanya kupitia TIC, wawekezaji wanapewa kitu kinachoitwa derivative right ya kumiliki ardhi kwa wawekezaji ambao si waTanzania. Pia EPZ wana utaratibu mzuri sana, kwani wametenga maeneo ambayo tayari yana miundo mbinu na nyaraka za umiliki na kuyatangaza kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi.
Hivyo nachelea kusema ya kwamba alichokisema UHURU si kigeni kwa maana tangu serikali ya awamu ya tatu, milango ilikuwa wazi kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi.
 
Pesa ndio mambo yote. Unaweza kucompare mshahara wa daktari au mwalimu wa Kenya na wa Tanzania? Kama mimi ni daktari kwa nini nisihamie Kenya?
Je ni madaktari wote wana ajira nchini kenya?hapa tunazungumzia fresh graduate wote wanaomaliza kwenye sekta ya Afya wana Ajira? Kama ukiwa na work experience let say kuanzia miaka mitatu na kuendelea tayar ww ni expert so nchi yoyote wanakuchukua tu. Czani kama utafikiria kwenda Kenya.
 
Hiyo hoja ya Uhuru naikataa anajua kabisa wao hawana kitu
 
Je ni madaktari wote wana ajira nchini kenya?hapa tunazungumzia fresh graduate wote wanaomaliza kwenye sekta ya Afya wana Ajira? Kama ukiwa na work experience let say kuanzia miaka mitatu na kuendelea tayar ww ni expert so nchi yoyote wanakuchukua tu. Czani kama utafikiria kwenda Kenya.
Ukiangalia vyema.....kauli kama ile ya Uhuru haikulenga fresh graduates. Yeye anao wa kutosha. Na wala hakuwalenga watanzania wa kawaida; sio wengi wenye uwezo wa kuinvest au kununua ardhi Kenya.
Analenga professionals and experts. Mabingwa in their fields. Pia analenga matajiri; watu wenye uwezo wa kuunda ajira.
Mtanzania wa kawaida hauna cha kukupeleka Kenya.
Ila kama unawaza mbali kuna fursa nyingi especially za elimu na hata biashara za kawaida!
 
Pesa ndio mambo yote. Unaweza kucompare mshahara wa daktari au mwalimu wa Kenya na wa Tanzania? Kama mimi ni daktari kwa nini nisihamie Kenya?

Kwa professional kenya is a brown if not grey field. The green field for professionals ni Namibia na Botswana.
 
Ukiangalia vyema.....kauli kama ile ya Uhuru haikulenga fresh graduates. Yeye anao wa kutosha. Na wala hakuwalenga watanzania wa kawaida; sio wengi wenye uwezo wa kuinvest au kununua ardhi Kenya.
Analenga professionals and experts. Mabingwa in their fields. Pia analenga matajiri; watu wenye uwezo wa kuunda ajira.
Mtanzania wa kawaida hauna cha kukupeleka Kenya.
Ila kama unawaza mbali kuna fursa nyingi especially za elimu na hata biashara za kawaida!
Ni kitu ambacho hakipo kwa ma expert and professionals wa Tanzania kwenda Kenya kutafuta kazi, Kenya yenyewe bado ina high rate of unemployment most of professionals & expert still suffering just like ours in Tanzania. All we knows that all experts and professionals from Tanzania works in Kenya for direct employment the same for Kenyans in Tanzania, you will never find any Tanzanian professionals go in Kenya with his/her CV for the purpose of looking a job never. Lakini ni easy kumkuta mkenya au mtanzania ameingia SA, Botswana au Namibia bila job offer lakini akiamini kuwa kazi zipo atapata hata akisota mwaka. Suala la kuingia Kenya nikatafute ajira ni bora niingie morogoro nikalime mahindi au mpunga labda mungu atajibu.
 
This is Kenyans answer to Kenyans problem. Tanzania hatuwezi kufuata haya mambo kwasababu shuda zetu sio shida za Kenya. Kenya ni nchi iliyojengwa kwa kutegemea nchi nyingine sana-sana nchi jirani. Kuanzia kwenye chakula, maji, kazi, biashara, upatikanaji wa mitaji, ardhi, masoko mpaka kwenye maswala ya usalama. Hii kuruhusu watu wa EAC kuingia kwa kitambulisho ni mlolongo wa yote hayo including brain drain other EAC countries. Kama kawaida yao wizi wizi tuu, nchi nyingine zinatumia pesa nyingi kusomesha professional wake only to be scoped my Kenya na benefit zote zinakwenda huko. We can stop this by deregistered all professional walio kimbilia kwengine wakati bado hawajatimiza wajibu wao hapa nyumbani.
 
For sure, Kenyatta ameona mbali sana, lakini siasa ndio inaiharibu Africa kwa ujumla. Watanzania Tukae tukijua kwamba hiyo fursa ya kwenda kutafuta maisha kwa wale watakaohitaji kwa sababu nina imani kuna wale ambao wanaimani kwamba ukitafuta maisha mazuri/urahisi wa kimaisha hawezi kufanikiwa akiwa katika nchi yake ndio maana kuna watanzania wengi wapo Mozambique, Malawi, Zambia,Kenya, Uganda, Swaziland, Botswana, Namibia,South Africa,Rwanda,Zimbabwe etc. Hilo suala la kuishi nchi nyingine haliangalii nchi hiyo mmeipita kiuchumi au la, mfano kuna watanzania wanafanya biashara za mazao malawi watu huwa wanaangalia fursa.
Kenyatta amefanya kitu hicho ili kumkomoa magufuli, kwakua jamaa anamkazia sana, sasa ameona afanye hivyo huku akiwa anafahamu kuwa kuna watanzania wengi wataindea haki hiyo fursa mwisho wa siku kama akifanikiwa jamaa Lazima atalegeza tu, kwani kutakua na raia wengi wa Tz nchini Kenya so kuna uwezekano kwa baadae Kenya kwa miaka ijayo ikawa ndio second home country for Tanzanians then jamaa akaona aibu kuwabania.
Ifahamike kuwa most of people watakaoguswa ni wafanyabiashara, kwa professionals sizani kwani kuna vitu vitawawia vigumu kuchukua uamuzi wa kuhamia Kenya mfano
1) Education system comparisons are different.
2) Insecurity # Wabongo wengi waliosoma ni waoga hawawezi kwenda eneo ambalo wanajua kabisa muda wowote wenyeji wanaweza kukinukisha. Mfano juzi kwenye election ni picha tosha.
3) Unemployment rate, sio kweli kwamba serikali ya Kenya ita Ku consider ww specialist kutoka Tz katika ajira alafu wamuache mzawa.
4) Tukae tukijua kwamba Kenyatta ni binadamu, muda wake wa kukaa madarakani utaisha, Sasa itakuja kuwa mbaya zaidi wapinzani wakija kupata madaraka kwani watasema wanapigania maslahi ya mkenya na hapo ndio xenophobia itakapotokea.
Kwa kifupi hiyo fursa itawafaa wafanyabiashara, lakini kwa professionals itabidi tu waitafute Botswana, Namibia & SA etc. Ila kwa kwenda Kenya utakua uongo.
Unakumbuka Donald Trump alivyoingia madarakani akiweka mikakati ya kuwatoa wangeni yeye akadili na Sera ya kulinda maslahi ya mmarekani. Akisema atadili na African but not blacks.
Kuna point zengine umegonga ndipo lakini hapo kwa professionals umenoa, professionals kutoka nje wako wengi sana zaidi ya 20,000, nafikiri tuko numba 3 hapa Sub sahara kwa ku host expat community, tena hao professionals huwa wana raha zaidi wakiwa kenya hata kushinda SA

httpsinassets1-internationsgmbh_netdna-ssl.jpg
 
Kuna point zengine umegonga ndipo lakini hapo kwa professionals umenoa, professionals kutoka nje wako wengi sana zaidi ya 20,000, nafikiri tuko numba 3 hapa Sub sahara kwa ku host expat community, tena hao professionals huwa wana raha zaidi wakiwa kenya hata kushinda SA

View attachment 640505

Yeah right armchair statistics, kama professionals wa kenya wangekuwa na raha kuliko wa SA medics wa Kenya wasinge goma, tena hawagomi kwa sababu ya mishahara, wanagoma kutokana na working conditions na below standard facilities.
 
Kuna point zengine umegonga ndipo lakini hapo kwa professionals umenoa, professionals kutoka nje wako wengi sana zaidi ya 20,000, nafikiri tuko numba 3 hapa Sub sahara kwa ku host expat community, tena hao professionals huwa wana raha zaidi wakiwa kenya hata kushinda SA

View attachment 640505
Yap but kwa direct employment, ila kwa mtanzania mwenye professional yake hawezi kuja Kenya na vyeti vyake yani full documentations pamoja na CV yake mkononi kuja kutafuta ajira bila yakuwa na job offer, nazani hata hao foreigners karibia wote walikuja kwa job offer. I mean yani walikuja moja kwa moja wakaingia kazini sio kurandaranda mitaani na CV zao kutafuta kazi. Nazani umenipata ndugu na hakika hiyo sio Kenya tu hata hapa Tanzania ni hivyo hivyo tu yani wageni wengi wanaokuja bila job offer ni wachina na wahindi. Mtanzania yoyote yule anaimani akitoka bongo basi aende kwenye nchi ambayo inaunafuu wa kimaisha kuliko Tz ukiachilia mbali wafanyabiashara ambao hao huangalia profit tu hata kama nchi risasi zinarindima usiku asubuhi kupo shwari anaingia mtaani anapiga hela usiku moto tena unawaka.Kwa kukuhabarisha tu ni kwamba Tanzania tuna maeneo makubwa yenye ardhi ambayo ina rutuba lakini still watu bado hawayalimi. Sina uhakika ila ninakumbuka 60% ya eneo la Tanzania linafaa kwa kilimo lakini ni 20% ndio zinalimwa the rest 80% bado hazijalimwa.Kama Mhe. Rais Dr JPM akiruhusu kama Kenyatta alivyofanya most of Kenyans watakimbilia bongo land.Then believe or not kwenye vijiji ambavyo vipo interior kabisa na ndio maeneo yenye rutuba huko usishangae mwenye kiti wa kijiji anakupa kiwanja bure ili mungezeke wanakijiji muwe wengi then mkilala kesho yake asubuhi mkiamka anakupeleka kwenye mashamba wanayolima anakukabizi msitu mnene uvunje halafu ndio Liwe shamba lako milele. Na ardhi yenyewe inakua ni multipurpose yani ukilima mahindi,ndizi, mihogo,maharage etc vinakubali.
 
Napiatia tu, I find the thread very informative and I can say there are sane Tanzanians here.
 
Ni fursa kwa wafanya biashara na wenye fani nzur kunufaika.
 
Back
Top Bottom