Watanzania tujifunze kutoka Libya na pia tusisahau kufuatilia historia ya utajiri wa U.S.

Watanzania tujifunze kutoka Libya na pia tusisahau kufuatilia historia ya utajiri wa U.S.

Tunachohitaji Amani na Haki, upupu tu eti Gaddafi unajua sababu za kumpindua, fuateni Katiba sasa Kama unatoa onyo
CHADEMA hawawezi kuiongoza Tanzania kwasasa hilo hata watanzania wanalijua.

Labda wasubiri kwanza watafute viongozi wasomi kuanzia ngazi wabunge. Hapo wataweza ni hayo tu
 
Sitaandika mengi Leo,
Watanzania tujifunze kutoka Libya na pia tusisahau kufuatilia historia ya utajiri wa U.S.

Ila yangu ni haya,
Tusimsikilize U. S kwa lolote kwani U. S hajawai kuwa mtu mwema.
Huwa ni mtu wa ku take advantage nyakati za vita na nyakati za uchaguzi. Rejea vita ya kwanza ya dunia, vita ya pili ya dunia na vita za wenyewe kwa wenyewe katika nchi mbalimbali.

lakini pia msisahau kurejea hotuba zao kile kipindi cha mwanzo wakati China anapambana na corona huku wao wakichekelea kwamba uchumi wao utaoenda kupanda kwa kasi. Na wakawaahidi China watatengeneza dawa.

Hizi ndio dili za hawa jamaa kuuza silaha wakati sisi tumekorofishana huku wao wanachukua mali zetu.
Rejea Libya tuache ushabiki wa kuwashabikia angalia kizazi chako cha mbele.

Lazima tutumie mbinu zetu wenyewe kutoka nchi zilizo jipatia maendeleo kwa njia halali. Maendeleo yaliyopatikana kwa watu kufanya kazi kwa bidii.

Zipo nchi nyingi.
Na swala la maendeleo ni vitu ni muhimu sana kwani tunahitaji miundombinu imara ili watu wawe na maendeleo.
Huko Libya ni mbali sana na wala hata huelewi kuwa ubishi na ubinafsi wa gadafi ndio ulioiponza Libya, tujifunze toka Botswana na nimibia bila kuisahau Mauritius huko kuna democracia na maendeleo ya watu.
Sisi hatuna uwezo wowote wa kushindana na mabeberu .

Hata miaka hii mitano beberu katupeleka sana tunanunua kwake ndege cash anazikamata hapo hapo,Halafu korosho yetu anaikopa
 
Kawafundishe watoto wako unaowalipia karo na kuwanunulia chakula. Hapa JF tuna akili kuliko wewe. Tutampigia kura TL.
Mkuu ww ndio TL mwenyewe hivyo huu uzi huwezi kuuelewa. Lakini hakika nakwambieni wapo watanzania walikifunza kitu kupitia uzi huu,
 
Mkuu Naunga Mkono Andiko lako

Mtu kama kgg2014 ile ni Moja ya Strategies yao kuleta Machafuko
Haiwezekan watu wa kawaida wakawa na uwezo wakufanya Mambo kama yale, Ule ni Mtandao mkubwa Sana na wenye nguvu kubwa na wapo well Organized kifedha na kila kitu kuhakikisha wanatimiza wanayo yataka

Mtu Ana Access ya kila taarifa nchi Tanzania japo hawez kupata zote

Maelezo yao yatatupa Taarifa kuhus wao
Hata Namna ya Uandishi wake ni katika mfumo ambao Lazima ataku'panic kisha kirahisi Sana na ndio mana Twitter nzima imejaa wakosoaji wasio na Sababu za Msingi Sababu akina kigg2014 They do know how to deals with people Mind Wanalisha watu sumu kila kukicha, Na watu wala hawashtuki wala Nini, Ni mwendo wa kuunga tella tuu

Hata Libya before kifo cha gadaffi Fukuto Fukuto lilianzia mtandaoni

Tuwe Makini Sana na Upinzani
Kam ni MAAFA yatatukuta Wote Sio CCM pekee
Andika tu kwa kiswahili, hautapungukiwa na kiungo hata kimoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko Libya ni mbali sana na wala hata huelewi kuwa ubishi na ubinafsi wa gadafi ndio ulioiponza Libya, tujifunze toka Botswana na nimibia bila kuisahau Mauritius huko kuna democracia na maendeleo ya watu.
Sisi hatuna uwezo wowote wa kushindana na mabeberu .

Hata miaka hii mitano beberu katupeleka sana tunanunua kwake ndege cash anazikamata hapo hapo,Halafu korosho yetu anaikopa
Beberu asingekamata ndege zetu kama sio ninyi wapinzani. Kila mtanzania anajua wazi ninyi ndio chanzo cha ndege zetu kukamatwa na kuzuiliwa kwa mikopo yetu.
 
CHADEMA hawawezi kuiongoza Tanzania kwasasa hilo hata watanzania wanalijua.

Labda wasubiri kwanza watafute viongozi wasomi kuanzia ngazi wabunge. Hapo wataweza ni hayo tu
Unatakiwa kufaham kwamba umetawaliwa sio kuongozwa kwa miaka 60, lakini ukijilinganisha na maendeleo ni tofauti, kuanza upya sio ujinga waanze kufanya marekebisho kwa sehemu walizoharibu, je wamejifunza chochote zaidi ya kuwakandamiza wapinzani na kuminywa kwa haki za binadamu, hata hao marais waliopita walijifunza kuongoza, hata chadema wanaweza kujifunza, kwanini unawaza vita
 
Lissu yuko Ukerewe. Mimi niko Dar. Unatumika sana kusambaza ujinga. Kwa bahati nzuri wazee wa enzi za uhuru wanazidi kupungua. Hii story ya Libya vijana hawazielewi. Kwa nini usiongelee Zambia, Malawi, Kenya? Kwa nini Libya? Acha kuwatishia watu wazima nyau. Kama unaipenda Libya, hamia huko. nani kakukataza?
Mkuu ww ndio TL mwenyewe hivyo huu uzi huwezi kuuelewa. Lakini hakika nakwambieni wapo watanzania walikifunza kitu kupitia uzi huu,
 
U. S, BRITISH, FRANCE, hizi nchi zote zimejipatia maendelea kwa kupora mali
Hizo nchi zina maliasili kama zetu.?
Sisi tumejaliwa kila kitu kitokana na ramani aliyotupatia mkoloni.

Alafu kwani hatuwezi kuiga maendeleo ya nchi zilizoendelea bila kupora? Maana nijuavyo mimi uporaji huleta vurugu, fujo, mauaji na mambo mengi mabaya
 
Alafu Watu Weusi ni wengi kila kona ya mitaa ya majiji yao.

tafakari
Kuna historia ya black American na Black Frances jinsi walivyotokea. Wale ni zao la watumwa mkuu, ambao walikua wakichukuliwa West afrika kwenda kupiga kazi huko kipindi cha mapinduzi ya viwanda.
 
Lissu yuko Ukerewe. Mimi niko Dar. Unatumika sana kusambaza ujinga. Kwa bahati nzuri wazee wa enzi za uhuru wanazidi kupungua. Hii story ya Libya vijana hawazielewi. Kwa nini usiongelee Zambia, Malawi, Kenya? Kwa nini Libya? Acha kuwatishia watu wazima nyau. Kama unaipenda Libya, hamia huko. nani kakukataza?
Mkuu andika hoja za kutushawishi hapa tunajifunza hatubishani
 
Kama hauoni hoja utakuwa hauna akili. Kwa nini unatoa mifano ya Libya, nchi ya Waarabu ambayo iko karibu na Ulaya na mbali sana toka Tanzania badala ya Zambia na Malawi, majirani zetu ambao wamebadili viongozi bila tatizo lolote? Ama unataka hoja gani. Naweza tu kuandika hapa. Siwezi kukuwekea hoja kwenye ubongo wako.
Mkuu andika hoja za kutushawishi hapa tunajifunza hatubishani
 
Sitaandika mengi Leo,
Watanzania tujifunze kutoka Libya na pia tusisahau kufuatilia historia ya utajiri wa U.S.

Ila yangu ni haya,
Tusimsikilize U. S kwa lolote kwani U. S hajawai kuwa mtu mwema.
Huwa ni mtu wa ku take advantage nyakati za vita na nyakati za uchaguzi. Rejea vita ya kwanza ya dunia, vita ya pili ya dunia na vita za wenyewe kwa wenyewe katika nchi mbalimbali.

lakini pia msisahau kurejea hotuba zao kile kipindi cha mwanzo wakati China anapambana na corona huku wao wakichekelea kwamba uchumi wao utaoenda kupanda kwa kasi. Na wakawaahidi China watatengeneza dawa.

Hizi ndio dili za hawa jamaa kuuza silaha wakati sisi tumekorofishana huku wao wanachukua mali zetu.
Rejea Libya tuache ushabiki wa kuwashabikia angalia kizazi chako cha mbele.

Lazima tutumie mbinu zetu wenyewe kutoka nchi zilizo jipatia maendeleo kwa njia halali. Maendeleo yaliyopatikana kwa watu kufanya kazi kwa bidii.

Zipo nchi nyingi.
Na swala la maendeleo ni vitu ni muhimu sana kwani tunahitaji miundombinu imara ili watu wawe na maendeleo.
Ukisha jifunza kutoka Libya na ukisha kumbuka historia ya utajiri wa US pia usisahahu usemi usemao

"... baniani (Beberu) mbaya kiatu chake dawa ... "

Lakini pia wahenga walisema usemi usemao

"... asie fadhila hafadhiliki hata umpe tenga la samaki ..."

Kama ivo yaani picha inajieleza halafu kutwa kelele majukwaani Oooh mitano tena katujengea miundo mbinu sijui barabara, flyover sijui ushuzi gani ... unasahau hayo mnayojinadi nayo mmefadhiliwa na kupewa na haohao ambo leo mnaowaponda

Na safari hii nawaambia wamewachoka lazima mng'oke na mkilazimasha sijui mtajinadi na nini tena ...

Mxiueszzz Shuwaini kabisa!!!!

JamiiForums784649547.jpg
 
Back
Top Bottom