processing/manufacturing/production and the like lazima uchumi wetu utakua mzuri hii itaongeza ajira zaidi na malighafi zetu kununuliwa hapa hapa nchini
thanks for your utmost and high valued post[/
Sikuwa na nia ya kuchangia ila hii post imesababisha niseme machache.
Sio kweli vijana hawataki kuzalisha na wanapenda kufanya wanachofanya sasa ila mazingira yaliyopo kwa sasa yanakatisha tamaa.Mfano;
Mwaka juzi(2012) tulilima miwa kwa wingi Turiani tukauza kiwandani mpaka sasa hatujalipwa fedha zetu zaidi ya kuambiwa bei ya sukari imeshuka kwa sababu serikali imeingiza sukari toka nje isiyo na kodi hivyo sukari yetu haiuziki kutokana na gharama za uzalishaji.Kumbuka mtaji wetu na kipato chetu kimesimama mpaka leo,unadai zaidi ya Mil. 45 hazilipiki kila siku ahadi suala linashughulikiwa.
Tumebadilisha Kilimo tumelima mahindi mwaka 2013 tumeuzia wakala wa serikali mpaka sasa tumechoka kudai tunasubiri siku wakiamua kulipa sawa.
Kwa kweli Tanzania kuna urasimu mkubwa sana kwa uuzaji wa mazao ukilima kwa kiasi kikubwa huwezi kusafirisha vizuizi vingi pamoja na vibali,kupeleka nje hairuhusiwi unakamatwa inabakia kuishia kutapeliwa na madalali kwenye masoko yetu!Inakera sana na inaumiza sana.
Usione watu hawachangii mada kama hizi ukaona hawataki ila wanaumia kwa kinachotokea katika uzalishaji wanaoufanya.
Njoo shambani tufanye kazi ili nawe ukawasimulie wenzako kwa changamoto za soko tunazokumbana nazo.
MILLIONS TACTICS .... kwanza you are never serious kwasababu hata quotation ya posts unayoifanya is not okay i mean unakosea na hauirekebishi kwani unayonafasi hapa jf kuomba msaada kwa fellow members au moderatorsprocessing/manufacturing/production and the like lazima uchumi wetu utakua mzuri hii itaongeza ajira zaidi na malighafi zetu kununuliwa hapa hapa nchini
thanks for your utmost and high valued post[/
Sikuwa na nia ya kuchangia ila hii post imesababisha niseme machache.
Sio kweli vijana hawataki kuzalisha na wanapenda kufanya wanachofanya sasa ila mazingira yaliyopo kwa sasa yanakatisha tamaa.Mfano;
Mwaka juzi(2012) tulilima miwa kwa wingi Turiani tukauza kiwandani mpaka sasa hatujalipwa fedha zetu zaidi ya kuambiwa bei ya sukari imeshuka kwa sababu serikali imeingiza sukari toka nje isiyo na kodi hivyo sukari yetu haiuziki kutokana na gharama za uzalishaji.Kumbuka mtaji wetu na kipato chetu kimesimama mpaka leo,unadai zaidi ya Mil. 45 hazilipiki kila siku ahadi suala linashughulikiwa.
Tumebadilisha Kilimo tumelima mahindi mwaka 2013 tumeuzia wakala wa serikali mpaka sasa tumechoka kudai tunasubiri siku wakiamua kulipa sawa.
Kwa kweli Tanzania kuna urasimu mkubwa sana kwa uuzaji wa mazao ukilima kwa kiasi kikubwa huwezi kusafirisha vizuizi vingi pamoja na vibali,kupeleka nje hairuhusiwi unakamatwa inabakia kuishia kutapeliwa na madalali kwenye masoko yetu!Inakera sana na inaumiza sana.
Usione watu hawachangii mada kama hizi ukaona hawataki ila wanaumia kwa kinachotokea katika uzalishaji wanaoufanya.
Njoo shambani tufanye kazi ili nawe ukawasimulie wenzako kwa changamoto za soko tunazokumbana nazo.
please accept and retract to normal congruent flow
naona bado unaendelea kulalama bila sababu hakuna shughuli even not for profit ambayo haina changamoto (challenge) think of SWOT analysis in a traditional way before you start business by asking yourself ? who are my customers? where did they buy before? who are my competitors? and who are my business enemies? what are the benefit of my biz? what risk is there if someone copy and paste my business, if the business is too common what else can i do? if the raw materials are not available localy how can i do? what is an expension plan .... is marketing essential? what is the utmost satisfaction of my product ... what is the my quality of my products compared to standards set? .... what is the delivery time strength? ..... are customers happy or unhappy with the services and not the product?
do i need to complain/condemn or support my business
usilalame sana crack your brain ... masoko yapo na hayajatoshelezwa na supply in a serious manner (quality and standards)
the last advice is ..... never regret when you meet a challenge (changamoto)
Na ndio mana hata topic kama hii imekosa wachangiaji.Poor tanzanians aliyeturoga ameshakufa.
hilo ndo tatizo kubwa kwa wabongo, tumejikita kufanya uchuuzi, kuuza bidhaa za nje, na ukijaribu kumsoma aliko dangote anakuambia moja ya biashara ambazo zinaweza kukufanya uwe tajiri basi ni kazi za procesing, na si ku chuuza, huwezi ukafanya uchuuzi halafu uwe tajiri hata siku moja
ndugu yangu mwakajana watu tuliwekeza kwenye kilimo mfano wilaya ya kilombero tulizalisha mpunga kiasi kikubwa sana watu wakawa wana sema sasa umaskini bai!!!!! Cha ajabu serikali ikaruhusu makampuni makubwa walete mchele toka theiland na ukafurika na wakafunga mipaka mchele wa tanzania usiuzwe nje wakati watu huko ethiopia wananjaa. Sasa mpunga umebaki umelundikana hakuna pa kupeleka watu tunalia tumekata mitaji hivi unadhani serikali hii inania njema na wakulima? Kwa hali hii bado utamshawishi mtu awekeze kwenye kilimo?
Hilo Ndo Tatizo kubwa kwa Wabongo, Tumejikita kufanya uchuuzi, kuuza Bidhaa za nje, Na ukijaribu kumsoma Aliko Dangote anakuambia moja ya biashara ambazo zinaweza kukufanya uwe tajiri basi ni kazi za Procesing, na si ku chuuza, Huwezi ukafanya uchuuzi halafu uwe tajiri hata siku moja
mkuu shughuli ipo kwenye upatikanaji wa hizo mashine za kuprocess hivyo vitu au bei iko poa?Mbona ni Rahisi? Kwani wakina Azam wanatumia Madalali? Zalisha Viazi process uza crips, Mihogo yako saga na uza unga.
Wakuu salaamu,
Kichwa cha habari kinahusika.Ukisoma kwenye kijitabu cha muongozo cha kituo cha uwekezaji Tanzania 2013-2014(Tanzania investment guide book 2013-2014) utaona kwamba nchi yetu ina maeneo mengi sana mazuri kwa ajili ya shughuli za kilimo na nyenginezo.Nanukuu toka kwenye kijitabu'
Potential irrigable
farmland in Tanzania is approximately 29
million hectares, out of which only 280,000
hectares are under irrigation farming'.
Lakini watu wengi wamejikita katika shughuli za uchukuzi,za kiujanja ujanja na utapeli mara sijui thailand mara china sijui uganda wakati Bongo hii fursa kibao.Nina uhakika kama tutaamua kuwekeza nguvu kubwa kwenye kuitumia ardhi iyo bila shaka tungekuwa mbali sana.Tatizo kubwa ni uthubutu.Tutafakari.