Pongezi za dhati ziende kwa serikali na chama tawala toka uhuru. Amani na stability tuliyo nayo ni tunu.
Vyombo vyote vya usalama TISS, Jeshi Polisi n.k Mungu awabariki kwa kusimamia hili.
Nchi imetulia unasafiri mkoa kwa mkoa bila shida yoyote.
Msumbiji huko hakukaliki. Ethiopia sasa hivi ni Addis Ababa tu ndio kumetulia nchi imefawanyika hadi Serikali imeingilia kati kusaidia watumishi wa umma kwa kuwapa subsidies juu ya mishahara yao kwasababu haitoshi kwa kuwapa chakula vocha na mabasi ya kuwasafirisha.
Msumbiji Cabo Delgado watu wako displaced. Sudan ni shida na njaa.
Ndio kuna mapungufu ya hapa na pale lakini Serikali na CCM inajitahidi sana kusimamia amani na utulivu nchini.
Iendelee hivyo hivyo kuilinda milele amani yetu na utulivu.
Vyombo vyote vya usalama TISS, Jeshi Polisi n.k Mungu awabariki kwa kusimamia hili.
Nchi imetulia unasafiri mkoa kwa mkoa bila shida yoyote.
Msumbiji huko hakukaliki. Ethiopia sasa hivi ni Addis Ababa tu ndio kumetulia nchi imefawanyika hadi Serikali imeingilia kati kusaidia watumishi wa umma kwa kuwapa subsidies juu ya mishahara yao kwasababu haitoshi kwa kuwapa chakula vocha na mabasi ya kuwasafirisha.
Msumbiji Cabo Delgado watu wako displaced. Sudan ni shida na njaa.
Ndio kuna mapungufu ya hapa na pale lakini Serikali na CCM inajitahidi sana kusimamia amani na utulivu nchini.
Iendelee hivyo hivyo kuilinda milele amani yetu na utulivu.