Kwakweli!
Kwa mwenye akili angeisafisha mbeleko badala ya kuichana au kuitupa maana hakuna ujinga unaozidi ule wa kuchana mbeleko iliyokubeba eti sababu tuu ni chafu ilhali huwezi kutembea wala kukaa peke yako.
Tanzania ni baba na mama tuwe wa kuisaidia zaidi ya kuharibu huku tukijua ukweli kwamba hata kama hatuishi humo kwa sasa humohumo wanaishi ndugu na jamaa zetu