Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,120
Hakika ninayo furaha kuiona Tanganyika ikitajwa kwenye rasimu ya katiba mpya,ni ishara kubwa Tanganyika itarejea na kurejea kwake kutarejesha TANU maana Afro shiraz itarejea kwao za Zanzibar na CCM kufa kimiakimia.ooh karibu TANU uturejeshee utu wetu,uzalendo wetu,upendo wetu,aridhi yetu,madini yetu,elimu yetu na maendeleo yetu na utuondolee wanasiasa wanafiki waliosajili vyama kwa ajili ya matumbo yao na ndg zao huku wakijiita wakombozi,kumbe ni wezi wa mchana.karibu TANU,Karibu Tanganyika Uliyetuletea Uhuru wetu.
Hilo ndio CCM hawalitaki maana ukiuwa muungano na yenyewe inakufa....hail TANGANYIKA you all!
