Kwani wewe ni mmoja ya wagonga meza, ama una maana ipi? Kwama sii mmoja ya wagongameza tuambie tulikubaliana wapi? Na lini Bila kusahau wapi na saa ngapi?Wabunge ni wawakilishi wetu. Tumewapeleka wakaisimamie serikali kwa niaba yetu. Kama wawakilishi wetu wamekubali maana yake tunaowakilishwa tumekubali.
Kama hawa wawakilishi wameenda kukubali kitu ambacho hatujawatuma, tuwalalamikie wao na kuwawajibisha na si serikali. Zaidi ya hapo tutulie.
Hao wameishiwa hoja na wamesalia na vihoja ni wakupuuzwa vikali.Kuna wapumbavu wengine wanailaumu chadema eti ni kwa nini hawapazi sauti
... huo ndio ukweli wenyewe. Let's learn in a hard way kwa ujinga wetu!Wabunge ni wawakilishi wetu. Tumewapeleka wakaisimamie serikali kwa niaba yetu. Kama wawakilishi wetu wamekubali maana yake tunaowakilishwa tumekubali.
Kama hawa wawakilishi wameenda kukubali kitu ambacho hatujawatuma, tuwalalamikie wao na kuwawajibisha na si serikali. Zaidi ya hapo tutulie.
... ha ha ha! Kama kuna taasisi imejitahidi kuwapigania watanzania lakini always inaambulia matusi kutoka kwa baadhi ya watanzania basi ni Chadema! Hadi unajiuliza hivi hawa watu wana akili kweli? Anyway, ngoja tujifunze kwa njia ngumu labda tutatia akili.Kuna wapumbavu wengine wanailaumu chadema eti ni kwa nini hawapazi sauti
Tuanze kuanza kuwapopoa mawe majimbon hawa wabunge vilaza waliowekwa pale na MagufuliWabunge ni wawakilishi wetu. Tumewapeleka wakaisimamie serikali kwa niaba yetu. Kama wawakilishi wetu wamekubali maana yake tunaowakilishwa tumekubali.
Kama hawa wawakilishi wameenda kukubali kitu ambacho hatujawatuma, tuwalalamikie wao na kuwawajibisha na si serikali. Zaidi ya hapo tutulie.
Utajuaje kama Nia ya ndani ni kuwagombanisha kati ya B mkubwa na watz kwa faida yake maana siasa za kiafrika ni fitna na uchawi vinaenda sambamba,Wabunge ni wawakilishi wetu. Tumewapeleka wakaisimamie serikali kwa niaba yetu. Kama wawakilishi wetu wamekubali maana yake tunaowakilishwa tumekubali,...
Msu........maliziaHapo mkombozi wa swala hili ni msukuma
Wacha bhn [emoji23][emoji23]Kuna wapumbavu wengine wanailaumu chadema eti ni kwa nini hawapazi sauti
Akili ziko matakoni ama?Wabunge ni wawakilishi wetu. Tumewapeleka wakaisimamie serikali kwa niaba yetu. Kama wawakilishi wetu wamekubali maana yake tunaowakilishwa tumekubali.
Kama hawa wawakilishi wameenda kukubali kitu ambacho hatujawatuma, tuwalalamikie wao na kuwawajibisha na si serikali. Zaidi ya hapo tutulie.
Msu........malizia
Ni lini uliwahi kukaa na Mbunge wako ukamuagiza mambo ya kuongea Bungeni?Wabunge ni wawakilishi wetu. Tumewapeleka wakaisimamie serikali kwa niaba yetu. Kama wawakilishi wetu wamekubali maana yake tunaowakilishwa tumekubali.
Kama hawa wawakilishi wameenda kukubali kitu ambacho hatujawatuma, tuwalalamikie wao na kuwawajibisha na si serikali. Zaidi ya hapo tutulie.
Wabunge ni wawakilishi wetu. Tumewapeleka wakaisimamie serikali kwa niaba yetu. Kama wawakilishi wetu wamekubali maana yake tunaowakilishwa tumekubali.
Kama hawa wawakilishi wameenda kukubali kitu ambacho hatujawatuma, tuwalalamikie wao na kuwawajibisha na si serikali. Zaidi ya hapo tutulie.