Watanzania tumejifunza nini kupigwa Risasi na kujeruhiwa kwa Donald Trump?

 
Jinga sana wewe ...
 
Mama kakufikia na kakugeuza na nyuma. Kama ulienda shule hata darasa la kwanza ulipoteza muda tu. Jinga wewe. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
 
Vijana mliosoma QT mna shida sana. Sasa hii risala yote hapa ni ya nini? Ungeuliza tu hilo swali, na ungeeleweka kwa uzuri kabisa.
 
Ni kweli kabisa! Nadhani hizo ni chuki za kisiasa ni kama huku Bongo tu!
Hata hivyo Trump siyo Rais ni mgombea wa Urais!
Uzuri wa huko kwa taarifa za hivi punde muhusika ALIJULIKANA na akapigwa risasi pale pale na vikosi vya usalama!
Naona halitofautiani na lile la Kaskazini uwanja fulani FAM alipokoswa koswa!
Waliohusika HAWAJULIKANI mpaka leo!
Kwa TAL huenda upelelezi utakamilika awamu ya 8 labda.
Naona nimekurupuka usingizini!
 
Wewe ni ccm kabisa .
Hivi Kuna siku ccm wameshawahi nyimwa kibali kwa sababu za ki intellinsia kweli
 
Donald Trump amepigwa risasi?
Tujifunze sasa za mabavu hazijaondoka.
 
Hakika kimjaacho mtu ndicho kimtokacho.
Unatamani upewe ruhusa ya kuua na kuwafunga jela wapinzani kama Sauli wa enzi za Yesu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…