Waliteuliwa Hawajui kazi? Kwani walikuwa wanalisha misukule sirini? Mambo si yalikuwa wazi namna wanavyofanya kazi? Sasa tuambie ni kina nani walokuwa hawajui kazi tupime kazi zao kwa kinganisha na waliopo wapyaUkanda wa jpm alikuwa anapick wa kutoka huko kwao hata Kama hajui kazi
Mama kuvuka 2025 itakuwa ngumu sana ,njia pekee ilikuwa kutumikia wananchi kwa bidii na kizalendo ila mama hataki hiyo njia hivyo kuvuka 2025 itakuwa ngumu sanaKweli ndege wa rangi moja huruka pamoja. Hivyo mama kwa kauli yake kuwa lazima aunde baraza la mawaziri ambalo anahisi litamuunga mkono kuchapa kazi mpaka 2025 lazima liwe la vijana kama huyu aliyemteua kuwa waziri wa nishati.
Waziri ambae alipoingia tu madarakani Tanesco ikapata mkandarasi wa kuikodishia software ya gharama ya bil 69 ili ufanisi uongezeke. Mawaziri wa namna hii ndio watakaokwenda na mama mpaka 2025. Kweli taifa letu tumepatikana.
BashiteNani alipendelewa na JPM huku hana sifa? Je hii ndio sababu ya kusaini bil 69 kukodi software?
Ukanda upi na ulifanyika kwa namna gani? Mbona unapenda lawama?
hoja uliyoona wewe Ni hisia za ukanda na si matumizi ya bilion 69.Watz hatupendi kujadili mambo yenye tija.Sipendi lawama ndio maana tunaambiana ukweli Ili tujirekebishe na kwapamoja tukemee Yale t
yote yanayolivuruga taifa letu .
Good pointhoja uliyoona wewe Ni hisia za ukanda na si matumizi ya bilion 69.Watz hatupendi kujadili mambo yenye tija.
Tunatetea uozo kisa Ni mtu wa kwetu, au kisa Ni una marhaba na mtu fulani.
Shida watanzania unaa imetuzidi tukiushinda unaa wa viwango vya kimbunga jobo ndio itakuwa mwanzo wa taifa hili kupata maendeleo ya kweli.hoja uliyoona wewe Ni hisia za ukanda na si matumizi ya bilion 69.Watz hatupendi kujadili mambo yenye tija.
Tunatetea uozo kisa Ni mtu wa kwetu, au kisa Ni una marhaba na mtu fulani.
Tumeingia pasipo petu lakini tutafika InshallahKweli ndege wa rangi moja huruka pamoja. Hivyo mama kwa kauli yake kuwa lazima aunde baraza la mawaziri ambalo anahisi litamuunga mkono kuchapa kazi mpaka 2025 lazima liwe la vijana kama huyu aliyemteua kuwa waziri wa nishati.
Waziri ambae alipoingia tu madarakani Tanesco ikapata mkandarasi wa kuikodishia software ya gharama ya bil 69 ili ufanisi uongezeke. Mawaziri wa namna hii ndio watakaokwenda na mama mpaka 2025. Kweli taifa letu tumepatikana.
Siyo ubwege ni utoto.Acha ubwege
Alianza kuteuliwa awamu gani? Je ndio sababu ya kusaini makataba wa bil 69 kukodi software?Bashite