Watanzania, tumpongeze Yusuf Manji kwa kuwa mzalendo na kurudi nyumbani. Rais Samia asichelewe, amuite Ikulu wazungumze

Sasa kama hata upekee aliokuwa nao Manji huujui, unadhani unaweza kujua nini labda katika nyanja za Uchumi na diplomasia???
 
Sasa kama hata upekee aliokuwa nao Manji huujui, unadhani unaweza kujua nini labda katika nyanja za Uchumi na diplomasia???

Sawa unayeujua umuhimu wake. lkn fyi this is one of bandit guys of our time.
 
Naunga mkono hoja sio Akina Dangote tu ndio wanakaribishwa Ikulu. Tu promote National investors kama manji aliporwa hela zake basi wahusika wapo wamrudishie na apewe somo la kulipa kodi stahiki pia.

At a certain time Manji was so powerful and inconsiderate mpaka anawadharau watendaji wa TRA na kuwaachia ofisi huku yeye anasepa na range rover.
 
Fyi yourself

Niondokee hapa na chuki zenu. Mshaambiwa kama halipi kodi ila anatoa ajira 800,000 basi Bora huyo.

Sorry, kwanza siyo kawaida yangu kuongelea watu na utu wao. napenda sana kuongelea mipango na mambo. niwie radhi, maana hata huyu mtu hana impact hata chembe kwangu. niwie radhi kama nimekukwaza kuongelea kinyume na mapenzi yako kumuelekea huyu binadamu.
 
Hii mikitu ya kulindwa na Raisi akifa imekula kwako Sheria ziwekwe sawa ndugu zangu...
 
Hii nchi imeoza! Ukisoma maoni ya watu humu utajua tupo kwenye hali gani.
 
Tatizo lako Manji na Wenzio wa aina Hii wanaokudanganya hujui kama serikali Ni dude la hatari Epuka Hizi Cheap Publicity...Hivi Bakhressa na Manji nani ana hela Na nguvu nyingi??? Nani amewahi kuona Bakhressa kwenye mamidia kila uchao??

Manji waliomtuhumu na yale yalimpata ni jukumu lake ajiweke clean..Hii kusema Uzalendo sio kweli mana alitajwa kwenye issues kibao za mambo tofauti tofauti.
 
Kwahiyo unatudhihirishia kwa jinsi gani Serikali ya JK na JPM zilivyo shindwa kumshitaki na kumhukumu kwa sheria.

Ama vyombo vyetu +Mwendazake ni butu au Sheria zetu sio msumeno?
Huwezi kujusty mtu mwizi Kisha unashindwa ku disclose wizi wake au kuisaidia Serikali imshtaki kwa sheria
 
Kama wengine waliitwa kipi Cha ajabu kwako na manji kuitwa?
 
Na Mo mulivyomteka sababu nn nyie Sukuma Gang
 
Kwani Manji alifukuzwa? Je wizara ya viwanda imehamia Ikulu? Labda kama ni mkutano wa wafanya biashara na Rais. Manji aje tu aanze shughuli zake akiwa huru kama raia yeyote.
Mbona mwendazake alikua anaishi chato au ikulu iliamia chato ?
 

Acha unafki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…