Nikiwa mfanyibiashara Japo sio mkubwa, ila mwenye upeo naunga hoja zako kwa asilimia 100%.
Pia, nikiwa kama mshabiki wa Simba lakini mwenye mapenzi na Mpira wa miguu, namkaribisha Manji nyumbani. Naamini atawasaidia Sana watani wangu Yanga.
Karibu sana Manji, karibu nyumbani.
WANANCHI haswa wafanyabiashara wa kada za chini mnatakiwa muwapende hawa wafanyabiashara wakubwa kwa sababu hawa wakifanya BIASHARA zao vizuri zikikua na wewe wa chini kama una akili timamu utapanda tuu. Kuwachkua hawa no ushamba wa kiwaangi cha juu sana, na wivu wa kijinga. Hawa ndo wanaleta mzunguko wa fedha, hivyo tuwapende na tuwaombee kwa MUNGU, wasiondoke tena hapa nchini.