Watanzania tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupatia Nchi nzuri na yenye kila kitu

Watanzania tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupatia Nchi nzuri na yenye kila kitu

jitombashisho

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2020
Posts
667
Reaction score
2,245
Tunayo mito, maziwa na bahari.

Tunayo Madini ya aina karibu zote na mengine hayapatikani popote hapa Ulimwenguni. Raia tunaishi kwa amani na raha kabisa! Tumejaaliwa ustaarabu wa kiwango kisicho elezeka!

Shime wana siasa yawapasa nyote muisaidie Nchi yetu kusonga mbele daima kwa kutumia rasilimali za bure alizotujalia mwenyezi Mungu na yatupasa sote kwa umoja wetu tuwiwe na staha na subira za changamoto zozote zitukabiriazo ili tuzishinde kama timu.

Mungu ibariki Tanzania!
 
Magufuli akishindwa aondoke madarakani kimya kimya, asilete vurugu.
 
CCM wanataka kuleta udikteta nchini kwa ubabe wao, na uzuiaji wa uhuru na demokrasia ndio kosa kubwa la uongozi wa awamu hii.
 
We na we hueleweki mara unajivunia kua mnyarwanda mara mTanzania hebu chagua kumoja kwanza.
 
Back
Top Bottom