Mwananchi wa chini
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 227
- 599
disha ibada mkuuOkay sawa mkuu
Yaan badala ya kumuombea MO apone salama arudi kwenye kuendeleza uchumi ndo nmuombee huyuHuyu kijana anamiliki Kampuni ambayonndani yake ina label,studio,tv,radio nk..ambavyo vyote vimeajili vijana wa Kitanzania ambao wote wanaendesha maisa yao kwa kumtegemea Huyu Kijana Diamond.
Wote tuzidi kumuombea afanikiwe zaidi ili aanzishe Kampuni Tanzu za Wasafi azidi kuwaajili vijana wenzetu.View attachment 907603
Nenda nawe akudhalilishe basi! Naona kawivu kanakusumbuaTatizo mdhalilishaji wa wanawake
Kwaio wewe ulivo kua una kula papuchi ulikua una zi dhalilisha?Tatizo mdhalilishaji wa wanawake
Ireneee,Wolperz,AntiEzekie....Tatizo mdhalilishaji wa wanawake
Yaan badala ya kumuombea MO apone salama arudi kwenye kuendeleza uchumi ndo nmuombee huyu
anawadharirisha au wanajidharirisha wenyewe kwa kumpelekea papuchi mchana kweupe na wenyewe wanafurahiaTatizo mdhalilishaji wa wanawake