Watanzania tumuombee kwa Mungu kijana Diamond

Watanzania tumuombee kwa Mungu kijana Diamond

Na wewe ni kiongoni mwa mnanufaika na miradi yake nini!!
 
Mie mwenyewe nina mambo yangu mengi ya kujiombea, ngoja nimalize yangu kwanza
 
Tatizo mdhalilishaji wa wanawake
Kama alivyowadhalilisha wanawake gani na amewadhalilishaje? Napenda sana kufahamu hili suala manake ndo umekuwa wimbo wenu hivi sasa! Mnaimba huu wimbo huku mkijisahaulisha kwamba ni Hamisa ndie alivujisha picha za chumbani kati yake na Diamond! Ni Hamisa ndie hatimae alikiri kwamba alimwendea Diamond kwa waganga wa kienyeji! Ni Hamisa ndie aliwahi kumwambia Bi Sandra kwamba "machupi yake, au neno baya linalofanana na hilo!"

Nimetoa mfano wa Hamisa kwa sababu hili suala limeibuka mara baada ya Team Hamisa hatimae kufahamu kwamba tunguri zimegoma ndipo wakaanza kujificha kwenye simulizi za "kudhalilisha" wanawake ili kutafuta huruma ya wananchi! Au kudhalilisha wanawake wale wanaopeleka papuchi wenyewe wakitarajia kuolewa au kupata serious relationship lakini mwishowe wanaishia kuvuliwa chupi na kubwagwa?! Wabongo sijui tuko vipi! Kote watavuliwa chupi na kisha kupigwa chini tena wakati mwingine kutelekezwa na mimba kama sio watoto, lakini wakipeleka uchi wenyewe kwa Chibu kisha akawabwagwa, oh, anadhalilisha wanawake!

Mwanamke mpenda kitonga huku akiwa hajielewi always ataishia kumegwa tu!
 
Huyu kijana anamiliki Kampuni ambayonndani yake ina label,studio,tv,radio nk..ambavyo vyote vimeajili vijana wa Kitanzania ambao wote wanaendesha maisa yao kwa kumtegemea Huyu Kijana Diamond.


Wote tuzidi kumuombea afanikiwe zaidi ili aanzishe Kampuni Tanzu za Wasafi azidi kuwaajili vijana wenzetu.View attachment 907603
Safi kabisa .... mwambie mama yako na baba waongeze maombi pia.... muhimu sana
 
Wakati unaandika haya, utakuta hata fikra ya kuwaombea wazazi wako kwa Mungu hukuwa nayo.👀👀
Watu ni wajinga mkuu....badala ya kujiombea yy na nafsi yake na familia yake wafanikiwe wawe msaada kwa wengine....yy anakwenda ndivyo sivyo....boriti unatoa jichoni kwako kwanza maandiko yako hivyo
 
Hivi nyie vijana wa kileo, ni kweli hamjui matumizi ya l na r?
Mbona limekuwa tatizo hadi mnatia kichefuchefu.. Unakuta mtu katoa Mada au mchango mzuri ila unaharibiwa na tatizo hili la kiserufi...
Naona kiswahili kinazidi kupoteza ladha.. Kukiandika hamwuwezi Wala kukitamka hamjui..
Kizazi hiki kiswahili hamjui. Lugha za nyumbani hamjui..
 
Diamond mpambe tu..jiulize kwa nini tangazo la Diamond Karanga linachezwa clouds???kwa jeuri ya Ruge angelifyekelea mbali na kurudisha vijisenti vyao..Ila kwa nini linaendelea kuwepo ???
 
Kwanini tusimuombee baharesa au Mo? nahisi wao wameajiri watanzania wengi zaidi na wanalipa kodi kubwa zaidi kwenye pato lataifa. Napia hata heshima zao wanazitunza vizuri zaidi.
 
Back
Top Bottom