Hajatutukana hali ilikuwa ngumu kwa Donald TRUMP KWENYE UCHAGUZI NDIO AKAONA AOMBE MALAIKA TOKA AFRICA waende wakamsaidie Trump kushinda baada ya kuona kabanwa na mpinzani wake Joe BIDEN na malaika wa marekani wakaonekana hawampi ushirikiano Trump akaona ajaribu ku import malaika toka AFricahujaielewa hii scenario yaelekea alitutukana huyu mama
Wamarekani wanajua kuwa Africa tuna uwezo wa kumuweka hata Raisi wa Marekani madarakani ndio maana huyu mchungaji wa Trump anaomba Malaika walioko Africa Waende marekani anawajua uwezo wao wakiamua wamuweke nani uwezo wanao mkubwa kuliko malaika wa MarekaniTanzania kama taifa tunapitia kipindi kigumu sana!!!
Sasa mbona hao malaika wameshindwa kumrudisha madarakani?!Wamarekani wanajua kuwa Africa tuna uwezo wa kumuweka hata Raisi wa Marekani madarakani ndio maana huyu mchungaji wa Trump anaomba Malaika walioko Africa Waende marekani anawajua uwezo wao wakiamua wamuweke nani uwezo wanao mkubwa kuliko malaika wa Marekani
Useless ๐ฎ๐ฎ๐ฎRais Magufuli anajiamini na anapenda kutafuta ufumbuzi wa matatizo yetu ambao ni Made in Tanzania.
Mchungaji na mshauri wa kiroho wa Donald Trump anayeitwa Paula White hawaamini hata malaika wa Marekani anaamini zaidi malaika wa Africa Kuwa ndio waweza msaidia TRump kushinda ,Tanzania na Africa tutembee kifua mbele
Msikie mwenye akiomba na mwafrica mwenzetu akitoa comment.
Hata kama lumumba wawe ndezi kiasi gani lakni ,ufipa ikulu mtapasikia tu.Hata hoja mnazoashinza zina reflect uwezo mdogo wa akili mlionao...huko Lumumba wameajiri watu wajinga sana.
Namuona mbunge wenu wa viti maalum hapo!!๐๐Hao Malaika kutoka Afrika ni wale malaika wa wizi wa kura?
View attachment 1652887View attachment 1652888View attachment 1652889
Unamuona anavyotoka jasho?๐Namuona mbunge wenu wa viti maalum hapo!!๐๐
Upuuzi mtupu.Rais Magufuli anajiamini na anapenda kutafuta ufumbuzi wa matatizo yetu ambao ni Made in Tanzania.
Mchungaji na mshauri wa kiroho wa Donald Trump anayeitwa Paula White hawaamini hata malaika wa Marekani anaamini zaidi malaika wa Africa Kuwa ndio waweza msaidia TRump kushinda ,Tanzania na Africa tutembee kifua mbele
Msikie mwenye akiomba na mwafrica mwenzetu akitoa comment.
daah alikuwa kalowa balaa utazani kamaliza mbio za mita 100!!๐๐Unamuona anavyotoka jasho?๐
Kwa matokeo ya uchaguzi basi inaonekana malaika wa afrika ni fakeHajatutukana hali ilikuwa ngumu kwa Donald TRUMP KWENYE UCHAGUZI NDIO AKAONA AOMBE MALAIKA TOKA AFRICA waende wakamsaidie Trump kushinda baada ya kuona kabanwa na mpinzani wake Joe BIDEN na malaika wa marekani wakaonekana hawampi ushirikiano Trump akaona ajaribu ku import malaika toka AFrica
Hao watakuwa malaika wanaoweza kuingilia system na kuiba kuraHajatutukana hali ilikuwa ngumu kwa Donald TRUMP KWENYE UCHAGUZI NDIO AKAONA AOMBE MALAIKA TOKA AFRICA waende wakamsaidie Trump kushinda baada ya kuona kabanwa na mpinzani wake Joe BIDEN na malaika wa marekani wakaonekana hawampi ushirikiano Trump akaona ajaribu ku import malaika toka AFrica
Malaika wa Africa waligoma kwenda kumsaidia Trump kushinda sababu aliita nchi za Africa SHIT HOLE COUNTRIESTanzania kama taifa tunapitia kipindi kigumu sana!!!
Sasa tutembee kifua mbele kivipi wakati hao "Angels From Africa" wameshindwa kumrudisha Trump madarakani kama ambavyo alikuwa anaomba?