Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Nyerere aliwahi kutamka wazi, Kwamba maadui watatu wa taifa letu ni maradhi,ujinga na umasikini.Hivi vinapaswa kuwa kipimo kwa kiongozi yeyote aliyepo madarakani.
Ni ukweli kwamba siasa zina umuhimu na nafasi ya kipekee katika kuwaletea wananchi maendeleo ya kweli, Lakini porojo zisizo na utekelezaji ni ishara ya uongozi uliofeli.
Nyuma ya siasa kuna wananchi wanaohitaji huduma bora za afya, miundonbinu bora, maji, umeme wa uhakika n.k hivi ndivyo vipimo halisi vya kiongozi yeyote aliyepo madarakani kama anatosha au hatoshi.
Endapo itatokea kiongozi akafeli katika hayo na kuona hakubaliki katika jamii kisha akaamua kutafuta mbadala wa kujichukulia point tatu zingine kufurahisha baadhi ya vikundi huku watanzania wakiendelea kusota na huduma duni za kijamii, Kiongozi huyo HAFAI.
NB: Natambua uwepo wa siasa safi ni muhimu tena ni haki ya msingi, Lakini isitutoe katika ajenda kuu ya hali ya uchumi kwa watanzania ilivyo, huduma za afya, elimu, miundombinu n.k na tusisahau kwamba hiyo ni haki ya msingi hivyo haipaswi kutumika kama mbinu ya kujinyakulia point 3 kisiasa.
Ni ukweli kwamba siasa zina umuhimu na nafasi ya kipekee katika kuwaletea wananchi maendeleo ya kweli, Lakini porojo zisizo na utekelezaji ni ishara ya uongozi uliofeli.
Nyuma ya siasa kuna wananchi wanaohitaji huduma bora za afya, miundonbinu bora, maji, umeme wa uhakika n.k hivi ndivyo vipimo halisi vya kiongozi yeyote aliyepo madarakani kama anatosha au hatoshi.
Endapo itatokea kiongozi akafeli katika hayo na kuona hakubaliki katika jamii kisha akaamua kutafuta mbadala wa kujichukulia point tatu zingine kufurahisha baadhi ya vikundi huku watanzania wakiendelea kusota na huduma duni za kijamii, Kiongozi huyo HAFAI.
NB: Natambua uwepo wa siasa safi ni muhimu tena ni haki ya msingi, Lakini isitutoe katika ajenda kuu ya hali ya uchumi kwa watanzania ilivyo, huduma za afya, elimu, miundombinu n.k na tusisahau kwamba hiyo ni haki ya msingi hivyo haipaswi kutumika kama mbinu ya kujinyakulia point 3 kisiasa.